Hivi ni kwanini Serikali ya Mama Samia inatumia nguvu kubwa kuwaondoa Wamasai Ngorongoro?

Hivi ni kwanini Serikali ya Mama Samia inatumia nguvu kubwa kuwaondoa Wamasai Ngorongoro?

The Khoisan

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2007
Posts
16,434
Reaction score
14,547
Hii issue ya Wamasai kuhamishwa kutoka kwenye makazi yao ya asili imepamba moto kwenye hii awamu. Mkoloni mwenyewe hakuwahi hata kuattempt kufanya hivyo na serikali za awamu zilizopita pia hazikujaribu kuwaondoa.

Cha kushangaza awamu hii wanajaribu kwa kila mbinu na hali kuhakikisha kuwa Wamasai wanaondolewa Ngorongoro. Baada ya mbinu ya kuwahamishia Msomela, Tanga kushindikana sasa wameamua kuvifuta vijiji vyao na kuwanyima huduma za kiafya na kijamii. Seriously? Wawahamishe wanyama wawapeleke Burigi (JOKE)!

Wakati Wamasai wanahangaika, viongozi wa Kitaifa wameendelea na shughuli zao kama kawaida as if hawajali kinachoendelea huko Ngorongoro. Maza yeye kaamua kwenda kwao Kizimkazi kujipumzisha.

Tukumbuke kuwa, Wamasai ni raia kama raia wengine.
 
Ololosokwan karibu na geti la Klens hapo juu kilimani ...kaa Kwapuwa!!!
 
Azimio la umoja wa mataifa kulinda hifadhi
 
Serikali ya samia mnaisingizia tatizo ni CCM ndio haiwataki wamasai kama ilivyofukuza watu maeneo yenye dhahabu kanda ya ziwa
 
Alitanguliza kula vya watu na wenye navyo wanataka kurudishiwa na ili aweze kulipa lazima awaondoe wamasai wapende wasipende.
 
fundi kashakula ela ya mtu, nguo hajashona na mwenye nayo kaja anaitaka
 
Hii issue ya Wamasai kuhamishwa kutoka kwenye makazi yao ya asili imepamba moto kwenye hii awamu. Mkoloni mwenyewe hakuwahi hata kuattempt kufanya hivyo na serikali za awamu zilizopita pia hazikujaribu kuwaondoa.

Cha kushangaza awamu hii wanajaribu kwa kila mbinu na hali kuhakikisha kuwa Wamasai wanaondolewa Ngorongoro. Baada ya mbinu ya kuwahamishia Msomela, Tanga kushindikana sasa wameamua kuvifuta vijiji vyao na kuwanyima huduma za kiafya na kijamii. Seriously? Wawahamishe wanyama wawapeleke Burigi (JOKE)!

Wakati Wamasai wanahangaika, viongozi wa Kitaifa wameendelea na shughuli zao kama kawaida as if hawajali kinachoendelea huko Ngorongoro. Maza yeye kaamua kwenda kwao Kizimkazi kujipumzisha.

Tukumbuke kuwa, Wamasai ni raia kama raia wengine.
Tatizo la Afrika tulimfukuza mkoloni mweupe tukachugua mkolono mweusi...wacha ituue kwanza wamasai si wabantu!
 
Serikali ya samia mnaisingizia tatizo ni CCM ndio haiwataki wamasai kama ilivyofukuza watu maeneo yenye dhahabu kanda ya ziwa

Hii ni tofauti kabisa. Ngorongoro wanataka kuhamisha karibu nusu ya Wakazi ... yaani Wamasai 80, 000.
 
Hii issue ya Wamasai kuhamishwa kutoka kwenye makazi yao ya asili imepamba moto kwenye hii awamu. Mkoloni mwenyewe hakuwahi hata kuattempt kufanya hivyo na serikali za awamu zilizopita pia hazikujaribu kuwaondoa.

Cha kushangaza awamu hii wanajaribu kwa kila mbinu na hali kuhakikisha kuwa Wamasai wanaondolewa Ngorongoro. Baada ya mbinu ya kuwahamishia Msomela, Tanga kushindikana sasa wameamua kuvifuta vijiji vyao na kuwanyima huduma za kiafya na kijamii. Seriously? Wawahamishe wanyama wawapeleke Burigi (JOKE)!

Wakati Wamasai wanahangaika, viongozi wa Kitaifa wameendelea na shughuli zao kama kawaida as if hawajali kinachoendelea huko Ngorongoro. Maza yeye kaamua kwenda kwao Kizimkazi kujipumzisha.

Tukumbuke kuwa, Wamasai ni raia kama raia wengine.
Anawapatia wajomba zake
 
Hii issue ya Wamasai kuhamishwa kutoka kwenye makazi yao ya asili imepamba moto kwenye hii awamu. Mkoloni mwenyewe hakuwahi hata kuattempt kufanya hivyo na serikali za awamu zilizopita pia hazikujaribu kuwaondoa.

Cha kushangaza awamu hii wanajaribu kwa kila mbinu na hali kuhakikisha kuwa Wamasai wanaondolewa Ngorongoro. Baada ya mbinu ya kuwahamishia Msomela, Tanga kushindikana sasa wameamua kuvifuta vijiji vyao na kuwanyima huduma za kiafya na kijamii. Seriously? Wawahamishe wanyama wawapeleke Burigi (JOKE)!

Wakati Wamasai wanahangaika, viongozi wa Kitaifa wameendelea na shughuli zao kama kawaida as if hawajali kinachoendelea huko Ngorongoro. Maza yeye kaamua kwenda kwao Kizimkazi kujipumzisha.

Tukumbuke kuwa, Wamasai ni raia kama raia wengine.
Walikua elfu kumi sasa hivi wapo laki mbili,yaani wamezidi wanyama
 
Back
Top Bottom