Mkuu wangu usisahau kuninukuu niliposema habari za kuzungumzia mambo ya familia inakuja kwa bahati mbaya sana, tena baada ya kutafunana vitumbua na kuzoeana. Sasa ndege akipotea hapo kuna cha kupoteza??
valentine nimezila nyingi tu ila sijawai kuenjoy hata moja. hata hii nimeona nijipeleke muhimbili mapemaNajua mtu mzima mwenzangu....
Ndiyo maana kila siku nazidi kumwombe Smile aongeze hesabu ya Valentine alizokwishaona hapa duniani...
Babu DC!!
he he heeeeeeee, tena unaambiwa haya hata mke wangu sijawahi kumfanyia..... na wewe unavimba kichwa eti upo juu ya mke wake....... tangaza itolewe talaka ndo utajua nani zaidi, lol! kwa mke wake kupiga magoti na kuomba msamaha.....eti babu kwenye gemu unadai utukaniwe bibi ndo unaenjoy
mtukane bibi,mtukane bibi
nalog offfffffffffffffffffffff
cc BAKhe he heeeeeeee, tena unaambiwa haya hata mke wangu sijawahi kumfanyia..... na wewe unavimba kichwa eti upo juu ya mke wake....... tangaza itolewe talaka ndo utajua nani zaidi, lol! kwa mke wake kupiga magoti na kuomba msamaha.....
Fidel80 mimi sina stress......
nachangia tu ukweli ninaojua....
ha ha haaaaaaaaaaa, mlongo wangu mi sitaki kusuluhisha kesi na shem wetu......
snowhite huu unahusika sana kuleta heshima kwa nyumba kubwa, wewe huna kweli mpango wa kati?
mmmh! kama sijaelewa vile......Vaa nguo zote upendeze lakini SANDA ndiyo fasheni ya mwisho;Tembea kote lakini KABURINI ndo matembezi ya mwisho, Panda gari,punda,meli,treni, ndege, ngamia, bajaji na pikipiki lakini JENEZA ndo gari la mwisho. Kusanya mali na mizigo mingi ya thamani, lakini UDONGO ni mzigo wako wa mwisho. Kifo ni cheo cha bure kwa wote. UVUNDO ndo marashi ya mwisho, KABURI ndo nyumba ya kudumu"
Babu DC, kama hujawahi kcuhit usiusemee moyo
Watu wanajikuta wanaropoka tu
Mengine hata hawajui kwa nini wanaropoka
Chezeiya ukute kudumu kiko fit kichwani wewe?
Unajikuta huko ndio unatafuta masuluhisho ya baadhi ya matatizo
Kidumu umejimuvuzisha nacho Melvedes (Bishanga anahusika hapa)
Mko kule kwa wiki 2, mtaacha kupiga story??
eti babu kwenye gemu unadai utukaniwe bibi ndo unaenjoy
mtukane bibi,mtukane bibi
nalog offfffffffffffffffffffff
Kongosho yuko sahihi kabisa.....anao ushahidi wa kutosha kuhusu kile anachokisema...babu hajasema hajawahi kuchit ila kasema anakochit haongelei mambo ya home, either anazungumzia hadithi za kuku na bata au anacheza kidali po then anasepa......
si eti babu Dark City?
ahahaaaahe he heeeeeeee, tena unaambiwa haya hata mke wangu sijawahi kumfanyia..... na wewe unavimba kichwa eti upo juu ya mke wake....... tangaza itolewe talaka ndo utajua nani zaidi, lol! kwa mke wake kupiga magoti na kuomba msamaha.....
that's my baby sis........ngoja nikwambie fidel
mimi mpango wa kando wa kati wa pembeni sijui wa juu!uwepo usiwepo!
IM THE BIG BOSS!mpango wa kando ungekuwa wa maana noingekuwa kwa kmzee K sa hiz so wala haunipi presha mwaya!yani miaka 800 MI NDO JIKE LA NDANI YA NYUMBA YA MHESHIMIWA FULANI!watabaki kujiita part II tuu!AF MI BADO nakandamiza mwanzo mwisho mahabat kwa kwenda mbele!mbn atakuwa na kazi kwanza!
yeye ana taulo la guest na masaaa 2 mi nna masaa 24 na kanga za shingo!ahahhahahhahahahha BADO SANA! I SEE SANA!kwa hiyo wala sipati nao shida !
ngoja nikwambie fidel
mimi mpango wa kando wa kati wa pembeni sijui wa juu!uwepo usiwepo!
IM THE BIG BOSS!mpango wa kando ungekuwa wa maana noingekuwa kwa kmzee K sa hiz so wala haunipi presha mwaya!yani miaka 800 MI NDO JIKE LA NDANI YA NYUMBA YA MHESHIMIWA FULANI!watabaki kujiita part II tuu!AF MI BADO nakandamiza mwanzo mwisho mahabat kwa kwenda mbele!mbn atakuwa na kazi kwanza!
yeye ana taulo la guest na masaaa 2 mi nna masaa 24 na kanga za shingo!ahahhahahhahahahha BADO SANA! I SEE SANA!kwa hiyo wala sipati nao shida !