Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
ndio inamaanisha tunawaogopa? sidhaniZa vitu mbali mbali ambapo msbosy ni wazungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio inamaanisha tunawaogopa? sidhaniZa vitu mbali mbali ambapo msbosy ni wazungu
Ukiwaona hata wakiambiwa nilambe miguu wanafanyaWapumbavu hao na hawajielewi
Hujawaonandio inamaanisha tunawaogopa? sidhani
CCM inatupelekesha left, right, down, up, ni wazungu?Naomba kujua hili.
Wanawapelekesha ,
Wanawatumikisha
Wanakaripia lakini wala hamlalamiki mnaona sawa tu ni kwanini , yaani tuseme tu wenye sura nyeupe , nyeusi wanawahanya sana .
Hata dada mweupe watu wanamuhanya .
Huwa shida nini?? Au wao ni nuru nyie ni giza maana sio kiasi hicho .
Ukiwaona hata wakiambiwa nilambe miguu wanafanya
Ni kweli nasemaAibu sana
Wanachangia kuanguka kwa mti usilaumu upepo wenyewe hata vitu vingine vinachangia kuanguka kwa mtiCCM inatupelekesha left, right, down, up, ni wazungu?
Magufuli alikuwa anatukana mawaziri pumbavu na walikuwa hawathubutu kufanya chochote. Magufuli alikuwa akitaja jina la kiongozi yoyote wakati wakiwa kwenye mikutano ni lazima huyo aliyetajwa jina atasimama na kuinama kwa heshima kama anaabudu. Ninachotaka kukuambia ni kuwa sisi watu weusi mtu yoyote ambaye ametuzidi fedha au cheo huwa ''tunamwabudu''. Hili pengine linatokana na mazingira ya umaskini tunayokulia. Kuhusu wazungu: mwafrika akigundua mzungu ni fukara au hana cheo, basi atamwita ''mzungu koko'' na wala hatamwogopa. Conclusion: anachoogopa mtu mweusi ni fedha au cheo na siyo rangi.Walahi nimeona ofisi kibao ndio maana nikatoa post
😅😅😅 usisahahu pili pili kichaaIpi nahuku upo kwenye list ya kupigwa za kichina china unafaa kwa dinner National Anthem njoo huyu mutu tumtishe kidogo
Hawa wanaoamini hakuna nabii mweusi na ngozi nyeusi imelaanikawapo waafrika ambao hawajazisoma hizo historia still wako na hiyo shida!
hilo tatizo ni zaidi ya hapo
Eti kasema atanifunza adabu ipi sura kama ngararumu , kitumbo chenyewe kama mimba ya panya Intelligent businessman wapi kwiyo mwone kitambi cha safura hicho😅😅😅 usisahahu pili pili kichaa
Niachie huyoo boss wangu.. imeisha hiyo 😅😅Eti kasema atanifunza adabu ipi sura kama ngararumu , kitumbo chenyewe kama mimba ya panya
Yaani leo tu mwendee kiukweli sasa atujui nini tunampa cha ukwerii nishtue saa tisa usiku au sita tukamgawanye kama fimbo ya musaNiachie huyoo boss wangu.. imeisha hiyo 😅😅
Aisee kumbe ni wenye hela tuMagufuli alikuwa anatukana mawaziri pumbavu na walikuwa hawathubutu kufanya chochote. Magufuli alikuwa akitaja jina la kiongozi yoyote wakati wakiwa kwenye mikutano ni lazima huyo aliyetajwa jina atasimama na kuinama kwa heshima kama anaabudu. Ninachotaka kukuambia ni kuwa sisi watu weusi mtu yoyote ambaye ametuzidi fedha au cheo huwa ''tunamwabudu''. Hili pengine linatokana na mazingira ya umaskini tunayokulia. Kuhusu wazungu: mwafrika akigundua mzungu ni fukara au hana cheo, basi atamwita ''mzungu koko'' na wala hatamwogopa. Conclusion: anachoogopa mtu mweusi ni fedha au cheo na siyo rangi.
😅😅😅 tukalie wapi nyama yake sasaYaani leo tu mwendee kiukweli sasa atujui nini tunampa cha ukwerii nishtue saa tisa usiku au sita tukamgawanye kama fimbo ya musa
Tuchukue vitu vya muhimu halafu tumtupe kwa wale mbwa😅😅😅 tukalie wapi nyama yake sasa
mie nakula vidole 😅😅Tuchukue vitu vya muhimu halafu tumtupe kwa wale mbwa
Soma chakumfanya sanamie nakula vidole 😅😅
😅😅😅 Intelligent businessman jichagulie adhabuAu twende na bakora ule mjeledi tumchape weeh hadi azimie kashenzi kale National Anthem