Hivi ni kwanini wanasayansi wengi walifuga nywele ndefu?

Hivi ni kwanini wanasayansi wengi walifuga nywele ndefu?

Intelligent businessman

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
31,913
Reaction score
65,514
Salaam wakuu, katika kujifunza kwangu nimekuwa nikijifunza Mambo mengi kuhusu uvumbuaji wa vitu mbalimbali.

Lakini kuna kitu kimoja mpaka Sasa sijakielewa?, hii ni kuhusiana na wanasayansi wengi wanaosifika kuwa na akili kubwa, basi wengi wao walifuga nywele ndefu.

Je, kuna siri yoyote iliyopo katika hilo??, au Waliambizana uwe mtindo wao katika kujitambua??

Albert Einstein
FB_IMG_16738811231265647.jpg


Isac newton
FB_IMG_16738810660856951.jpg


Na wengineo Kama Nichola Tesla na Socrates hawa wote walipenda nywele ndefu
FB_IMG_16738810819126414_1.jpg


Nini maoni yako mdau Da vincci, mtaalamu wa Mambo ya giza Mshana Jr, charismatic fella GENTAMYCINE, mwanazuoni ETUGRUL BEY, na wengineo
 
Muda wa kuwaza hizo nywele kuwa Ni ndefu kwanza hizo akili hazipo. Muda mwingi akili ziko single minded. Highly focused to accomplish single task. Ndio ambition yao wanalala wanaamka wanawaza kuwa kweli itaisha Hilo la kwake. Yaani hujui namna mtu kitu kinamsumbua mpaka halali Wala Hali chakula kikaingia. Ile kuwaza kula kuvaa kwake inakuwa Ni meaningless kwake. Yaani hata hisia na mbususu haupo kabisa
 
Zamani ilikuwa busara kuwa na nywele ndefu wee muangalie petro midevu kama yote hata yesu na ilikuwa inaonekana kunyoa nywele kama upara ni mkosi na uhuni na pia kama katika static electricity nyewle na chogo ni dalili ya charge zipo na charge ndio akili na ndio maana utasikia akili zako zinacharge yaan zinafanya kazi kwakuwa particle nyingi zinakuwa accumulated na pia zamani saloon hazikuwepo ni sawa useme watu wa zamani walitumia sana barua kupelekeana ujumbe
 
Salaam wakuu, katika kujifunza kwangu nimekuwa nikijifunza Mambo mengi kuhusu uvumbuaji wa vitu mbalimbali.

Lakini kuna kitu kimoja mpaka Sasa sijakielewa??, hii ni kuhusiana na wanasayansi wengi wanaosifika kuwa na akili kubwa, basi wengi wao walifuga nywele ndefu.

Je Kuna Siri yoyote iliyopo katika Hilo??, au Waliambizana uwe mtindo wao katika kujitambua??

Albert EinsteinView attachment 2483658

Isac newtonView attachment 2483660

Na wengineo Kama Nichola Tesla na Socrates hawa wote walipenda nywele ndefu View attachment 2483661

Nini maoni yako mdau Da vincci, mtaalamu wa Mambo ya giza Mshana Jr, charismatic fella GENTAMYCINE, na wengineo
Hili nalo ni la kufikirisha akili? ILIKUWA NDIO FASHION ENZI HIZO.
 
Salaam wakuu, katika kujifunza kwangu nimekuwa nikijifunza Mambo mengi kuhusu uvumbuaji wa vitu mbalimbali.

Lakini kuna kitu kimoja mpaka Sasa sijakielewa??, hii ni kuhusiana na wanasayansi wengi wanaosifika kuwa na akili kubwa, basi wengi wao walifuga nywele ndefu.

Je Kuna Siri yoyote iliyopo katika Hilo??, au Waliambizana uwe mtindo wao katika kujitambua??

Albert EinsteinView attachment 2483658

Isac newtonView attachment 2483660

Na wengineo Kama Nichola Tesla na Socrates hawa wote walipenda nywele ndefu View attachment 2483661

Nini maoni yako mdau Da vincci, mtaalamu wa Mambo ya giza Mshana Jr, charismatic fella GENTAMYCINE, mwanazuoni ETUGRUL BEY, na wengineo
Kwamba nani charismatic hebu futa andika chawa wa mama
 
Isac Newton alikimbiwa na hawala wake kwakuwa hakuwa na muda wa kuwa naye, kwani muda mwingi alishinda maabara akifanya maexperiment
 
Kila kizazi na fasheni yake. Fasheni huja na kuondoka na nyingine hudumu au kupotea forever kati ya jamii na jamii.

Kipindi hicho gunduzi za kisayansi zikiwa zimepamba moto by coincidence fasheni ya kufuga nywele na ndevu kwa wanaume hususan Ulaya ilikuwa imeenea katika jamii pia. Hivyo, wanasayansi kama sehemu ya jamii automatically walizolewa na fasheni hiyo.

Na sio wanasayansi tu, hata viongozi wa dini kuonekana na nywele na ndevu ndefu ilikuwa fasheni kama ambavyo katika maeneo mengine kupaka ndevu "hina" ilikuwa bonge la fasheni kwa wanaume.
 
Back
Top Bottom