Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Aisee kivipi??binafsi siogopi naheshimu uwepo wao
kiivo, unamuogopaje binadam mwenzio?Aisee kivipi??
Walahi nimeona ofisi kibao ndio maana nikatoa postkiivo, unamuogopaje binadam mwenzio?
ofisi za niniWalahi nimeona ofisi kibao ndio maana nikatoa post
Za vitu mbali mbali ambapo msbosy ni wazunguofisi za nini
IPO sikubnita kutiia adabuIntelligent businessman naomba wazo lako laleo kuhusu lile kofi ulilolambwa na yule cheupe
Naomba kujua hili.
Wanawapelekesha ,
Wanawatumikisha
Wanakaripia lakini wala hamlalamiki mnaona sawa tu ni kwanini , yaani tuseme tu wenye sura nyeupe , nyeusi wanawahanya sana .
Hata dada mweupe watu wanamuhanya .
Huwa shida nini?? Au wao ni nuru nyie ni giza maana sio kiasi hicho .
Kwanini??Sio kosa lao,ni Historia tu ya utumwa na ukoloni.
Mtu akikutawala always utamuona ni bora zaidi yako.
Mbaya zaidi hawa Watu weupe wanajua kwamba Watu weusi wanawagwaya,na wanacapitalize hasa kwenye huo udhaifu.
Dada zetu wamekubuhu unyonge kwa Watu weupe.
Mimi nikikutana nao huwa nawapa wanachostahili.
Mtu mweupe akiingia anga zangu lazima "nimpige".
Ila si mweupe"Baadhi" Naomba unitake radhi mimi. Mtu pekee nayemwogopa ni Putin.
wapo waafrika ambao hawajazisoma hizo historia still wako na hiyo shida!Wengi wanachukulia uzungu kama ndio maisha na kila mzungu ana pesa au yupo bora kwa kiasi flani. Na hii tulaumu na hizi historia tunazofundishwa darasani maana zinatutengeneza kujiona kama victims au wanyonge flani hivi na wao kama ndo wenye akili na ubora zaidi
Ila si mweupe
Ipi nahuku upo kwenye list ya kupigwa za kichina china unafaa kwa dinner National Anthem njoo huyu mutu tumtishe kidogoIPO sikubnita kutiia adabu
Walahi nimeona ofisi kibao ndio maana nikatoa post