Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

Ujinga tupu

Hata nyumba ndogo zimestuka, ukiponda kubwa ina maana hata yenyewe waiponda kwa ile ndogo zaidi

Inakula kona

Na ndio huwa hivyo eti wanajuaga wakiponda ya wenzao ndio wanaonesha mapenzi kwa nyumba ndogo lol ujinga mtupu
 
 
Si wanasemaga wanaume ni kama watoto,na akili ya mtoto si unaijua ukimpa pipi atakueleza kila kitu cha nyumbani kwao....jua tu hivo ili usife na pressure na uignore hicho kitabia
 
Kuna watu hata uwape maini hawatulii

Mmoja wao ni mie

Jamani kuku na nyama kila siku vinachosha, wacha nionje na dagaa au mchicha kwa jirani

back to topic Dena Amsi mpe mumeo utamu wa kutosha atulizane
anachopewa kwa small house mpe nyumbani, atatulia naturally,hii vita sio ya ngumi na kununa..mpe mpe
i will be back shortly!
 
Ukijua kuiba jua na kuibiwa lol

Tena unaenda pale kariakoo unajisahaulisha pochi lako makusudi ili wakuibie
Kuibiwa suna
Hahahahaaaa Kongosho hapana aisee labda nisijue
Halafu hakunaga wizi wa siku moja yan utashangaa ukiiba leo then baada ya wiki tena yan ndio kamchezo mwishowe unahamia huko kabisaa
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo Dena Amsi anayo haki ya kulalamika mtoto wa watu
kila siku kulala chukuchuku Loh.
Yeah ana haki tena ukute nanii zimemjaa hadi nanii imevimba lol halafu anajifanya muaminifu kwikwikwikwiiiii atabaki kulalama tu badala ya kutafuta kaserengeti kazikamue zote na stress zake ziishe :glasses-nerdy:

Copy kwa Dena Amsi
 
Last edited by a moderator:
toka nje ya moshi uone vitu ,watu wanafaidiii ohoooo! njoo mitaa ya kati huku
Khaaaaaaaaaaaaaa! yaani unaendelea, na umefikia kunishawishi nimsaliti baba Careen nije huko nje niangalie ladha zingine, Nakwenda kukusemea.Wakati mwenzio najitapa nimepata mwanaume :A S angry::A S angry::A S angry:
 
Erickb52 haiwezekani kabisa iwe siku moja
maufundi ya huko unayajuwa wewe? acha kabisa
watu wanaliaga machozi ati.

Hahahahaaaa Kongosho hapana aisee labda nisijue
Halafu hakunaga wizi wa siku moja yan utashangaa ukiiba leo then baada ya wiki tena yan ndio kamchezo mwishowe unahamia huko kabisaa
 
Last edited by a moderator:
Kuibiwa ni ongoing process

Ukitaka kuacha kuiba au kuibiwa fumaniwa- Asprin
Na ukiona unagundua unaibiwa jua mwenzio kakaribia kukuchoka, hajali tena

Hahahahaaaa Kongosho hapana aisee labda nisijue
Halafu hakunaga wizi wa siku moja yan utashangaa ukiiba leo then baada ya wiki tena yan ndio kamchezo mwishowe unahamia huko kabisaa
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 haiwezekani kabisa iwe siku moja
maufundi ya huko unayajuwa wewe? acha kabisa
watu wanaliaga machozi ati.
Ila Mamndenyi sio kila nyumba ndogo ina maufundi nyingine game moja tu hurudii tena yan unasema mazima na kila kitu unadelete.....!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…