Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

WE UMEHADITHIWA MAMBO MAZITO????
Mpango wa kando ni stress reliever??????????
mara nyingi mtu hukwepa kupewa ukweli>
kidumu allways kitajifanya kusympathise na wewe ................ wizi mtupu!! ya home ya home tu mlnamaliza wenyewe bila external parties. ukiweza hilo ndo unakuwa mwanaume wa kweli!!!!!!!!!!

 
hahahahaahahha haya bana .

Furahia.

lakini angalia shark asije ku attack.
kuna shark wengine balaa, wakikuvuta majini.
ndi hivyo tena una busu dunia Kwaheri.

Hahahaha kwa hiyo ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu
 
babu babu, acha uchonganishi, lol!
yalishapita hayo sasa Nyamayao anajifaidia pepo yake tu....
unafikiri huyo jamaa anaweza kurudia tena? thubutu!

siku hizi imegeuka kuwa story, ananiambiaga kweli nimeoa kichaa, sasa siku zile mami ndio ulikuwa unataka kuniua kwa kunirushia zile chupa mume wako? ungekuwa mjane saa hivi na hizi raha(kitanda) usingekaa upate kama ninavyokupa, hahaha, historia hiyo, tunalisongesha kwa amani sasa, yalikuwa ni majaribu/mapito tu yale.
 
Hivi uko wapi ule muongozo wa kumiliki nyumba ndogo bila kuathiri nyumba kubwa?

mtafute mkuu na mkubwa wa hayo mambo , prezidentiiii mwenyewe aka The Boss.
atakupa darasa.. maana article yake ilikuwa babu kubwa mpaka kuna washenzi wakaiba.
 
Last edited by a moderator:

kwa hiyo Nyamayao unajivunia kumgeuza shemeji zuzu?
 
Last edited by a moderator:
haaa, jamani yaani mume wangu nimpendae hivyo unamuita zuzu? huyu huyu musukuma jamani, Fidel niombe radhi, hahaha alikuwa zuzu wakati huo akili zimemrudia akaamua kujituliza mwenyewe.

:becky::becky::becky: naamini sasa amekuwa kwenye himaya zako na hafurukuti umemweka mtu kati hivi si hata Bar umemzuia asipite kupiga moja moto? Sasa si tunamwita nani kwa mbana hivyo?
 
the same hata kwa wanawake wenye mpango wa kando
 
ndo maana namwambia Dena haya ni mapito tu, yatapita na itakuwa story ya kutaniana, lol!
 
kutoka nje ya ndoa ni tabia ya mtu na si ugomvi wa ndani, ila nawauliza wanawake hivi kweli unajua ndani kuna mwanamke mwenzio unatokewa na unakubali,hivi hapo mwenye matatizo ni mwanaume au mwanamke? kwa nini usiwaonee huruma mwanamke mwenzio na vitoto vyake ukalikataa hilo dubwana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…