Hivi ni kwanini wanasayansi wengi walifuga nywele ndefu?

Hivi ni kwanini wanasayansi wengi walifuga nywele ndefu?

Salaam wakuu, katika kujifunza kwangu nimekuwa nikijifunza Mambo mengi kuhusu uvumbuaji wa vitu mbalimbali.

Lakini kuna kitu kimoja mpaka Sasa sijakielewa??, hii ni kuhusiana na wanasayansi wengi wanaosifika kuwa na akili kubwa, basi wengi wao walifuga nywele ndefu.

Je Kuna Siri yoyote iliyopo katika Hilo??, au Waliambizana uwe mtindo wao katika kujitambua??

Albert EinsteinView attachment 2483658

Isac newtonView attachment 2483660

Na wengineo Kama Nichola Tesla na Socrates hawa wote walipenda nywele ndefu View attachment 2483661

Nini maoni yako mdau Da vincci, mtaalamu wa Mambo ya giza Mshana Jr, charismatic fella GENTAMYCINE, mwanazuoni ETUGRUL BEY, na wengineo
 
KUna rasta alitoa madini kwamba nywele ni kama antena za kupokea mawimbi ya hekima ya ulimwengu.

Inawezekana waliziacha ili kumaximize reception.

Lakini sababu ya msingi ni zamani fasheni ya kutokuwa na nywele ulaya ilikuwa haisapotiki sababu ya baridi sana. Ni afrika tu ndio walinyoa ili kupunguza joto (misri).
 
Tuna wavaa kobazi wanafuga madevu sio nywere ndio maana wanaongea sana kumbe akili zipo midomoni
 
Umeenda mbali hata wanafunzi wanao somea masomo ya science wanafuga nywele ndefu mpaka leo madokta wengi wapo rough ukiambiwa huyu ni daktari bingwa sometimes huwezi amini.
 
Kila kizazi na fasheni yake. Fasheni huja na kuondoka na nyingine hudumu au kupotea forever kati ya jamii na jamii.

Kipindi hicho gunduzi za kisayansi zikiwa zimepamba moto by coincidence fasheni ya kufuga ndevu kwa wanaume hususan Ulaya ilikuwa imeenea katika jamii pia. Hivyo, wanasayansi kama sehemu ya jamii automatically walizolewa na fasheni hiyo.

Na sio wanasayansi tu, hata viongozi wa dini kuonekana na ndevu ndefu ilikuwa fasheni kama ambavyo katika maeneo mengine kupaka ndevu "hina" ilikuwa bonge la fasheni kwa wanaume.

Nakazia hapa
 
Vipi na wanasayans wetu waliovumbua vyungu vya udongo na mizinga ya nyuki je walifuga nywele ndefu na ndevu?
 
Salaam wakuu, katika kujifunza kwangu nimekuwa nikijifunza Mambo mengi kuhusu uvumbuaji wa vitu mbalimbali.

Lakini kuna kitu kimoja mpaka Sasa sijakielewa?, hii ni kuhusiana na wanasayansi wengi wanaosifika kuwa na akili kubwa, basi wengi wao walifuga nywele ndefu.

Je, kuna siri yoyote iliyopo katika hilo??, au Waliambizana uwe mtindo wao katika kujitambua??

Albert EinsteinView attachment 2483658

Isac newtonView attachment 2483660

Na wengineo Kama Nichola Tesla na Socrates hawa wote walipenda nywele ndefu View attachment 2483661

Nini maoni yako mdau Da vincci, mtaalamu wa Mambo ya giza Mshana Jr, charismatic fella GENTAMYCINE, mwanazuoni ETUGRUL BEY, na wengineo
Ilikuwa ni fashion nyakati hizo na malegend had their own things that defined their level and class.
 
Ilikuwa ni fashion nyakati hizo na malegend had their own things that defined their level and class.
Miaka ya tisini kurudi nyuma tu hapo haikua rahisi kunyoa,watz wengi walikua na nywele nyingi,machanu,Vitana vilikua vitu muhimu
 
Sasa sijui wanafuga hizo za kichwani tu au na zile za maeneo mengine ya mwili?

Maana mmnh!
 
Back
Top Bottom