Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

Umeona eeh

KUna raha ya kudeka kwa nyumba ndogo bana, hasa inapojua wajibu wake

Mi nikifika mlangoni tu nyumba ndogo inanibeba mgongoni mpaka chumbani kicha navuliwa nguo vitu kama hivi nilikuwa sivipati baada ya kuweka nyumba kubwa ndani enzi za uchumba nilikuwa napakatwa kama mtoto na kuogeshwa
 
tena michozi kibao tu ya mpaka kwenye kuta za meno!
kudadeki af tuje tudanganyane hapa kuwa ni kweli na kisha tuumie roho~!ah wapi![ Dena Amsi mi nakuaminia mfano hakuna!QUOTE=Kongosho;5672364]Na maneno yakiisha 'HULIA'[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
BTW: The so called "Matatizo ya Wanawake" yanafanana sana...! Ndiyo maana mwanaume akienda nyumba ndogo anasimulia "matatizo" ya mkewe na akirudi kwa mkewe anasimulia "matatizo" ya nyumba ndogo - kwa kauli tofauti lakini zinazo maanisha jambo lile lile..."

Kwa mkewe..." Kuna dada mmoja pale ofisini, hajui hata kusafisha kikombee baada ya kunywa chai, yaani yeye uwa anakiacha mezani hadi kesho yake napokuja "dada wa usafi"...!

Kwa nyumba ndogo... " Mke wangu awezi hata kunipakulia chakula, uwa anasubiri "housigeli" apakue"...!


Hapa baba mkubwa umeibua maneno je vp vitendo vya ngono unafikiri vya nyumba ndogo na kubwa ni sawa?
 
TENA ATUPATE ATUSIKIE UZURI!
shurti achutame akae chini na kitako asikie!
HAKUNA KULIA LIA OH MPANGO WA KANDO!AWE MTAANI IWE MNASHARE BAFU!
piga hamsa zako hudumia familia yako plus mumeo bibi!uone mwisho was siku kitakuwa nini!
mpango wa kando ungekuwa kuntu cleopatra angekuwa hai mpka leo jama!oh!
he he heeeeeeee, bhaassssssssssssssiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mlongo wangu, umesema yoooteeeee....
coca baridi kwa mlongo wangu tafadhali.... ingekuwa Ijumaa jioni ningekuambia pitia home tupate dompo kidogo tujipongeze, lol!
 
ndo kazi iliyo mfanya atafute nyumba ndogo na si kwenda kumhubiria neno la Mungu

kabisa yaani nyingine zote ni porojo tu.
Akisha kubali kupanua mapaja kazi kwisha.

suddenly shida zote zinayeyuka kiaaina..
 
Umeona eeh

KUna raha ya kudeka kwa nyumba ndogo bana, hasa inapojua wajibu wake

Ukiwa kwa nyumba ndogo kama ulipanga uache 10,000/= kodi ya meza kutokana na huduma unazo pewa pale unaamua kuongeza dau kabisa na kesho yake unarudi, unapewa huduma adimu ambazo hupewi kabisa na nyumba kubwa.
 
ahahahahhahahhahahhahahha narudia kwa herufi kubwa itakuwa hawajasikia
MWANAUME ATASEMA LOLOTE NA CHOCHOTE KUKUTIA!
(dada mkubwa mi nimenukuu tu)
nimeona mlongo wangu....
umesema sahihi kabisa afrodenzi
kama mtu anafikiria hayo maneno huwa ni ya kuyaacha hapo hapo
 
Last edited by a moderator:
kwani mwanaume anatafute nini kwa nyumba ndogo zaidi ya hilo neno KUTIA?

UNANIDAI CONTESSA !kwa hili!BAAAAAAAS!
AHAHHAHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHHAHA hilo tu!
KUTIA KWENYEWE KWENYE MASHARTI KIBAO KAMA IMF NA WB!mnakuwa mnatia au maumivu tuuu!kwendeni zenu mngekuwa wajuaji wa kutia mbn hamkai na hizo nyumba ndogo mzitie mchana usiku asubuhi na alafjiri!
kweeeeendra!
 
Ukizubaa unaweza jikuta umenunua starlet kimchezo mchezo tu

Ukiwa kwa nyumba ndogo kama ulipanga uache 10,000/= kodi ya meza kutokana na huduma unazo pewa pale unaamua kuongeza dau kabisa na kesho yake unarudi, unapewa huduma adimu ambazo hupewi kabisa na nyumba kubwa.
 
UNANIDAI CONTESSA !kwa hili!BAAAAAAAS!
AHAHHAHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHHAHA hilo tu!
KUTIA KWENYEWE KWENYE MASHARTI KIBAO KAMA IMF NA WB!mnakuwa mnatia au maumivu tuuu!kwendeni zenu mngekuwa wajuaji wa kutia mbn hamkai na hizo nyumba ndogo mzitie mchana usiku asubuhi na alafjiri!
kweeeeendra!

:becky::becky::becky: nyumba ndogo hainaga masharti bana unageuza kama KIBUA utakavyo :becky::becky:
 
Ukiwa kwa nyumba ndogo kama ulipanga uache 10,000/= kodi ya meza kutokana na huduma unazo pewa pale unaamua kuongeza dau kabisa na kesho yake unarudi, unapewa huduma adimu ambazo hupewi kabisa na nyumba kubwa.

ahahahahahhahahhahhahah jijazeni ujinga hivo hvo!
mkishamaliza kuhanjaaaaa weee ukirudi unakuta mkeo kang'aaa!unashindwa hata pa kumuanzia mnabaki na miwivu tu!
KULA HUWEZI unabaki oh ih sijui nini!
WAAAAAPI! WE SI HODARI WA KUTIA TIA NA HAPA SASA!
 
Ukizubaa unaweza jikuta umenunua starlet kimchezo mchezo tu

hahahaha mpwa we unafikiri wanao honga nyumba za urithi kwa nyumba ndogo unafikiri huwa wanataka?? yaani ni huduma anazo pewa anaona ni bora amfadhiri kwa kumpa kastarlet au nyumba
 
:becky::becky::becky: nyumba ndogo hainaga masharti bana unageuza kama KIBUA utakavyo :becky::becky:

ahahahahhahhahahahhahha af mnaambia taratibu mi sijawahi na we ila kweli nakuona kabisa!
ahahahhahahhahahahhaha kweli mjanja akikutana na mjanja mwenzie lazima nyasi zisiote!
wageuzeni tu ka vibua !ni hiyo hiyo ndizi na maparachichi au nini ili tuwe na sisi sato?
 
ahahahahahhahahhahhahah jijazeni ujinga hivo hvo!
mkishamaliza kuhanjaaaaa weee ukirudi unakuta mkeo kang'aaa!unashindwa hata pa kumuanzia mnabaki na miwivu tu!
KULA HUWEZI unabaki oh ih sijui nini!
WAAAAAPI! WE SI HODARI WA KUTIA TIA NA HAPA SASA!

:becky::becky::becky: alafu nyumba kubwa nasikia nazo huwa zinaonyesha ujuzi na utundu kwa vidumu/serengeti boyz unalijua hilo? kwa mmewe anabana ujuzi na utundu
 
kwani mwanaume anatafute nini kwa nyumba ndogo zaidi ya hilo neno KUTIA?

Hamna ..
Maana usikute mkeo anajua matunzo kuliko nyumba ndogo.
mpaka ufikie hatua ya kumuoa mtu inamaanisha umeridhika nae
na kama mambo kitandani (au nyumbani kwa ujumla) hayaendi sawa mko tayari kuongelea sababu
mnajuana vema..

kwa hiyo mwanamme akienda kwa nyumba ndogo ni
vua suruali , panua mapaja, baada ya hapo byeeeeeee
anarudi kwa mkeooo.

pole zao wadada wanaotumiwa kama bajaji....
 
Back
Top Bottom