WE UMEHADITHIWA MAMBO MAZITO????
Mpango wa kando ni stress reliever??????????
mara nyingi mtu hukwepa kupewa ukweli>
kidumu allways kitajifanya kusympathise na wewe ................ wizi mtupu!! ya home ya home tu mlnamaliza wenyewe bila external parties. ukiweza hilo ndo unakuwa mwanaume wa kweli!!!!!!!!!!
Mpango wa kando ni stress reliever??????????
mara nyingi mtu hukwepa kupewa ukweli>
kidumu allways kitajifanya kusympathise na wewe ................ wizi mtupu!! ya home ya home tu mlnamaliza wenyewe bila external parties. ukiweza hilo ndo unakuwa mwanaume wa kweli!!!!!!!!!!
Najiuliza.................
Ni kweli mpango wa kando a.k.a nyumba ndogo husaidia kupunguza stress za nyumbani kwako??
Kama si kweli mbona unakwenda kumsimulia mpango wa kando mambo/matatizo yako na mkeo???
Kama ni kweli mbona humuoi huyo mpango wa kando akawa mke mdogo/wa pili ili hizo stress za home uzimalizie bila kificho wajameni???
Najiuliza sana sipati majibu kwanini uende kumueleza matatizo/shida/ugomvi wako na mkeo huyu mwanamke wa nje tena unaomba akupunguzie stress?? Eeehhh??
Yaani unakutana na kimpango wa kando kinakujua kuliko eeeeehhhhh wajameni.......................
Najua Asprin Dark City Mr Rocky Erickb52 na wengineo mtanipa majibu NISAIDIENI TAFADHALI