Lisa
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 1,549
- 1,075
usijali my dear sis ,nawajua sana ...tena wengine wanaenda mbali zaidi wanadai wake zao wamefariki ,ukimuuliza kazikwa wapi? wapi kaburi.. wanadai oooh alifia baharini hatukuona mwili so tulitupa tu maua huko.kumbe wife mzimaaaa hana hata kovu.[/QUOTE]
Hiyo hapo kwenye bluu ni kweli na yametokea, na huyo mbaba akaoa mke wa pili , wakazaa mtoto mmoja, ndipo ilipogundulika mkewe yupo hai, lakini yeye alimwambie yule mwanamke kuwa mkewe kafa siku nyingi.