Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna katabia ka kuitana mkuu i don't like sijui nyinyi wenzangu kitu kidogo "mkuu" mpaka watoto wa kike nao utawasikia "mkuu" Janaume nalo linamuita mtoto wa kike "Mkuu" Cc. nifah
Mkuu umenichekesha sana sitoiacha jf kamwe...
Kuna katabia ka kuitana mkuu i don't like sijui nyinyi wenzangu kitu kidogo "mkuu" mpaka watoto wa kike nao utawasikia "mkuu" Janaume nalo linamuita mtoto wa kike "Mkuu" Cc. nifah
Nashangazwa na matumizi ya neno MKUU humu Jf. Yaani kila mtu anamwita mwenzake mkuu hivi huu ni ukuu unatokana na kitu gani.
[emoji1] [emoji2] [emoji3] vyovyote utakavyolichukulia MKUUMkuu,hilo ni swali;pendekezo au nini?Weka vema ujumbe mkuu😀😀
Kwa lugha za kigeni huitwa "THE BOSS, YAA SHEIKH, au CHIFU.., au DOCTA..""@!! Nikuheshimiana ki protokoli...Hili neno huwa linapendeza sana kulitumia humu, hasa ukizingatia hatujuani jinsi zetu. Japo kuna maneno mengine yanaweza tumika kama mdau, mheshimiwa, n.k kwa nini hili ndo mnapendeleaaaaaaaaa