Hivi ni kwanini mzazi yupo radhi akusomeshe mpaka PhD lakini asikupe mtaji wa kufanya biashara?

Biashara inahitaji elimu pia mkuu ni Bora usome upate maarifa hata ukipewa mtaji uwe na uwezo wa kuumanage
Hiyo elimu sio hii ya darasani ingekuwa ndio hii basi wasomi wote wangetoboa kwenye biashara.
 
Hii ni mada ya msingi sana umeianzisha Berylyn ambayo inabidi itutafakarishe wote.

Elimu ni muhimu sana kwa kweli, ila tofauti na zamani elimu pekee haitoshi miaka ya sasa. Mzazi inabidi awe na connection ili mtoto wake anayemsomesha akimaliza amconnect na kama hana, amuandalie maisha baada ya kumaliza elimu yake.

Ipo haja ya wazazi kutambua hilo kwa sasa kwamba mtoto akisoma sio guarantee ya mafanikio kwenye maisha. Kwa hiyo asije akatumia resources zake zote alizonazo kwa ajili ya kumsomesha mtoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry,hivi ulifanikiwa kupata mtu wa kukushika mkono@berlyn ?
 
Ukafanyie biashara halafu baadae umgeuke uje kumtoa kafara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…