Halafu ni coward sana, maana wanayakimbia matatizo badala ya kuyasolve (kama yapo lkn).
Unajua binafsi nimekuwa nikiangalia tabia za wanaume (Sio mimi) nimeona almost 90% wana vidumu au hata kama hawana wanavizia nje ya ndoa so ni vigumu kunambia kuwa wanaume ni waaminifu kwa asilimia kubwa....kwa mwanaume ambae hajamfuma mumewe na mtu au tetesi asijipe tumaini kuwa mumewe hana kidumu ni kuwa kajificha tu.
Hapa suala ni kushirikishana maombi ya familia na kuifanya familia iwe na hofu ya Mungu na kwa imani hiyo hizo dhambi zitapungua sana au kwisha kabisa!
Hahahahaaaa hiyo imani yenu ndio mbaya.... kwanini usiamini vidumu havipo?he he heeeeeeeeeee, wewe unafikiria hiyo 90% yote watu hawana hofu ya Mungu?
vidumu vinapatikana huko huko kwenye hofu ya Mungu
ndo maana nakwambia relax bora huyo wako anasisitiza uwepo wako,si unajua hawezi kukutaja kwa wema? wenzio wanapelekwa ahera kabisa.ahahaaaa wanaume bwana...khaaa!usijali my dear sis ,nawajua sana ...tena wengine wanaenda mbali zaidi wanadai wake zao wamefariki ,ukimuuliza kazikwa wapi? wapi kaburi.. wanadai oooh alifia baharini hatukuona mwili so tulitupa tu maua huko.kumbe wife mzimaaaa hana hata kovu.[/QUOTE]
Smile wewe nimechekaje kwenye hiyo bluu mama weeeee huyo kazidi "You made my day"
Najiuliza.................
Ni kweli mpango wa kando a.k.a nyumba ndogo husaidia kupunguza stress za nyumbani kwako??
Kama si kweli mbona unakwenda kumsimulia mpango wa kando mambo/matatizo yako na mkeo???
Kama ni kweli mbona humuoi huyo mpango wa kando akawa mke mdogo/wa pili ili hizo stress za home uzimalizie bila kificho wajameni???
Najiuliza sana sipati majibu kwanini uende kumueleza matatizo/shida/ugomvi wako na mkeo huyu mwanamke wa nje tena unaomba akupunguzie stress?? Eeehhh??
Yaani unakutana na kimpango wa kando kinakujua kuliko eeeeehhhhh wajameni.......................
Najua Asprin Dark City Mr Rocky Erickb52 na wengineo mtanipa majibu NISAIDIENI TAFADHALI
YeahMaombi yanasaidia sana kiukweli Erick acha tu
kumbe inauma eeeh!Yan FP ukikamatika na mpango wa kando umekwisha mazima wala usidhani utasamehewa na mwanaume.
Hilo hakunaga best mpango wa kando ni kwa mwanaume tu kwenu NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!
Yan msamaha upo kwa vyote ila si kwa kukufuma na bwana mwingine....yan sijiulizi mara mbili tambaa zako na nisikuone tena tukutane mahakamani kwenye kugawana vitu.
Hahahahaaa hapo ndio ujue tunawapenda saaaaaaana our wives!Nashangaa ukiondoka kidogo kwenda kwa mama anaanza unarudi saa ngapi na ukiwepo anajidai kutokukujali
wewe ndo umesema 90% mna vidumu, mimi nilichoongezea tu kama 90% mna vidumu ina maana nyie wote 90% hamna hofu ya Mungu?Hahahahaaaa hiyo imani yenu ndio mbaya.... kwanini usiamini vidumu havipo?
Mbona inawezekana aisee?
Ipo ila siunajua shetani nae yumo humo humo anavizia wafuasiwewe ndo umesema 90% mna vidumu, mimi nilichoongezea tu kama 90% mna vidumu ina maana nyie wote 90% hamna hofu ya Mungu?