JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Unapewa Elimu kubwa na Bora,Bado unataka upewe na pesa!!watoto wa siku Hz Mbona vichwa maji!!tumia Elimu yako kutafuta pesa,wewe unataka samaki,mzazi kakufundisha kuvua samaki!hauna shukrani,unataka avue samaki wengi na akupe wewe kiasi wa kuuza!!!?!Unakuta mzazi anakwambia, "Mimi nitakusomesha mpaka pale utakaposema basi" lakini kukupa mtaji heh utasubiri sana.
Mzazi atajitutumua hata Kama ada ni kubwa atailipa hivyo hivyo. Unaweza mwambia mzee, hiyo pesa badala ya kunipeleka Feza Schools, unaonaje upatie nifungue biashara? Atagoma, atakwambia mimi kazi yangu ni kukusomesha.
Siri ni nini? Kwa nini ipo hivyo? Kwanini huwa wanagoma?
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app