The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
- Thread starter
-
- #21
Walikua elfu kumi sasa hivi wapo laki mbili,yaani wamezidi wanyama
Ngorongoro haitakiwi kukaliwa,ni conservation areaIt doesn't matter. Ulitaka wasizaliane...!!?
Wakati tunapata Uhuru mwaka 1961 population ilikuwa 9 million. Sasa tuko million 60.
DP WELDHii issue ya Wamasai kuhamishwa kutoka kwenye makazi yao ya asili imepamba moto kwenye hii awamu. Mkoloni mwenyewe hakuwahi hata kuattempt kufanya hivyo na serikali za awamu zilizopita pia hazikujaribu kuwaondoa.
Cha kushangaza awamu hii wanajaribu kwa kila mbinu na hali kuhakikisha kuwa Wamasai wanaondolewa Ngorongoro. Baada ya mbinu ya kuwahamishia Msomela, Tanga kushindikana sasa wameamua kuvifuta vijiji vyao na kuwanyima huduma za kiafya na kijamii. Seriously? Wawahamishe wanyama wawapeleke Burigi (JOKE)!
Wakati Wamasai wanahangaika, viongozi wa Kitaifa wameendelea na shughuli zao kama kawaida as if hawajali kinachoendelea huko Ngorongoro. Maza yeye kaamua kwenda kwao Kizimkazi kujipumzisha.
Tukumbuke kuwa, Wamasai ni raia kama raia wengine.
Ukishakula rushwa ya mtu, huwezi kuwa na uhuru. Ni lazima utende kama mtoa rushwa anavyotaka. Mahali tulipofikia, hawa watoa rushwa wa kimataifa wakitaka hata watu wauawe, watawala wetu watatekeleza.Hii issue ya Wamasai kuhamishwa kutoka kwenye makazi yao ya asili imepamba moto kwenye hii awamu. Mkoloni mwenyewe hakuwahi hata kuattempt kufanya hivyo na serikali za awamu zilizopita pia hazikujaribu kuwaondoa.
Cha kushangaza awamu hii wanajaribu kwa kila mbinu na hali kuhakikisha kuwa Wamasai wanaondolewa Ngorongoro. Baada ya mbinu ya kuwahamishia Msomela, Tanga kushindikana sasa wameamua kuvifuta vijiji vyao na kuwanyima huduma za kiafya na kijamii. Seriously? Wawahamishe wanyama wawapeleke Burigi (JOKE)!
Wakati Wamasai wanahangaika, viongozi wa Kitaifa wameendelea na shughuli zao kama kawaida as if hawajali kinachoendelea huko Ngorongoro. Maza yeye kaamua kwenda kwao Kizimkazi kujipumzisha.
Tukumbuke kuwa, Wamasai ni raia kama raia wengine.
Hao wamekula hela ya mungu wao muarabu....ila watainya hio helaHii issue ya Wamasai kuhamishwa kutoka kwenye makazi yao ya asili imepamba moto kwenye hii awamu. Mkoloni mwenyewe hakuwahi hata kuattempt kufanya hivyo na serikali za awamu zilizopita pia hazikujaribu kuwaondoa.
Cha kushangaza awamu hii wanajaribu kwa kila mbinu na hali kuhakikisha kuwa Wamasai wanaondolewa Ngorongoro. Baada ya mbinu ya kuwahamishia Msomela, Tanga kushindikana sasa wameamua kuvifuta vijiji vyao na kuwanyima huduma za kiafya na kijamii. Seriously? Wawahamishe wanyama wawapeleke Burigi (JOKE)!
Wakati Wamasai wanahangaika, viongozi wa Kitaifa wameendelea na shughuli zao kama kawaida as if hawajali kinachoendelea huko Ngorongoro. Maza yeye kaamua kwenda kwao Kizimkazi kujipumzisha.
Tukumbuke kuwa, Wamasai ni raia kama raia wengine.
Ingekua nchi km za ulaya undercover journalist washaingi kazini.Hii issue ya Wamasai kuhamishwa kutoka kwenye makazi yao ya asili imepamba moto kwenye hii awamu. Mkoloni mwenyewe hakuwahi hata kuattempt kufanya hivyo na serikali za awamu zilizopita pia hazikujaribu kuwaondoa.
Cha kushangaza awamu hii wanajaribu kwa kila mbinu na hali kuhakikisha kuwa Wamasai wanaondolewa Ngorongoro. Baada ya mbinu ya kuwahamishia Msomela, Tanga kushindikana sasa wameamua kuvifuta vijiji vyao na kuwanyima huduma za kiafya na kijamii. Seriously? Wawahamishe wanyama wawapeleke Burigi (JOKE)!
Wakati Wamasai wanahangaika, viongozi wa Kitaifa wameendelea na shughuli zao kama kawaida as if hawajali kinachoendelea huko Ngorongoro. Maza yeye kaamua kwenda kwao Kizimkazi kujipumzisha.
Tukumbuke kuwa, Wamasai ni raia kama raia wengine.
Ukiwahendekeza hao jamaa kuna siku utakuta simba wanazoea kula mihogo au jojo, wanyama watabadilika tabiaMbona mnapenda kuhusudu uongo?
Hilo swali siyo la kuuliza,che che mbona tayari zinatokeaMuda sio mrefu tutasikia mgogoro wa Wafugaji (Maasai) na Wakulima (Wazigua) huko Msomera.
Ingekua nchi km za ulaya undercover journalist washaingi kazini.
Hapana undercover wana mipenyo yao na docunentary inatolewa after 1year inaaachiwa hapo lazima watatftane..Tatizo, Bongo yetu ni Small North Korea au Rusia. Mashushu mpaka makanisani.
Hawachelewi kukustukia na kukumaliza
Hapana undercover wana mipenyo yao na docunentary inatolewa after 1year inaaachiwa hapo lazima watatftane..
Kwa kifupi Hawa vyura viziwi tayari wamekula hela ya Mwarabu. Maamae zao.Hii issue ya Wamasai kuhamishwa kutoka kwenye makazi yao ya asili imepamba moto kwenye hii awamu. Mkoloni mwenyewe hakuwahi hata kuattempt kufanya hivyo na serikali za awamu zilizopita pia hazikujaribu kuwaondoa.
Cha kushangaza awamu hii wanajaribu kwa kila mbinu na hali kuhakikisha kuwa Wamasai wanaondolewa Ngorongoro. Baada ya mbinu ya kuwahamishia Msomela, Tanga kushindikana sasa wameamua kuvifuta vijiji vyao na kuwanyima huduma za kiafya na kijamii. Seriously? Wawahamishe wanyama wawapeleke Burigi (JOKE)!
Wakati Wamasai wanahangaika, viongozi wa Kitaifa wameendelea na shughuli zao kama kawaida as if hawajali kinachoendelea huko Ngorongoro. Maza yeye kaamua kwenda kwao Kizimkazi kujipumzisha.
Tukumbuke kuwa, Wamasai ni raia kama raia wengine.