Hivi ni kwanini Waafrika wengi wana akili ndogo na wengine hawana akili kabisa?

Hivi ni kwanini Waafrika wengi wana akili ndogo na wengine hawana akili kabisa?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Nilishaongea sana na sasa naona kazi kurudia . Icheki hii video fupi hapo chini uone jinsi akili za Mwafrika huyu na ma bodyguards wake

Mimi ni Mtanzania ila simjui huyu kijana I mean sio maarufu sana, sio potential sana kwamba anaweza kuvamiwa akitembea mchana maeneo ya wazi hasa pahali penye tukio muhimu.

Hiya fedha ya kuwalipa hao mabaunsa uchwara, kugharamia suti na vitu vingine isingemsaidia kumpeleka mbali zaidi kwenye kazi zake?

Sasa huu sio ujinga?

 
Nilishaongea sana na sasa naona kazi kurudia . Icheki hii video fupi hapo chini uone jinsi akili za Mwafrika huyu na ma bodyguards wake .
Mimi ni Mtanzania ila simjui huyu kijana , I mean sio maarufu sana, sio potential sana kwamba anaweza kuvamiwa akitembea mchana maeneo ya wazi hasa pahali penye tukio muhimu.
Sasa huu sio ujinga ?
View attachment 2621605
Pata pesa tujue tabia yako.
 
Hujui maana ya usanii..Halo anauza tu sura unawakodisha hao per day kwenye events sio kila siku uwe nao labda diamond
 
Kazi ya ubaunsa nayo ni kazi ya kifala kweli. Nawaonaga ukiingilia club ukitoka na mchumba wanachukia kishenzi inawezekana hata wiki inayofuata ukazuiliwa mlangoni. Waache wamlinde huyo ndugu, kupanga ni kuchagua
 
Kazi ya ubaunsa nayo ni kazi ya kifala kweli. Nawaonaga ukiingilia club ukitoka na mchumba wanachukia kishenzi inawezekana hata wiki inayofuata ukazuiliwa mlangoni. Waache wamlinde huyo ndugu, kupanga ni kuchagua
Mabaunsa wengi wanapindwa siku hizi
 
Waache watu waishi maisha Yao,ila najiuliza hao mabaunsa wana mademu?na huwa wanaagaje dem zao wakienda kazini?
 
"Ni Mimi ambaye naenda kufa mda wangu wakufa ukifika, kwahiyo we niache niishi maisha yangu vile mimi naona inafaa" ~Jimmy Hendrix
 
Nilishaongea sana na sasa naona kazi kurudia . Icheki hii video fupi hapo chini uone jinsi akili za Mwafrika huyu na ma bodyguards wake

Mimi ni Mtanzania ila simjui huyu kijana I mean sio maarufu sana, sio potential sana kwamba anaweza kuvamiwa akitembea mchana maeneo ya wazi hasa pahali penye tukio muhimu.

Hiya fedha ya kuwalipa hao mabaunsa uchwara, kugharamia suti na vitu vingine isingemsaidia kumpeleka mbali zaidi kwenye kazi zake?

Sasa huu sio ujinga?

View attachment 2621605
Haka nako ni kastaa uchwara wa bongo?
 
Back
Top Bottom