Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
mwanaume atasema lolote na chochote kukutia.
ndo kazi iliyo mfanya atafute nyumba ndogo na si kwenda kumhubiria neno la Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwanaume atasema lolote na chochote kukutia.
Mi nikifika mlangoni tu nyumba ndogo inanibeba mgongoni mpaka chumbani kicha navuliwa nguo vitu kama hivi nilikuwa sivipati baada ya kuweka nyumba kubwa ndani enzi za uchumba nilikuwa napakatwa kama mtoto na kuogeshwa
BTW: The so called "Matatizo ya Wanawake" yanafanana sana...! Ndiyo maana mwanaume akienda nyumba ndogo anasimulia "matatizo" ya mkewe na akirudi kwa mkewe anasimulia "matatizo" ya nyumba ndogo - kwa kauli tofauti lakini zinazo maanisha jambo lile lile..."
Kwa mkewe..." Kuna dada mmoja pale ofisini, hajui hata kusafisha kikombee baada ya kunywa chai, yaani yeye uwa anakiacha mezani hadi kesho yake napokuja "dada wa usafi"...!
Kwa nyumba ndogo... " Mke wangu awezi hata kunipakulia chakula, uwa anasubiri "housigeli" apakue"...!
he he heeeeeeee, bhaassssssssssssssiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mlongo wangu, umesema yoooteeeee....TENA ATUPATE ATUSIKIE UZURI!
shurti achutame akae chini na kitako asikie!
HAKUNA KULIA LIA OH MPANGO WA KANDO!AWE MTAANI IWE MNASHARE BAFU!
piga hamsa zako hudumia familia yako plus mumeo bibi!uone mwisho was siku kitakuwa nini!
mpango wa kando ungekuwa kuntu cleopatra angekuwa hai mpka leo jama!oh!
ndo kazi iliyo mfanya atafute nyumba ndogo na si kwenda kumhubiria neno la Mungu
Umeona eeh
KUna raha ya kudeka kwa nyumba ndogo bana, hasa inapojua wajibu wake
nimeona mlongo wangu....ahahahahhahahhahahhahahha narudia kwa herufi kubwa itakuwa hawajasikia
MWANAUME ATASEMA LOLOTE NA CHOCHOTE KUKUTIA!
(dada mkubwa mi nimenukuu tu)
kwani mwanaume anatafute nini kwa nyumba ndogo zaidi ya hilo neno KUTIA?
Ukiwa kwa nyumba ndogo kama ulipanga uache 10,000/= kodi ya meza kutokana na huduma unazo pewa pale unaamua kuongeza dau kabisa na kesho yake unarudi, unapewa huduma adimu ambazo hupewi kabisa na nyumba kubwa.
kabisa yaani nyingine zote ni porojo tu.
Akisha kubali kupanua mapaja kazi kwisha.
suddenly shida zote zinayeyuka kiaaina..
UNANIDAI CONTESSA !kwa hili!BAAAAAAAS!
AHAHHAHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHHAHA hilo tu!
KUTIA KWENYEWE KWENYE MASHARTI KIBAO KAMA IMF NA WB!mnakuwa mnatia au maumivu tuuu!kwendeni zenu mngekuwa wajuaji wa kutia mbn hamkai na hizo nyumba ndogo mzitie mchana usiku asubuhi na alafjiri!
kweeeeendra!
Ukiwa kwa nyumba ndogo kama ulipanga uache 10,000/= kodi ya meza kutokana na huduma unazo pewa pale unaamua kuongeza dau kabisa na kesho yake unarudi, unapewa huduma adimu ambazo hupewi kabisa na nyumba kubwa.
Ukizubaa unaweza jikuta umenunua starlet kimchezo mchezo tu
:becky::becky::becky: nyumba ndogo hainaga masharti bana unageuza kama KIBUA utakavyo :becky::becky:
ahahahahahhahahhahhahah jijazeni ujinga hivo hvo!
mkishamaliza kuhanjaaaaa weee ukirudi unakuta mkeo kang'aaa!unashindwa hata pa kumuanzia mnabaki na miwivu tu!
KULA HUWEZI unabaki oh ih sijui nini!
WAAAAAPI! WE SI HODARI WA KUTIA TIA NA HAPA SASA!
kwani mwanaume anatafute nini kwa nyumba ndogo zaidi ya hilo neno KUTIA?