Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Mbona neno MKUU bado linasonga?,angalia comment mwanzo mpak mwisho
 
Mkuu, wengi wao ndio makuruta wa Lumumba. Hawana adabu kabisa.

Ni kweli mkuu, hivi unaweza kumuita Ifweero au Lizibon au Ruttashobolwa, Msalani n.k mkuu? Unaweza kumuita hivyo mtu ambaye anaonyesha ana busara sio hawa wasema ovyo.

Tiba
 
Ni kweli mkuu, hivi unaweza kumuita Ifweero au Lizibon au Ruttashobolwa, Msalani n.k mkuu? Unaweza kumuita hivyo mtu ambaye anaonyesha ana busara sio hawa wasema ovyo.

Tiba

Au yule baba anayependa mabebz wa ukwali! anayependa kutumia neno mburulaz, anayependa kujiita le mutuz baharia, huyu utathubutu kumuita mkuu? labda umalizie ...ndu!!!
 
Back
Top Bottom