Hivi ni kwanini wanasayansi wengi walifuga nywele ndefu?

Hivi ni kwanini wanasayansi wengi walifuga nywele ndefu?

Salaam wakuu, katika kujifunza kwangu nimekuwa nikijifunza Mambo mengi kuhusu uvumbuaji wa vitu mbalimbali.

Lakini kuna kitu kimoja mpaka Sasa sijakielewa?, hii ni kuhusiana na wanasayansi wengi wanaosifika kuwa na akili kubwa, basi wengi wao walifuga nywele ndefu.

Je, kuna siri yoyote iliyopo katika hilo??, au Waliambizana uwe mtindo wao katika kujitambua??

Albert EinsteinView attachment 2483658

Isac newtonView attachment 2483660

Na wengineo Kama Nichola Tesla na Socrates hawa wote walipenda nywele ndefu View attachment 2483661

Nini maoni yako mdau Da vincci, mtaalamu wa Mambo ya giza Mshana Jr, charismatic fella GENTAMYCINE, mwanazuoni ETUGRUL BEY, na wengineo
Akili ni nywele 🤣🤣🤣🤣
 
Salaam wakuu, katika kujifunza kwangu nimekuwa nikijifunza Mambo mengi kuhusu uvumbuaji wa vitu mbalimbali.

Lakini kuna kitu kimoja mpaka Sasa sijakielewa?, hii ni kuhusiana na wanasayansi wengi wanaosifika kuwa na akili kubwa, basi wengi wao walifuga nywele ndefu.

Je, kuna siri yoyote iliyopo katika hilo??, au Waliambizana uwe mtindo wao katika kujitambua??

Albert EinsteinView attachment 2483658

Isac newtonView attachment 2483660

Na wengineo Kama Nichola Tesla na Socrates hawa wote walipenda nywele ndefu View attachment 2483661

Nini maoni yako mdau Da vincci, mtaalamu wa Mambo ya giza Mshana Jr, charismatic fella GENTAMYCINE, mwanazuoni ETUGRUL BEY, na wengineo
Napenda sana watu wanaowaza zaidi ya kuwaza! Thanks kwa mwaliko[emoji1545]

Hii ndiyo sababu kwa nini wanasayansi wana nywele ndefu

hawana muda wa ziada, muda ni sehemu muhimu kwao na hawataki kuupoteza kwa kufanya mambo yasiyo na tija kama kukata nywele na kuvaa nk..! Lakini pia kuna sababu nyingine ya kisayansi[emoji1541][emoji1541][emoji1541]

Shinikizo kwenye Ubongo:

Wanasayansi huweka shinikizo nyingi kwenye ubongo wao ambao husababisha kuongeza mtiririko wa damu kwenye kichwa. Inaaminika kuwa mtiririko wa juu wa damu utaongeza kiwango cha ukuaji wa nywele. Kuweka shinikizo nyingi kwenye ubongo kutaongeza kiwango cha mtiririko wa damu katika fuvu lao na kuongeza kasi ya ukuaji wa nywele.

Pia inaaminika kuwa uzoefu wa mwanasayansi unaweza kutabiriwa kutoka kwa ndevu zao. Ndevu kubwa za mwanasayansi ni juu ya uzoefu anao nao. Hakuna sababu maalum ya kuunga mkono mantiki hii lakini watu bado wanaiamini.
 
Magenius wengi hua hawajali muonekano wao,hilo wao sio la muhimu sana kwao,
There's no great genius without touch of madness,wanasema there a thin line between Genius and insanity,magenius wengi ni kama vile hua hawako sawa,kutokua na akili ni tatizo ila pia kua na akili nyingi zaidi nalo ni tatizo pia.
 
Napenda sana watu wanaowaza zaidi ya kuwaza! Thanks kwa mwaliko[emoji1545]

Hii ndiyo sababu kwa nini wanasayansi wana nywele ndefu

hawana muda wa ziada, muda ni sehemu muhimu kwao na hawataki kuupoteza kwa kufanya mambo yasiyo na tija kama kukata nywele na kuvaa nk..! Lakini pia kuna sababu nyingine ya kisayansi[emoji1541][emoji1541][emoji1541]

Shinikizo kwenye Ubongo:

Wanasayansi huweka shinikizo nyingi kwenye ubongo wao ambao husababisha kuongeza mtiririko wa damu kwenye kichwa. Inaaminika kuwa mtiririko wa juu wa damu utaongeza kiwango cha ukuaji wa nywele. Kuweka shinikizo nyingi kwenye ubongo kutaongeza kiwango cha mtiririko wa damu katika fuvu lao na kuongeza kasi ya ukuaji wa nywele.

Pia inaaminika kuwa uzoefu wa mwanasayansi unaweza kutabiriwa kutoka kwa ndevu zao. Ndevu kubwa za mwanasayansi ni juu ya uzoefu anao nao. Hakuna sababu maalum ya kuunga mkono mantiki hii lakini watu bado wanaiamini.
Asante mkuu kwa majibu yako mazuri, hakika umeonyesha ukongwe wako
 
Salaam wakuu, katika kujifunza kwangu nimekuwa nikijifunza Mambo mengi kuhusu uvumbuaji wa vitu mbalimbali.

Lakini kuna kitu kimoja mpaka Sasa sijakielewa?, hii ni kuhusiana na wanasayansi wengi wanaosifika kuwa na akili kubwa, basi wengi wao walifuga nywele ndefu.

Je, kuna siri yoyote iliyopo katika hilo??, au Waliambizana uwe mtindo wao katika kujitambua??

Albert EinsteinView attachment 2483658

Isac newtonView attachment 2483660

Na wengineo Kama Nichola Tesla na Socrates hawa wote walipenda nywele ndefu View attachment 2483661

Nini maoni yako mdau Da vincci, mtaalamu wa Mambo ya giza Mshana Jr, charismatic fella GENTAMYCINE, mwanazuoni ETUGRUL BEY, na wengineo
Hujui kwamba akili ni nywele?
1. Hivi kweli hujui kwamba hao wote ni wazungu na wana nywele ndefu!
2. Hujui kwamba hata wazungu wa leo wana nywele ndefu lakini sio wanasayansi?
3. Bob Marle na Michael Jakson wana nywele ndefu, nao ni wanasayansi?1
 
Binafsi Kuna muda nikiwa nafanya Jambo langu serious yaani Ile serious nimedhamiria naumiza kichwa nadhani hata kuoga Ni kazi mno yaani mno,sijui niwaze kubadilisha nguo ili iweje kwanza Nina akili ndogo kuigawanya siwezi. Napenda iwaze kitu kimoja tu Basi yaani muda huo ndio kijae kichwani. Yaani napenda Ile I eat,breath ,talk,sleep,wear, bath,dream icho kitu 24/365 Basi and nothing else.
Yaani kuniletea activity nyingine katikati ya Ile iliyochukua akili zangu nadhani unanichanganya pia unakuwa Kama unanitoa kwenye reli
 
Kwasababu ni wachafu tu....
Wengi wenye IQ (INTELLIGENCE QUOTIENT) Kubwa huwa hawana au wanakuwa na :
1. Emotional Quotient (EQ)
2. Social Quotient (SQ)
Ndogo sanaa....
Ndomaana maranyingi (siyo zote) wanakuwa watu wa kuwafanyia kazi wengine kwa nchi zetu hizi hata nchi za wenzetu zamani....
 
Samahani kaka Mshana Jr Kuna swali linalohusiana na maswala ya nguvu za rohoni hapa.

Hivi uchawi kuiroga nafsi ya mtu upo??,yaani unakuwa unakosa ile nguvu ya ndani ya kimaaumuzi?? Kama ulivyokuwa zamani,

je inaweza kumfanya mtu akose dira au muongozo nafsini mwake??, Yaani yeye yupo yupo tu, japo Kuna mwanga wa kiukozi anauona

Hili Jambo lilinitokea nilipoenda kutembea a sehemu fulani, najiona tofauti Sana, hata kusoma kwangu,kufikiri kwangu, nuru yangu ya ndani inayonitaka kuwa mtu fulani imepotea kabisa??

Nawezaje kujitoa Kama nimefanikiwa kitu hiki au tiba napata wapi?? Nisaidie muongozo 🙏🙏 Mshana Jr
 
ndio maana wanasema akili ni nywele wwe ushaona watu wa sikuhizi wana akili? kina kipara etc etc
 
Samahani kaka Mshana Jr Kuna swali linalohusiana na maswala ya nguvu za rohoni hapa.

Hivi uchawi kuiroga nafsi ya mtu upo??,yaani unakuwa unakosa ile nguvu ya ndani ya kimaaumuzi?? Kama ulivyokuwa zamani,

je inaweza kumfanya mtu akose dira au muongozo nafsini mwake??, Yaani yeye yupo yupo tu, japo Kuna mwanga wa kiukozi anauona

Hili Jambo lilinitokea nilipoenda kutembea a sehemu fulani, najiona tofauti Sana, hata kusoma kwangu,kufikiri kwangu, nuru yangu ya ndani inayonitaka kuwa mtu fulani imepotea kabisa??

Nawezaje kujitoa Kama nimefanikiwa kitu hiki au tiba napata wapi?? Nisaidie muongozo [emoji120][emoji120] Mshana Jr
Nitarejea
 
Salaam wakuu, katika kujifunza kwangu nimekuwa nikijifunza Mambo mengi kuhusu uvumbuaji wa vitu mbalimbali.

Lakini kuna kitu kimoja mpaka Sasa sijakielewa?, hii ni kuhusiana na wanasayansi wengi wanaosifika kuwa na akili kubwa, basi wengi wao walifuga nywele ndefu.

Je, kuna siri yoyote iliyopo katika hilo??, au Waliambizana uwe mtindo wao katika kujitambua??

Albert EinsteinView attachment 2483658

Isac newtonView attachment 2483660

Na wengineo Kama Nichola Tesla na Socrates hawa wote walipenda nywele ndefu View attachment 2483661

Nini maoni yako mdau Da vincci, mtaalamu wa Mambo ya giza Mshana Jr, charismatic fella GENTAMYCINE, mwanazuoni ETUGRUL BEY, na wengineo
aisee simply naona tu vile walikuwa very busy na innovation.
ndo sababu hata huku kwetu watu waliokata sana shule ngumu hapogo smart sana kwenye uvaaji au utanashati, ingawa kwa sasa maisha yanabadilika Mechanical engineer unamkuta ametoboa sikio na pua!!
 
Salaam wakuu, katika kujifunza kwangu nimekuwa nikijifunza Mambo mengi kuhusu uvumbuaji wa vitu mbalimbali.

Lakini kuna kitu kimoja mpaka Sasa sijakielewa?, hii ni kuhusiana na wanasayansi wengi wanaosifika kuwa na akili kubwa, basi wengi wao walifuga nywele ndefu.

Je, kuna siri yoyote iliyopo katika hilo??, au Waliambizana uwe mtindo wao katika kujitambua??

Albert EinsteinView attachment 2483658

Isac newtonView attachment 2483660

Na wengineo Kama Nichola Tesla na Socrates hawa wote walipenda nywele ndefu View attachment 2483661

Nini maoni yako mdau Da vincci, mtaalamu wa Mambo ya giza Mshana Jr, charismatic fella GENTAMYCINE, mwanazuoni ETUGRUL BEY, na wengineo

Walikuwa bize kupitikiza hadi ikawapelekea kukosa mda wa kunyoa
 
Salaam wakuu, katika kujifunza kwangu nimekuwa nikijifunza Mambo mengi kuhusu uvumbuaji wa vitu mbalimbali.

Lakini kuna kitu kimoja mpaka Sasa sijakielewa?, hii ni kuhusiana na wanasayansi wengi wanaosifika kuwa na akili kubwa, basi wengi wao walifuga nywele ndefu.

Je, kuna siri yoyote iliyopo katika hilo??, au Waliambizana uwe mtindo wao katika kujitambua??

Albert EinsteinView attachment 2483658

Isac newtonView attachment 2483660

Na wengineo Kama Nichola Tesla na Socrates hawa wote walipenda nywele ndefu View attachment 2483661

Nini maoni yako mdau Da vincci, mtaalamu wa Mambo ya giza Mshana Jr, charismatic fella GENTAMYCINE, mwanazuoni ETUGRUL BEY, na wengineo
Pole
 
Magenius wengi hua hawajali muonekano wao,hilo wao sio la muhimu sana kwao,
There's no great genius without touch of madness,wanasema there a thin line between Genius and insanity,magenius wengi ni kama vile hua hawako sawa,kutokua na akili ni tatizo ila pia kua na akili nyingi zaidi nalo ni tatizo pia.
Nitarejea
 
Back
Top Bottom