Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Sijawahi kutunga wimbo,sijui upangiliaji sijui midudedude ya utunzi yahusuyo muziki!
Naona umezamilia kuramba garasha[emoji23][emoji23]
Kwa jinsi nilivyokuona naona unaweza kabisa..
Kuhusu mpangio isikupe tabu...
Ngoja tumalize hili la nyimbo baadaye tutarudi kwenye mashairi na vitabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom