Hivi ni kwanini Serikali ya Mama Samia inatumia nguvu kubwa kuwaondoa Wamasai Ngorongoro?

Hivi ni kwanini Serikali ya Mama Samia inatumia nguvu kubwa kuwaondoa Wamasai Ngorongoro?

Muda sio mrefu tutasikia mgogoro wa Wafugaji (Maasai) na Wakulima (Wazigua) huko Msomera.
 
Hii issue ya Wamasai kuhamishwa kutoka kwenye makazi yao ya asili imepamba moto kwenye hii awamu. Mkoloni mwenyewe hakuwahi hata kuattempt kufanya hivyo na serikali za awamu zilizopita pia hazikujaribu kuwaondoa.

Cha kushangaza awamu hii wanajaribu kwa kila mbinu na hali kuhakikisha kuwa Wamasai wanaondolewa Ngorongoro. Baada ya mbinu ya kuwahamishia Msomela, Tanga kushindikana sasa wameamua kuvifuta vijiji vyao na kuwanyima huduma za kiafya na kijamii. Seriously? Wawahamishe wanyama wawapeleke Burigi (JOKE)!

Wakati Wamasai wanahangaika, viongozi wa Kitaifa wameendelea na shughuli zao kama kawaida as if hawajali kinachoendelea huko Ngorongoro. Maza yeye kaamua kwenda kwao Kizimkazi kujipumzisha.

Tukumbuke kuwa, Wamasai ni raia kama raia wengine.
DP WELD
 
Hii issue ya Wamasai kuhamishwa kutoka kwenye makazi yao ya asili imepamba moto kwenye hii awamu. Mkoloni mwenyewe hakuwahi hata kuattempt kufanya hivyo na serikali za awamu zilizopita pia hazikujaribu kuwaondoa.

Cha kushangaza awamu hii wanajaribu kwa kila mbinu na hali kuhakikisha kuwa Wamasai wanaondolewa Ngorongoro. Baada ya mbinu ya kuwahamishia Msomela, Tanga kushindikana sasa wameamua kuvifuta vijiji vyao na kuwanyima huduma za kiafya na kijamii. Seriously? Wawahamishe wanyama wawapeleke Burigi (JOKE)!

Wakati Wamasai wanahangaika, viongozi wa Kitaifa wameendelea na shughuli zao kama kawaida as if hawajali kinachoendelea huko Ngorongoro. Maza yeye kaamua kwenda kwao Kizimkazi kujipumzisha.

Tukumbuke kuwa, Wamasai ni raia kama raia wengine.
Ukishakula rushwa ya mtu, huwezi kuwa na uhuru. Ni lazima utende kama mtoa rushwa anavyotaka. Mahali tulipofikia, hawa watoa rushwa wa kimataifa wakitaka hata watu wauawe, watawala wetu watatekeleza.

Hao waliotangulia, japo walikuwa na kasoro zao, lakini hawakuwahi kuwa watawala mamluki wa waporaji wa rasilimali za nchi, wa kimataifa.
 
Hii issue ya Wamasai kuhamishwa kutoka kwenye makazi yao ya asili imepamba moto kwenye hii awamu. Mkoloni mwenyewe hakuwahi hata kuattempt kufanya hivyo na serikali za awamu zilizopita pia hazikujaribu kuwaondoa.

Cha kushangaza awamu hii wanajaribu kwa kila mbinu na hali kuhakikisha kuwa Wamasai wanaondolewa Ngorongoro. Baada ya mbinu ya kuwahamishia Msomela, Tanga kushindikana sasa wameamua kuvifuta vijiji vyao na kuwanyima huduma za kiafya na kijamii. Seriously? Wawahamishe wanyama wawapeleke Burigi (JOKE)!

Wakati Wamasai wanahangaika, viongozi wa Kitaifa wameendelea na shughuli zao kama kawaida as if hawajali kinachoendelea huko Ngorongoro. Maza yeye kaamua kwenda kwao Kizimkazi kujipumzisha.

Tukumbuke kuwa, Wamasai ni raia kama raia wengine.
Hao wamekula hela ya mungu wao muarabu....ila watainya hio hela
 
Hii issue ya Wamasai kuhamishwa kutoka kwenye makazi yao ya asili imepamba moto kwenye hii awamu. Mkoloni mwenyewe hakuwahi hata kuattempt kufanya hivyo na serikali za awamu zilizopita pia hazikujaribu kuwaondoa.

Cha kushangaza awamu hii wanajaribu kwa kila mbinu na hali kuhakikisha kuwa Wamasai wanaondolewa Ngorongoro. Baada ya mbinu ya kuwahamishia Msomela, Tanga kushindikana sasa wameamua kuvifuta vijiji vyao na kuwanyima huduma za kiafya na kijamii. Seriously? Wawahamishe wanyama wawapeleke Burigi (JOKE)!

Wakati Wamasai wanahangaika, viongozi wa Kitaifa wameendelea na shughuli zao kama kawaida as if hawajali kinachoendelea huko Ngorongoro. Maza yeye kaamua kwenda kwao Kizimkazi kujipumzisha.

Tukumbuke kuwa, Wamasai ni raia kama raia wengine.
Ingekua nchi km za ulaya undercover journalist washaingi kazini.
 
Tatizo, Bongo yetu ni Small North Korea au Rusia. Mashushu mpaka makanisani.

Hawachelewi kukustukia na kukumaliza
Hapana undercover wana mipenyo yao na docunentary inatolewa after 1year inaaachiwa hapo lazima watatftane..
 
Hapana undercover wana mipenyo yao na docunentary inatolewa after 1year inaaachiwa hapo lazima watatftane..

That will be nice.

Kwa kweli naanza na kukbaliana na Lissu kuwa huyu Mama anatufanyia mambo mabaya sana.
 
Hii issue ya Wamasai kuhamishwa kutoka kwenye makazi yao ya asili imepamba moto kwenye hii awamu. Mkoloni mwenyewe hakuwahi hata kuattempt kufanya hivyo na serikali za awamu zilizopita pia hazikujaribu kuwaondoa.

Cha kushangaza awamu hii wanajaribu kwa kila mbinu na hali kuhakikisha kuwa Wamasai wanaondolewa Ngorongoro. Baada ya mbinu ya kuwahamishia Msomela, Tanga kushindikana sasa wameamua kuvifuta vijiji vyao na kuwanyima huduma za kiafya na kijamii. Seriously? Wawahamishe wanyama wawapeleke Burigi (JOKE)!

Wakati Wamasai wanahangaika, viongozi wa Kitaifa wameendelea na shughuli zao kama kawaida as if hawajali kinachoendelea huko Ngorongoro. Maza yeye kaamua kwenda kwao Kizimkazi kujipumzisha.

Tukumbuke kuwa, Wamasai ni raia kama raia wengine.
Kwa kifupi Hawa vyura viziwi tayari wamekula hela ya Mwarabu. Maamae zao.
 
Hatua ya 1: Tengeneza tatizo.

Hatua ya 2: Jitenge na hilo tatizo.

Hatua ya 3: Jifanye unaguswa na tatizo ulilolitengeneza.

Hatua ya 4: Tatua hilo tatizo katika namna inayofanikisha malengo yako.

Hatua ya 4: Hakikisha unapongezwa kwa juhudi.
 
Back
Top Bottom