nimesema vitabu vya Mungu vimemfeva sana mwanaume kuliko mwanamke na hata tukitenda dhambi tunahisi tunastahili kuwa tolerated, sijasema tumeruhusiwa kutenda dhambi.
kwa mfano kama huu mstari wa biblia huoni unamkandamiza mwanamke na si mwanaume? mtoto wa kiume hajaonekana kama anaweza akamtia unajisi babaake kwa kulala na wanawake wengi..
ndo mana nakwambia tumekua programmed na maandiko tangu utotoni kuwaona wanawake kama watu wa chini.View attachment 1208083
Well SaidEti kisa maandiko yamesema wao ni kichwa wafanye mauchafu eti wanawake wavumilie wao wakikosa wasamehewe hii jamii yetu bado inaishi zama za dark ages kila mtu anahtaji kutendewa sawa na usicho penda kutendewa wewe basi isimutendee mwenzako. Kuna watu wanantanyasika na hivi wenye uelewa mdogo wasio weza kutafakari maandiko ndo wanakuwa hawajielewi ka nyumbu. Napinga uonevu wowote Kwa binadamu yoyote hasa mwanamke, though kuna wanaume wanaoheshimu wanawake ka babangu na wengine matured nawapa sana kongole.
Rekebisha kauli hapo uliposema mwanaume anajitungia sheria zake na mwanamke anafuata sheria za mwanaume kwahiyo zile sheria za Mungu zimewekwa zifuatwe na kina nani??
Daah,niliibiwa simu.Hahaaa nipo umenisusa una tabia mbaya wewe.
Wow!! Nimependa sana mitazamo yako mwanadada.Hiyo ni perception yako ka Mimi ninavoamini utofauti wa mwanaume na mwanamke ni maumbile tu ya uzazi the rest wote ni sawa
Kwamba watoto wa kike wote wana mbele wala nyuma?Uchunguzi nimefanya huku mtaani sehemu tofauti tofauti.
Mimi nadhani mleta uzi Kuna kitu kaamua kujisahaulisha bahati mbaya Kama si makusudi,ukubwa wa mwanamme sio wa kujadili Bali ni qadar aliyoiweka Mungu,ambayo haitabatilika kamwe mpaka kuisha kwa dunia.Vitabu vya Mungu vinatuambia kuwa jumla ya mitume na manabii wa Mungu ni 124000,na wote hao walikuwa ni wanaume,mtoa mada amewahi kujiuliza kwa nini hao wote wawe wanaume tu bila ya mwanamke hata mmoja je Mungu alisahau?je wanawake hawakuwepo??na hata tukija kwenye maisha ya kawaida ya kila siku kati ya mke na mme,ni wapi ambapo mwanamke hutenda zaidi ya kutendwa?mtoa mada anatakiwa afute kauli yake na atuombe radhi wanaume.
Wewe wasema wanaume wamegundua na kusahau kuwa wanawake hawakuruhusiwa kwenda shule kabisa wala jambo lolote ulitaka wapate wape hyo platform yakufanya hizo gunduzi zao kama hawakuruhusiwa, hyo Armstrong kwenda mwezini kwanza ni tukio lakutengenezwa everything was staged by USA. Mabadiliko Kwa wanawake yalianza baada ya vita vya pili duniani, so ukisema wanawake hawakufanya kitu si kweli, mbona kuna magenious wakubwa tu hata tukio la juzi kugundua black alikuwa ni mdada mbinti mdogo aliweza kunasa.Nionyeshe sehemu ambapo kuna "men empowerment" katika jamii yoyote, sehemu ambayo kuna "kama mwanamke anaweza, basi mwanaume anaweza pia", Innovations nyingi, go to moon and come back, ni akina Gagarin, Neil Armstrong na sio akina cariha, its just nature...you can do nothing to beat nature.
Kwenye maovu hapo no one is above the other, hakuna mwenye authority ya kutenda au kumtendea mwenzake uovu. But in terms of superiority, try another millennium, not this one!!!
Daah,niliibiwa simu.
Hahahaha!!! Mkuu usipaniki tunajadiliana tu. Halafu usipende kuwa judgemental hasa kwa watu ambao huwajui vizuri. Unajuaje kama siwezi hata kutengeneza chupi?Wewe umegundua hii au kushadadia tu wanaume wengine. Wewe hata chupi kutengeneza kumekushinda tu.
Abortion ni kitendo cha kutoa mimba, na mimba ni pale tu mbegu za kiume zinapokutana na mayai ya kike sasa mwanaume anaejichua anafanyaje abortion au huo uuaji angali mbegu zake zinakua hazijakutana na mayai ya mwanamkeNa Mwanamke anayefanya Abortion ni sawa na Mwanaume anayepiga punyeto. Wote wauaji.
Safi sana,nakupa mfano mmoja tu ili unionyshe namna gani unaweza kufikiria nje ya box. Japo uko nje ya mada.Kufikiria jambo Kwa mapana zaidi Kwa kuangalia Kwa muktadha tofauti wa faida na hasara. In short ni Ku go beyond something. I think umenielewa.
Hahahaha!!! Mkuu atakuuliza wewe umegundua nini,?Wow!! Nimependa sana mitazamo yako mwanadada.
Eti ni kwanini hapa Afrika tuna mabilionea wa kiwango cha dunia wawili tu wa kike wakati wa kiume wako 34?
Pia ni kwanini asilimia 98% ya technological innovation hapa duniani imefanywa na wanaume na sio wanawake ?
Pia Kwanini hiyo sanitary pad uliyoivaa inayofonza damu huko chini mgunduzi wake ni mwanaume na sio mwanamke?
Pia kwanini vitu kama epidural na contraceptive pills ambazo ni kwa ajili ya faida ya mwanamke vimevumbuliwa na mwanaume wala sio mwanamke mwenzenu?
Pia Kwanini ukitaka kujenga nyumba akili yako inakutuma umtafute Hassan, John au Isaya ndio anyanyue tofali na wala sio Esther, Aisha au Mariamu?
Pia kwanini gari yako ikipata mzinga ukienda gereji kuinyoosha lazima uwakute akina Deo, Michael na wala sio akina Joyce au Merry ndio wakunyoshee?
Pia kwanini unapotaka kuajiri mlinzi wa nyumba yako unaenda kuajiri akina Vidume na wala sio wanawake wenzio?
Pia kwanini kwenye matangazo mengi ya kazi huwa tunaona sana hii statement "women are highly encouraged" na sio "men are highly encouraged" ikiwa kama wote tuko sawa?
Pia kwanini kwenye ajari yoyote ile rescue team huwa wana focus kwanza na wanawake na watoto kisha ndio wanakuja wanaume?
....nina maswali mengi sana kufuatia hii kauli yako ngoja nipumzike kwanza
Acha kabisa,nitakutafuta mrembo.Pole sana glad ur back hawa wezi washenzi sana aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1373][emoji1373][emoji1373]....wangu Yesu yu hai
Inatia moyo kuona kuwa kuna wanaume wanatambua thamani ya wanawake kwenye hii jamii iliyopigwa upofu na mfumo dume na kusingizia kuwa kila kitu tunachofanya wanawake ni kutaka haki sawa hongereni na endeleeni na moyo huo huoKushindwa kuyatafakari na kuyaelewa maandiko vzur n dhahiri kuwa yatakupoteza kabisa, mimi ni mwanaume ila nmeona madhara ya manyanyaso kwa wanawake maana sio kwa wao tu hata kwa watoto inawaathiri sana ila wengi hawalioni hili, mwanaume sio kuwa hivi kama mwanamke wako hakuheshim kwa kumfanyia mema unadhani atakuheshim ukimfanyia mabaya? Wanawake wanateseka sana na waliowahi kupitia hali hizi watakubaliana na mimi.