Na ndio huwa hivyo eti wanajuaga wakiponda ya wenzao ndio wanaonesha mapenzi kwa nyumba ndogo lol ujinga mtupu
Wala siyo kimbea, inaonyesha wewe bado mdogo Dena Amsi, huo ni ujumbe uliimbwa na sikinde, au Msondo ukiwaasa wanandoa kuvumiliana, wakati wa shida, kuwa ukila kisamvu, mchicha akaze roho Dar umbea mwingi, alikuwa anamaanisha unaweza ukaolewa ukawa unaletewa maneno kuhusu mumeo kuwa yupo Bar fulani anatumbua mahela na mwanamke mwingine wakati home hakuacha kitu,sasa kama huna roho ngumu lazima utatoka kwenda kufanya fujo, hiyo haifai.unaweza kuta mumeo kapewa ofa na hilo jimama, au hilo jimama ndilo linafanya familia yako wewe kula na kuvaa na watoto kwenda shule so unatakiwa ukaze roho usisikilize maneno ya kuambiwa unaweza kuvunja Ndoa yako.mbona signature yako imekaa kimbea hivo shostisho?
Kudadadaadeeeeki
Kuiba raha ila kuibiwa balaaa
back to topic Dena Amsi mpe mumeo utamu wa kutosha atulizane
anachopewa kwa small house mpe nyumbani, atatulia naturally,hii vita sio ya ngumi na kununa..mpe mpe
i will be back shortly!
Hahahahaaaa Kongosho hapana aisee labda nisijueUkijua kuiba jua na kuibiwa lol
Tena unaenda pale kariakoo unajisahaulisha pochi lako makusudi ili wakuibie
Kuibiwa suna
Yeah ana haki tena ukute nanii zimemjaa hadi nanii imevimba lol halafu anajifanya muaminifu kwikwikwikwiiiii atabaki kulalama tu badala ya kutafuta kaserengeti kazikamue zote na stress zake ziishe :glasses-nerdy:Kwa hiyo Dena Amsi anayo haki ya kulalamika mtoto wa watu
kila siku kulala chukuchuku Loh.
Khaaaaaaaaaaaaaa! yaani unaendelea, na umefikia kunishawishi nimsaliti baba Careen nije huko nje niangalie ladha zingine, Nakwenda kukusemea.Wakati mwenzio najitapa nimepata mwanaume :A S angry::A S angry::A S angry:toka nje ya moshi uone vitu ,watu wanafaidiii ohoooo! njoo mitaa ya kati huku
Hahahahaaaa Kongosho hapana aisee labda nisijue
Halafu hakunaga wizi wa siku moja yan utashangaa ukiiba leo then baada ya wiki tena yan ndio kamchezo mwishowe unahamia huko kabisaa