Mkuu itabidi uwe mwenyeji wangu huko
Tanga raha weye... Karibu tuuu. "Love City" waja leo waondoka mwakani.
Powa, ukiwa hapo nambie
hamna tatzo mkuu tunaenda sambamba
Vp ukitwa chief!Duu hili kweli tatizo
Kuna katabia ka kuitana mkuu i don't like sijui nyinyi wenzangu kitu kidogo "mkuu" mpaka watoto wa kike nao utawasikia "mkuu" Janaume nalo linamuita mtoto wa kike "Mkuu" Cc. nifah