Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Hiyo elimu sio hii ya darasani ingekuwa ndio hii basi wasomi wote wangetoboa kwenye biashara.Biashara inahitaji elimu pia mkuu ni Bora usome upate maarifa hata ukipewa mtaji uwe na uwezo wa kuumanage