Hivi ni kwanini wanasayansi wengi walifuga nywele ndefu?

Kitu kinachoitwa uchawi kinadili na roho kwakuwa huko ndio kwenye shina la uhai na mengine yote
Kuna uchawi wa kudili na akili huu ndio ule mtu anachanganyikiwa ama anakuwa mwehu au mwendawazimu

Wewe tatizo lako ni kiroho zaidi umetiwa uzito mwilini mwako huna utayari wa kufanya jambo na umejawa na uzito wa kuchukua maamuzi

Unaweza kujipanga ufanye mambo fulani siku inayofuata lakini kukipambazuka tu kila kitu kinabadilika unakosa morali wa kuendelea na hilo jambo kwa visababu vya kijinga mno na kujikuta unaahirisha

Kwenye ulingo wa ushirikina mtu mwenye shida kama hizo basi kalogezewa kwa kutumia konokono,kobe na kinyonga ... Nywele zinachukuliwa na kufungwa kwenye Kombe la kinyonga..
Mimi si mganga wa kienyeji hivyo ninachoweza kukuelekeza kikakusaidia ni tiba ya chumvi yenye nguvu kubwa kiroho.. Jaribu hiyo itumie itafubaza nguvu hasi iliyo ndani mwako
 
Mkuu huyu petro ulimuona wapi?
 
Mkuu umeharibu hapo ulimvyo mtag huyo GENTAMYCINE ni mweupe sana kichwani πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Walikuwa hawana ajira hivyo hawakuwa na hela ya saloon .mtu unawaza kutengeneza ndege wakati watu wanasafiri n'a farasi nani akupe hela
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…