Hivi ni kwanini hizi shule za English medium wanafunzi hawachapwi viboko?

Hivi ni kwanini hizi shule za English medium wanafunzi hawachapwi viboko?

BIBLIA imeagiza wazi kabisa viboko riksa kwa mtoto.Biblia sio kitabu cha matango pori ni maagizo ya Mungu

Mathayo 23:13 inasema Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.
Kwahiyo ukaitafsiri kama ilivyo sio? Hao wanaopigwa viboko hadi kupoteza maisha au kupata ulemavu wa kidumu huwa wanajitakia sio?

Acha kushabikia adhabu za wanyama zitumike kwa binadamu. Hata mnyama mwenyewe ana haki zake sio kumchapa tu kadri unavyojisikia.

Na ukiona mwalimu yeyote anayependa kuingia darasani na fimbo ni wazi kabisa ni mweupe kichwani maana anatumia fimbo kama kinga ya kuficha udhaifu wake.

Mwalimu anayejitambua nakujiamini kamwe huwezi kumkuta na fimbo darasani ama popote pale.
 
Wakuu ni kwanini hizi shule wanazojifunza kwa kutumia kiingereza huwa hamna viboko? Inamaana ukiwa unajifunza kwa kiingereza unaweza kwenda bila viboko? Nidhamu ya wanafunzi wanaosoma hizi shule ikoje?
Nyingi hawachapi, na sheria za shule hizo ni ngumu maana zinamoa mwalimu limitations za aina ya adhabu za kumpa mtoto na sababu kubwa nyingine ni kwamba walimu hawana stress za maisha tofauti na huko serikalini hasira za madeni ticha anamuangushia mwanafunzi, unakuta mwanafunzi anapigwa kama punda kwa kosa dogo ambalo unawueza tu kumwelekeza

Walimu wengi ni very friendly na wanawaelekeza watoto kwa upendo bila hasira, kinachonishangaza ni kwamba hawa watoto wana adabu sana na wanajitambua, na pia ni wasikivu kuliko hata watoto wanaochapwa na kupewa adhabu kila siku
 
Ni ubinafsi na uchoyo, angalia yule Mkuu wa Mkoa au sijui Wilaya sikumbuki sawa sawa Mkoani Mbeya alivyowapiga watoto wa wenzie na Magufuli akamsifia, lkn mtoto wake Magufuli kaficha private school, na Magufuli anapinga kuondolewa kwa adhabu ya viboko, kuna kipindi Serikali ilitaka kuondoa Magufuli na wakubwa wenzake wakapinga, lkn watoto wao haguswi, watoto wa wengine wanapigwa kama wanyama wengine mpka wanapoteza maisha kama kule Mara nafikiri, so sad, ...
Acha tu mkuu inasikitisha sana.

Ingawaje mimi mwanangu hasomi hizi shule zinazoamini viboko lakini bado huwa napinga mno vitendo hivi vya kinyama kwa binadamu.

Itafikia mahali itaondolewa tu. Mfano wale watoto waliochapwa na mkuu wa mkoa unadhani walibadilika nini baada ya kuchapwa?

Pengine wamekuwa watukutu zaidi na kuweka visasi vichwani mwao waje wawafanyie wengine hivyo.

Hata kabla ya kuchapwa na mkuu wa mkoa walikuwa wanachapwa na walimu wao lakini mbona waliendelea kufanya vitendo vya utovu wa nidhamu? Hapo ndo utaamini viboko sio suluhisho.
 
Nyingi hawachapi, na sheria za shule hizo ni ngumu maana zinamoa mwalimu limitations za aina ya adhabu za kumpa mtoto na sababu kubwa nyingine ni kwamba walimu hawana stress za maisha tofauti na huko serikalini hasira za madeni ticha anamuangushia mwanafunzi, unakuta mwanafunzi anapigwa kama punda kwa kosa dogo ambalo unawueza tu kumwelekeza

Walimu wengi ni very friendly na wanawaelekeza watoto kwa upendo bila hasira, kinachonishangaza ni kwamba hawa watoto wana adabu sana na wanajitambua, na pia ni wasikivu kuliko hata watoto wanaochapwa na kupewa adhabu kila siku
Ukweli mtupu mkuu.

Hawa wazee waliokuzwa na maviboko kama punda ndio wanaoamini katika viboko na wakati huo viboko havijawasaidia chochote maana bado tunashuhudia hao hao wazee ambao ni viongozi ndo mafisadi wakubwa huko serikalini.
 
Acha tu mkuu inasikitisha sana.

Ingawaje mimi mwanangu hasomi hizi shule zinazoamini viboko lakini bado huwa napinga mno vitendo hivi vya kinyama kwa binadamu.

Itafikia mahali itaondolewa tu. Mfano wale watoto waliochapwa na mkuu wa mkoa unadhani walibadilika nini baada ya kuchapwa?

Pengine wamekuwa watukutu zaidi na kuweka visasi vichwani mwao waje wawafanyie wengine hivyo.

Hata kabla ya kuchapwa na mkuu wa mkoa walikuwa wanachapwa na walimu wao lakini mbona waliendelea kufanya vitendo vya utovu wa nidhamu? Hapo ndo utaamini viboko sio suluhisho.

Walishaondoa kabisa nafikiri au walitaka kuondoa ilikuwa kipindi cha Kikwete, alipokuja Magufuli akarudisha na akagoma kuondolewa huu ukatili dhidi ya mtoto lkn mtoto wake hapigwi shuleni, na hapo ndipo panaposikitisha sana kama anaona bila kiboko mtoto hakuwi kwa nini wa kwake hapigwi shuleni ?
 
Aaah weeeeee..... hizo fimbo za Sr. Mary Antony sina hamu nae. Kama anaua nyoka. Labda kama unaongelea International schools. Lakini sisi kama sisi tumekula sana mboko. Hata kama kosa hauhusiki. Pigwaaa sana. Na huwez amini nqona kama vimekua msaada sana kwenye life yangu ijapokua sikua mtukutu[emoji23][emoji23][emoji23]
Enzi hizo nilikua nikilalamika na wengune ila sasa hv naelewa vzr sana. Nasemaga asantr sana Sr. Mary na Sr. Theodatha. Na viboko viendelee tu maana ngumu sana kudeal na sisi waafrica[emoji28]
 
Ukweli mtupu mkuu.

Hawa wazee waliokuzwa na maviboko kama punda ndio wanaoamini katika viboko na wakati huo viboko havijawasaidia chochote maana bado tunashuhudia hao hao wazee ambao ni viongozi ndo mafisadi wakubwa huko serikalini.
Sio tu mafisadi bali hawana uwajibikaji wala uzalendo, na mbaya zidi sio waadilifu wana kazi ya kulidanganya Taifa hata kwa mambo ambayo yapo wazi, imagine mtu anasimama kwenye vyombo vya ahabari anasema eti tumekusanya Trillion 800 za kodi halafu huku nyuma ya pazia wanaenda kusomba pensheni za wastaafu kutoka mifuko ya jamiii ili waweze kuendesha nchi
 
Ulaya Wangekuwa na akili wangekubali ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja na kufundisha watoto kuanzia chekechea?
Viboko vimesaidia watoto wa kiafrika vichwa vyao kukaa sawa
Kwahiyo ushoga unadhibitiwa kwa kuchapa watanganyika viboko?

Usipowachapa viboko watanganyika, wote wanageuka kuwa mashoga?

Akili za usiku hizi!
 
Aaah weeeeee..... hizo fimbo za Sr. Mary Antony sina hamu nae. Kama anaua nyoka. Labda kama unaongelea International schools. Lakini sisi kama sisi tumekula sana mboko. Hata kama kosa hauhusiki. Pigwaaa sana. Na huwez amini nqona kama vimekua msaada sana kwenye life yangu ijapokua sikua mtukutu[emoji23][emoji23][emoji23]
Enzi hizo nilikua nikilalamika na wengune ila sasa hv naelewa vzr sana. Nasemaga asantr sana Sr. Mary na Sr. Theodatha. Na viboko viendelee tu maana ngumu sana kudeal na sisi waafrica[emoji28]
Vimekusaidiaje maishani mkuu?
 
Viboko vinasaidia ila visizidi. Fimbo mbili tatu zinamfunza mtoto asirudie kosa hilo.
 
Sio tu mafisadi bali hawana uwajibikaji wala uzalendo, na mbaya zidi sio waadilifu wana kazi ya kulidanganya Taifa hata kwa mambo ambayo yapo wazi, imagine mtu anasimama kwenye vyombo vya ahabari anasema eti tumekusanya Trillion 800 za kodi halafu huku nyuma ya pazia wanaenda kusomba pensheni za wastaafu kutoka mifuko ya jamiii ili waweze kuendesha nchi
Nimewahi fikiria hii ishu. Nikafikiri labda wamezoea kuwajibika kwa kuogopa adhabu ya viboko. Mtu wa hivi akiona hakuna adhabu yeyote kwa kutowajibika kwake basi hatawajibika.
 
Huo ndo ukweli mkuu.imewaingia akilini kwamba bila Hata hawa hapa wanaoamini katika viboko sio kwamba ni akili zao bali ni athari za kisaikolojia hivyoviboko hakuna elimu.

Viboko vinawaathiri sana watoto kisaikolojia.
Umenifundisha kitu kipya. Kuwa hata wanaochapa ni athari zitokanazo na wao kuchapwa. Nakubali kabisa.
 
Ulaya Wangekuwa na akili wangekubali ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja na kufundisha watoto kuanzia chekechea?
Viboko vimesaidia watoto wa kiafrika vichwa vyao kukaa sawa
Unatia huruma sana. Kwani huku kwetu hakuna? Tena wako wengi kuliko Ulaya. Toafuti ni kuwa sisi ni wanafiki na tunajifanya kupinga hadharani lakini tukiingia mafichoni tunafanya. Wao wako wazi. BTW hata wewe umeathirika na viboko.
 
Vimekusaidiaje maishani mkuu?
Siyo mjinga mjinga. Na sikai kizembezembe. Sideki. Utii. Etc...
Eg. Kuona maovu yakitendeka na ukakaa kimya lazima ule mboko. Hivyo next time umeona maasi sema neno kuokoa matatizo zaidi. Wapo waliokia hawasikii asilan ila viboko vimewarudisha mstarini.
 
Siyo mjinga mjinga. Na sikai kizembezembe. Sideki. Utii. Etc...
Eg. Kuona maovu yakitendeka na ukakaa kimya lazima ule mboko. Hivyo next time umeona maasi sema neno kuokoa matatizo zaidi. Wapo waliokia hawasikii asilan ila viboko vimewarudisha mstarini.
No wonder akili yako iko kama ya punda.

Ukipumua tu unabamizwa bakora. Ukigeuka unashindiliwa makofi.

Na bado unachekelea. Hahaa.

Dooohh... this is punda typical!
 
No wonder akili yako iko kama ya punda.

Ukipumua tu unabamizwa bakora. Ukigeuka unashindiliwa makofi.

Na bado unachekelea. Hahaa.

Dooohh... this is punda typical!
I am speechless mkuu. Jaribu kuheshimu kila mtu. Stop calling names because you aint better than the other.

Keep your manhood status up. Be a real man and a half
 
Aaah weeeeee..... hizo fimbo za Sr. Mary Antony sina hamu nae. Kama anaua nyoka. Labda kama unaongelea International schools. Lakini sisi kama sisi tumekula sana mboko. Hata kama kosa hauhusiki. Pigwaaa sana. Na huwez amini nqona kama vimekua msaada sana kwenye life yangu ijapokua sikua mtukutu[emoji23][emoji23][emoji23]
Enzi hizo nilikua nikilalamika na wengune ila sasa hv naelewa vzr sana. Nasemaga asantr sana Sr. Mary na Sr. Theodatha. Na viboko viendelee tu maana ngumu sana kudeal na sisi waafrica[emoji28]
MIMI BINAFSI ISINGEKUWA VIBOKO NINGEHARIBIKA

Darasani nilikuwa sitaki kuandika notisi kwenye daftari na kwenda shule nilikuwa naenda nikitaka siku zingine siendi.Mwalimu mkuu hakuhangaika kumwita mzazi niliitwa staff room walimu wawili wakapewa jukumu la kunitandika kila nikifanya kosa nisipoandika viboko nk nilinyooka mwenyewe

viboko hoyeeeeeeeee
 
MIMI BINAFSI ISINGEKUWA VIBOKO NINGEHARIBIKA

Darasani nilikuwa sitaki kuandika notisi kwenye daftari na kwenda shule nilikuwa naenda nikitaka siku zingine siendi.Mwalimu mkuu hakuhangaika kumwita mzazi niliitwa staff room walimu wawili wakapewa jukumu la kunitandika kila nikifanya kosa nisipoandika viboko nk nilinyooka mwenyewe

viboko hoyeeeeeeeee
Nakuelewa sana sana sana. Sisi watoto wa kiafrica ni changamoto sana. Imagine mtoto wazazi wake wamemshindwa ndo mtu baki atamuweza? Akateseke na mtoto wa mtu hivyo? Kuna saa nikiangalia matukio ya wenzangu nilikua nachoka. Najiuliza amewezaje huyu mtu. Sembuse mimi nisiyekua na matukio? Acha viwepi maana tuna utukutu wa kijinga sana
 
Back
Top Bottom