Hivi ni kwanini vyombo vya habari/ waandishi wa habari Tanzania hawawezi wauliza viongozi maswali tunayoyatarajia?

Aisee..!
 
Hii ya kuteua watu kutoka kwenye kada mbambali imepelekea watanzania wengi kuwa wanafiki wakiwamo hao wanahabari, unataka waukose udc?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…