Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Hahahaa yaan weweš„°pesa zitapita lakini penzi letu litaishi milele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa yaan weweš„°pesa zitapita lakini penzi letu litaishi milele
Hadharani hivi, hapana sio vizuribabay mama emu itaje basiš
Ushawai kufikiri labda Huyo Mungu ndo alikuletea huyo mtu sahihi na ukamtimua kwa majibu ovyo?tutamtanguliza Mungu hivyo naamini tutapata mtu sahihi.!!
haya nakuja PM honeyHadharani hivi, hapana sio vizuri
šhuwa najikuta poet na mimiHahahaa yaan wewe
Nakuzoom tuššhuwa najikuta poet na mimi
Utayajua tu kama utakubali kutoa mzigoKula tena??
Hayo siyajui Mr. Von..!!
huku unasema HIII BHAGOOSHAA!!!!! (kwa sauti ya mkuu)š¤£Nakuzoom tuš
Wewe ni kijana mzuri, endelea na moyo huo huo mkuu.!!
[emoji85][emoji85] thanks[emoji7] [emoji7]
Amini mama angu, huo ndiyo muujiza..!!
ššš.....Hapo ninasepa bila hata kuaga
Hebu tueleze ni kwanini?[emoji23][emoji23][emoji23].....Hapo ninasepa bila hata kuaga
Kuna wadau wangu walifika huko walirudi na story za kuvunja moyo tu
Kwamba?Kuna wadau wangu walifika huko walirudi na story za kuvunja moyo tu
Ni remote sana, usafiri wa kwenda huko ukifika lazima utafute pain killer kwanza.......alafu naskia kumepoa kinoma
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hongereni sana ambao pm zenu zinafanya kazi wengine toka tufungue account miaka sasa zipo vile vile Kama tulivyokabidhiwa account na jf hata salamu tu kutoka kwa moderators hakuna[emoji848][emoji848]