Hivi ni kwanini hizi shule za English medium wanafunzi hawachapwi viboko?

Hivi ni kwanini hizi shule za English medium wanafunzi hawachapwi viboko?

Yaani nachukia sana mtu anayeamini katika viboko namuona kama hayupo sawa upstairs.

Viboko anachapwa mnyama sio binadamu. Adhabu yoyote yakuumiza mwili ni adhabu ya kikatili sana.

Viboko vingekuwa vinasaidia basi taifa hili lingeongoza kwa wasomi wa hali ya juu badala yake ni kinyume.

Kwanini hatujiulizi shule ama nchi ambazo ni marufuku kutumia viboko mbona ufaulu upo vizuri mno na ukimuweka na mtoto aliyesoma kwa viboko ni tofauti kabisa.

Tuache kushabikia viboko ni unyama na mtu kama wewe siku mwanao akicharazwa viboko ikatokea akafariki au kupata ulemavu wa kudumu utakuwa wa kwanza kutaka adhabu ikomeshwe mara moja.
Tatz ujawah kuw mwalm uone kaz ya kumfany mtoto afaul ,skatai lakin %kubw vibok vnahtajik San at we bila vboko usngejua hesabu na Kama hukuchapwa na ukajua hesabu hongera
 
Mkuu acha basi kunukuu kitabu kama hukijui.Mathayo haina maneno kama hayo.

Kwa ujumla umaskini ni janga kubwa sana na ndicho kinachouathiri uwezo wako wa kufikiri.
Sitabishana na mtu kama wewe.
Nimemaliza
BIBLIA imeagiza wazi kabisa viboko riksa kwa mtoto.Biblia sio kitabu cha matango pori ni maagizo ya Mungu

Mathayo 23:13 inasema Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.
 
Uko sahihi kabisa mkuu. Mtoto wa Magufuli Jeremiah amesoma na mpwa wangu pale Feza Primary School Kawe hakuna adhabu ya viboko wala nini zaidi ukifanya kosa unapewa warning letter tu.

Mtoto wa Kikwete hadi sasa ninapoongea yupo shule moja tena na huyu mpwa wangu hakuna adhabu ya viboko na shule hizo ndo zinaongoza kitaifa.

Sisi waAfrika sijui tuna matatizo gani wakati wakubwa wao hawataki watoto wao wachapwe sisi tunashangilia watoto wetu ndo wachapwe.
Mwaka jana shule zilizoongoza matokeo ya darasa shule ya kwanza na ya pili kitaifa ilikuwa GRAIYAKI NA TWIBHOKI ZILIZOPO MKOA WA MARA WILAYA SERENGETI...MWAKA HUU TWIBHOKI YA TATU NA GRAIYAKI YA TANO....hizi shule zinachapa balaaaaa.
 
Tatz ujawah kuw mwalm uone kaz ya kumfany mtoto afaul ,skatai lakin %kubw vibok vnahtajik San at we bila vboko usngejua hesabu na Kama hukuchapwa na ukajua hesabu hongera
Inamaana shule kama IST ambapo hawachapi watoto hawafaulu wala hawajui kuhesabu?
 
Iyo kitu inawezekan ila kwa kizaz hiki watot weng ni wazembe bila kumchangamsha utampoteza ndugu amini labd advanc fimb zifutwe
Inamaana shule kama IST ambapo hawachapi watoto hawafaulu wala hawajui kuhesabu?
 
MAVIBOKO = DEFENSE MECHANISMS YA WALIMU WENYE MAPUNGUFU FULANI FULANI
I. HANA UWEZO NA SOMO ANALOFUNDISHA
ii. MVIVU KUTUMIA MAARIFA KTK UFUNDISHAJI.
Ndugu zangu chunguzeni MWALIMU MPENDA kuchapa hata masomo yake wanafunzi huwa hawafaulu kwa KIWANGO kikubwa kulinganisha na wasio endekeza MIFIMBO!
Povu ruhsa lakini huo ndo ukweli
 
Hata wakiwachapa ..wataliaje kwa kingeleza??? Waanze kuwafundisha kulia kwa kizungu kwanza
 
MAVIBOKO = DEFENSE MECHANISMS YA WALIMU WENYE MAPUNGUFU FULANI FULANI
I. HANA UWEZO NA SOMO ANALOFUNDISHA
ii. MVIVU KUTUMIA MAARIFA KTK UFUNDISHAJI.
Ndugu zangu chunguzeni MWALIMU MPENDA kuchapa hata masomo yake wanafunzi huwa hawafaulu kwa KIWANGO kikubwa kulinganisha na wasio endekeza MIFIMBO!
Povu ruhsa lakini huo ndo ukweli
Mungu akusamehe hujui utendalo.

Walimu=Wazazi
Wazazi=Mimi nawewe
Technically Mimi nawewe tunatumia defence mechanism kuficha mapungufu yetu.

Alokuzaa anakuchapa ukikosea sembuse Mwalimu? Kiri kwa kinywa chako kwamba umechochola [emoji1787][emoji1787]
 
Mungu akusamehe hujui utendalo.

Walimu=Wazazi
Wazazi=Mimi nawewe
Technically Mimi nawewe tunatumia defence mechanism kuficha mapungufu yetu.

Alokuzaa anakuchapa ukikosea sembuse Mwalimu? Kiri kwa kinywa chako kwamba umechochola [emoji1787][emoji1787]
Hakuwahi kunichapa kwa KIWANGO Cha kunivunja au kutaka kuniua mkuu.!
NARUDIA MAFIMBO NA MAVIBOKO MENGI SI KUFUNZA!
 
Kayumba za Kiingereza mbona wanachapa. Tena wengine kuchapa ni kama aina fulani ya mbinu za ufundishaji. Yaani kabisa wanaamini bila adhabu ya viboko wanafunzi hawawezi kuelewa. Na wengine hupewa bonasi au huwekewa malengo kwa shule "kununua" 'A' kwa walimu wa masomo ("kila mwanafunzi atakayepata 'A' somo lako, tunakupatia sh. 100,000, kwa mfano). Mwalimu anapomwona mwanafunzi wa 'viwango vya kupata A' anatetereka kidogo, huona 'kilo' ileeee inapeperuka, hivyo hugeuka 'mbogo'. Adhabu ya fimbo itahusika sana hapo.
 
Back
Top Bottom