Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuja lazima tuje mkuu na lazima mtupokee kwa mababaiko.!!Sasa nimuone mwanamke kacomment humu kamtimua jamaa halafu anatafuta mwenza/Mume mwema/Mwenye hofu ya Mungu wakati fursa mnazikimbiza wenyewe.....Nyambafuuu
Mbinu za mabahariaHahaha..!
Mkuu una mbinu walaqhi'.! Naomba waige mfano wako.!!
Zote hizo ni mbinu tu mkuu, cha msingi lengo lifikiwe.!Hakuna jibu la kunikatisha matumaini. Nikitaka kukupata lazima nikutafute kwa udi na uvumba
Ikiwezekana nakuambukiza corona halafu nakuja kukuuguza. Ukipona tu naweka mazingira ya kukupata kimasihara
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli Jamaa ameeleza kwa ufasaha hatua zake!!Hahaha.!
Acha.! Kuna watu wako very talented.!
Hahaha..!!Ushaskia wasanii wa bongo miss carly
Anaweza asiongee kiingereza ila ile slang anayotumia kuongea kiswahili utajua huyu anakijua kiinglishi
May be japo siwazi kama awazavyotake a note, zitakusaidia siku moja, huwezi jua.!
Hahah it Sounds like a Compliment!!didn't forget that you're genuine.!
Haha,Hahah it Sounds like a Compliment!!
Am I just doing the right thing!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure hako ka msemo ndiko umekatumia sababu kila kitu umetumia.Haha,
Kidizaini umeanza kunichocha, nimependa hako ka msemo ka waswahili.. Basii mwenzio nipo Jana, Leo na hata kesho.!!
Afadhali kama ka mpango bado ni endelevu.. Ngoja tu wafungue vyuo harakati zianze.!!