Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Nilishaongea sana na sasa naona kazi kurudia . Icheki hii video fupi hapo chini uone jinsi akili za Mwafrika huyu na ma bodyguards wake
Mimi ni Mtanzania ila simjui huyu kijana I mean sio maarufu sana, sio potential sana kwamba anaweza kuvamiwa akitembea mchana maeneo ya wazi hasa pahali penye tukio muhimu.
Hiya fedha ya kuwalipa hao mabaunsa uchwara, kugharamia suti na vitu vingine isingemsaidia kumpeleka mbali zaidi kwenye kazi zake?
Sasa huu sio ujinga?
Mimi ni Mtanzania ila simjui huyu kijana I mean sio maarufu sana, sio potential sana kwamba anaweza kuvamiwa akitembea mchana maeneo ya wazi hasa pahali penye tukio muhimu.
Hiya fedha ya kuwalipa hao mabaunsa uchwara, kugharamia suti na vitu vingine isingemsaidia kumpeleka mbali zaidi kwenye kazi zake?
Sasa huu sio ujinga?