Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Kwahiyo unakubali kwamba jamii inakosea kufanya hivyo??
 
Well Said
 
Rekebisha kauli hapo uliposema mwanaume anajitungia sheria zake na mwanamke anafuata sheria za mwanaume kwahiyo zile sheria za Mungu zimewekwa zifuatwe na kina nani??

Hizo sheria zinatambulika kwa waislam na Wakristo ambao hawazidi bilion 4.

Waliobaki wote hawatambui hizo sheria na wanaongozwa na sheria za Wanaume zikiwepo hizo za Wakristo na Waislamu.
 
Hiyo ni perception yako ka Mimi ninavoamini utofauti wa mwanaume na mwanamke ni maumbile tu ya uzazi the rest wote ni sawa
Wow!! Nimependa sana mitazamo yako mwanadada.

Eti ni kwanini hapa Afrika tuna mabilionea wa kiwango cha dunia wawili tu wa kike wakati wa kiume wako 34?

Pia ni kwanini asilimia 98% ya technological innovation hapa duniani imefanywa na wanaume na sio wanawake ?

Pia Kwanini hiyo sanitary pad uliyoivaa inayofonza damu huko chini mgunduzi wake ni mwanaume na sio mwanamke?

Pia kwanini vitu kama epidural na contraceptive pills ambazo ni kwa ajili ya faida ya mwanamke vimevumbuliwa na mwanaume wala sio mwanamke mwenzenu?

Pia Kwanini ukitaka kujenga nyumba akili yako inakutuma umtafute Hassan, John au Isaya ndio anyanyue tofali na wala sio Esther, Aisha au Mariamu?

Pia kwanini gari yako ikipata mzinga ukienda gereji kuinyoosha lazima uwakute akina Deo, Michael na wala sio akina Joyce au Merry ndio wakunyoshee?

Pia kwanini unapotaka kuajiri mlinzi wa nyumba yako unaenda kuajiri akina Vidume na wala sio wanawake wenzio?

Pia kwanini kwenye matangazo mengi ya kazi huwa tunaona sana hii statement "women are highly encouraged" na sio "men are highly encouraged" ikiwa kama wote tuko sawa?

Pia kwanini kwenye ajari yoyote ile rescue team huwa wana focus kwanza na wanawake na watoto kisha ndio wanakuja wanaume?

....nina maswali mengi sana kufuatia hii kauli yako ngoja nipumzike kwanza
 
Nipe andiko linalowaruhusu wanaume kutenda dhambi
 
Wewe wasema wanaume wamegundua na kusahau kuwa wanawake hawakuruhusiwa kwenda shule kabisa wala jambo lolote ulitaka wapate wape hyo platform yakufanya hizo gunduzi zao kama hawakuruhusiwa, hyo Armstrong kwenda mwezini kwanza ni tukio lakutengenezwa everything was staged by USA. Mabadiliko Kwa wanawake yalianza baada ya vita vya pili duniani, so ukisema wanawake hawakufanya kitu si kweli, mbona kuna magenious wakubwa tu hata tukio la juzi kugundua black alikuwa ni mdada mbinti mdogo aliweza kunasa.

Nasema jinsia yoyote ikipewa platform nzuri inaweza Fanya mambo makubwa mno.
 
Umeongea kama vile the real Ariana Grande anavyotiaga huruma... 🙂 anyways Kuna mambo yanasikitisha sana...

Tatizo bindamu wa siku hizi ni wabishi sana...

Kingine mpaka sisi wanaume tunaawangushia lawana nyingi wanawke sababu Eve kwenye bustani ya Eden tayari alisha mess up... kwa hivyo, hiyo mentally inaendelea vizazi kwa vizazi...



Cc: mahondaw
 
Wewe umegundua hii au kushadadia tu wanaume wengine. Wewe hata chupi kutengeneza kumekushinda tu.
Hahahaha!!! Mkuu usipaniki tunajadiliana tu. Halafu usipende kuwa judgemental hasa kwa watu ambao huwajui vizuri. Unajuaje kama siwezi hata kutengeneza chupi?
 
Ukiona mtu anatafuta justification ya jinsia yake basi ujue hana uhakika na jinsia yake.
Kwani nani kasema nyie ni wanawake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na Mwanamke anayefanya Abortion ni sawa na Mwanaume anayepiga punyeto. Wote wauaji.
Abortion ni kitendo cha kutoa mimba, na mimba ni pale tu mbegu za kiume zinapokutana na mayai ya kike sasa mwanaume anaejichua anafanyaje abortion au huo uuaji angali mbegu zake zinakua hazijakutana na mayai ya mwanamke
 
Kufikiria jambo Kwa mapana zaidi Kwa kuangalia Kwa muktadha tofauti wa faida na hasara. In short ni Ku go beyond something. I think umenielewa.
Safi sana,nakupa mfano mmoja tu ili unionyshe namna gani unaweza kufikiria nje ya box. Japo uko nje ya mada.

Hivi unaweza kufijiria nje ya box juu ya jambo la haki sawa na kufanana kwa haki ?
 
Hahahaha!!! Mkuu atakuuliza wewe umegundua nini,?
 
Inatia moyo kuona kuwa kuna wanaume wanatambua thamani ya wanawake kwenye hii jamii iliyopigwa upofu na mfumo dume na kusingizia kuwa kila kitu tunachofanya wanawake ni kutaka haki sawa hongereni na endeleeni na moyo huo huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…