Mkuu nandembako,hilo neno maana yake ni kiongoz Wa wahengaNimekuwa nafuatilia sana,kwa hesabu ya haraka haraka hili neno linatajwa zaidi ya mara mia kwa siku kwenye comment na post.....aloyeanzisha hili neno humu alilenga nin,au ni mbadara wa neno lipi hasa humu ndani.waswahili na waelewa na hata wamapovu mwaweza kuja kuniongezea cha kufikiria.
by emma mjasiriamali
Hahahahhaha.....naona bora litumike hata la mhenga,maana ndio ina heshima pia sawa
Haina tabu mbona mkuu
MKUU,ULIFANIKIWANimekuwa humu kwa kipindi kidogo lakini hili la kuitana 'Mkuu' limekuja tu. Sijui kwanini wakuu?
Ukipata jibu sahihi niPM Mkuu.Nimekuwa humu kwa kipindi kidogo lakini hili la kuitana 'Mkuu' limekuja tu. Sijui kwanini wakuu?
Mkuu inanoga Sana kuliko hilo la comrade. Mkuu pamoja sana .Mkuu nini tatizo mkuu ila mkuu hauoni heshima kwa jina hilo mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa humu kwa kipindi kidogo lakini hili la kuitana 'Mkuu' limekuja tu. Sijui kwanini wakuu?