To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
😂😂😂kumbeHujawahi kuona kuna baadhi ht ya maprofesa nywele hawachani! Nywele hupoteza muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂kumbeHujawahi kuona kuna baadhi ht ya maprofesa nywele hawachani! Nywele hupoteza muda
guud!!!Sasa mashine za kunyolea walizigundua wao wangenyoaje kabla ya kugundua mashine.
Kitu kinachoitwa uchawi kinadili na roho kwakuwa huko ndio kwenye shina la uhai na mengine yoteSamahani kaka Mshana Jr Kuna swali linalohusiana na maswala ya nguvu za rohoni hapa.
Hivi uchawi kuiroga nafsi ya mtu upo??,yaani unakuwa unakosa ile nguvu ya ndani ya kimaaumuzi?? Kama ulivyokuwa zamani,
je inaweza kumfanya mtu akose dira au muongozo nafsini mwake??, Yaani yeye yupo yupo tu, japo Kuna mwanga wa kiukozi anauona
Hili Jambo lilinitokea nilipoenda kutembea a sehemu fulani, najiona tofauti Sana, hata kusoma kwangu,kufikiri kwangu, nuru yangu ya ndani inayonitaka kuwa mtu fulani imepotea kabisa??
Nawezaje kujitoa Kama nimefanikiwa kitu hiki au tiba napata wapi?? Nisaidie muongozo [emoji120][emoji120] Mshana Jr
(Acha uongo)Kuna uhusiano wa akili nyingi na nywele ndefu.
Mkuu huyu petro ulimuona wapi?Zamani ilikuwa busara kuwa na nywele ndefu wee muangalie petro midevu kama yote hata yesu na ilikuwa inaonekana kunyoa nywele kama upara ni mkosi na uhuni na pia kama katika static electricity nyewle na chogo ni dalili ya charge zipo na charge ndio akili na ndio maana utasikia akili zako zinacharge yaan zinafanya kazi kwakuwa particle nyingi zinakuwa accumulated na pia zamani saloon hazikuwepo ni sawa useme watu wa zamani walitumia sana barua kupelekeana ujumbe
Hizo ni hadithi tu huyo na anavyochorwa wanamchora ana midevu mirefuMkuu huyu petro ulimuona wapi?
😂😂😂😂😂Walikuwa hawana ajira hivyo hawakuwa na hela ya saloon .mtu unawaza kutengeneza ndege wakati watu wanasafiri n'a farasi nani akupe hela