Hiyo elimu sio hii ya darasani ingekuwa ndio hii basi wasomi wote wangetoboa kwenye biashara.Biashara inahitaji elimu pia mkuu ni Bora usome upate maarifa hata ukipewa mtaji uwe na uwezo wa kuumanage
[emoji3][emoji3][emoji3]Madelu kasema tuwasaidie kujiajiri, kwa hiyo mkimaliza hizo PhD kuna mashamba yanawasubiri huku...
Hii ni mada ya msingi sana umeianzisha Berylyn ambayo inabidi itutafakarishe wote.Unakuta mzazi anakwambia, "Mimi nitakusomesha mpaka pale utakaposema basi" lakini kukupa mtaji heh utasubiri sana.
Mzazi atajitutumua hata Kama ada ni kubwa atailipa hivyo hivyo. Unaweza mwambia mzee, hiyo pesa badala ya kunipeleka Feza Schools, unaonaje upatie nifungue biashara? Atagoma, atakwambia mimi kazi yangu ni kukusomesha.
Siri ni nini? Kwa nini ipo hivyo? Kwanini huwa wanagoma?
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app