Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Kuna katabia ka kuitana mkuu i don't like sijui nyinyi wenzangu kitu kidogo "mkuu" mpaka watoto wa kike nao utawasikia "mkuu" Janaume nalo linamuita mtoto wa kike "Mkuu" Cc. nifah
 
Last edited by a moderator:
Kuna katabia ka kuitana mkuu i don't like sijui nyinyi wenzangu kitu kidogo "mkuu" mpaka watoto wa kike nao utawasikia "mkuu" Janaume nalo linamuita mtoto wa kike "Mkuu" Cc. nifah
Sawa Sawa Mkuu tumekusikia.
 
Last edited by a moderator:
sasa mkuuu tupe mbadala. maana humu ndani ni heshima kwa wote mkuu.

halafu mkuu Ritz siku hizi yuko wapi?
 
powa, MKUU style yako ya kupata wachangiaji nimeipenda.
 
Kuna katabia ka kuitana mkuu i don't like sijui nyinyi wenzangu kitu kidogo "mkuu" mpaka watoto wa kike nao utawasikia "mkuu" Janaume nalo linamuita mtoto wa kike "Mkuu" Cc. nifah
OK mkuu tumekuelewa.
 
Last edited by a moderator:
Kuna katabia ka kuitana mkuu i don't like sijui nyinyi wenzangu kitu kidogo "mkuu" mpaka watoto wa kike nao utawasikia "mkuu" Janaume nalo linamuita mtoto wa kike "Mkuu" Cc. nifah

This forum is home of "GREAT" thinkers! So you are "The Great one" ndio maana tunakuita "MKUU"
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom