Hivi ni kwamba Watanzania hatuko busy sana au inakuwaje?, labda tuseme ni maendeleo ya Teknolojia kuliko nchi zingine

Hivi ni kwamba Watanzania hatuko busy sana au inakuwaje?, labda tuseme ni maendeleo ya Teknolojia kuliko nchi zingine

Wandugu Habarini,

Binafsi Kila Nikiamka Asubuhi Baada Ya Kumaliza Ratiba Za Kawaida Hua Naingia Kwenye Mitandao Mitatu Ya Kijamii Kwa Muda Wa Masaa Mawili. Hua Naanzia WhatsApp, Nakuja JamiiForums namalizia na Instagram.

Kwa Utaratibu Wangu Huu, Leo Nimeona Nishee Na Hadhara Hapa Juu Ya Hili Jambo Ambalo Mara Zote Naliona Hasa Instagram. Ukiingia Katika Akaunti Za Nje Ya Nchi, Iwe Za Binafsi Au Taasisi Fulani, Na Ukakuta Kuna Habari Ya Kumuhusu Mtanzania Au Tanzania Asee Utashangaa Hiyo Post Comments 90%+ Ni Kutoka Tanzania, Na Hapo Hapo Followers Wanaongezeka Kwa Fujo Hatari. Unaweza Dhani Labda Ni Akaunti Ya Mtanzania.

Je Hii Ni Nadharia Kwamba Watanzania Hatupo Bize Na Kazi Au Tumeendelea Sana Upande Wa Teknolojia Ya Habari Na Mawasiliano, Au Huduma Hiyo Kwetu Ni Bei Rahisi Kulinganisha Na Mataifa Mengine??

Nawasilisha kwa majadiliano na constructive criticism!!
Watanzania ni watu wa hajabu mno, ni watu wasiopenda kufanya kazi, wao ni umbea tu na ndiyo maana wamejazana sana kwenye mitandao ya kijamii kutafuta umbea ili warudi vijiweni kudanganyana na kusukuma siku.
 
Uraibu wa mitandao umeathiri watanzania kwa kiasi kikubwa.Muda watoka wapi kushare ukiwa uko busy na productive projects?Huenda ubwetekaji ndiyo sababu.
 
Wandugu Habarini,

Binafsi Kila Nikiamka Asubuhi Baada Ya Kumaliza Ratiba Za Kawaida Hua Naingia Kwenye Mitandao Mitatu Ya Kijamii Kwa Muda Wa Masaa Mawili. Hua Naanzia WhatsApp, Nakuja JamiiForums namalizia na Instagram.

Kwa Utaratibu Wangu Huu, Leo Nimeona Nishee Na Hadhara Hapa Juu Ya Hili Jambo Ambalo Mara Zote Naliona Hasa Instagram. Ukiingia Katika Akaunti Za Nje Ya Nchi, Iwe Za Binafsi Au Taasisi Fulani, Na Ukakuta Kuna Habari Ya Kumuhusu Mtanzania Au Tanzania Asee Utashangaa Hiyo Post Comments 90%+ Ni Kutoka Tanzania, Na Hapo Hapo Followers Wanaongezeka Kwa Fujo Hatari. Unaweza Dhani Labda Ni Akaunti Ya Mtanzania.

Je Hii Ni Nadharia Kwamba Watanzania Hatupo Bize Na Kazi Au Tumeendelea Sana Upande Wa Teknolojia Ya Habari Na Mawasiliano, Au Huduma Hiyo Kwetu Ni Bei Rahisi Kulinganisha Na Mataifa Mengine??

Nawasilisha kwa majadiliano na constructive criticism!!
Wengine mitandaoni ndio ofisini, sasa wewe iga ufe.
 
Back
Top Bottom