Nasubiri siku wakiacha kale kamsemo ka "umenichezea muda wote" ndo nitaona kuwa angalau tunaelekea kuwa na usawaNyie ndio mna cha kupoteza. Mna na ile kauli yenu. Umenipotezea muda. Ushasikia mwanaume tunalalama kupotezewa muda [emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]
Yote kwa yote sitetei ujinga.
Vitabu vya Mungu vimemfeva sana mwanaume kuliko mwanamke.
Tumekua programmed tangu utotoni kwamba men are more superior and more deserving than women.
Unknowingly, we feel entitled to do wrongs and be tolerated, but a woman is supposed to behave properly at all times. We have been programmed like that.
Laumu vitabu vya Mungu, sio wanaume. kama vitabu vya Mungu vingeandikwa katika maudhui ya usawa basi maisha, na jinsi tunawavyowachukulia wanawake ingekua tofauti.
Kwa vile hatuwezi kubadili maandiko, hata mtoto wa kiume utakaemzaa kesho atakuzwa na mafundisho haya haya tuliyokuzwa nayo sisi na atabehave kama tunavyobehave sisi watu wazima, na hii endless cycle haitaweza kuwa broken.
Huwez kuona vaa miwani mzee mamaHapo penye red panajibu hoja ipi hapa
Hakuna Mwanaume anaweza kuwa na roho kama ya wanawake wanaofanya Abortion. Yaani wanaoua vichanga au kuwatupa chooni au mtaroni na kusepa.
Nyie mmezidi kwa unafikLeo mnakumbuka vitabu vya mungu eeeeh, wanaume wanafiki sana
Tena jiwe lile la mtoni kabsaaKwahiyo nyinyi ni jiwe? Okay tutakutana kwenye nyuzi nyingine
Kama kivumishi kikurupushiUmekurupuka.
Hapa Denmark huo usawa mnao lilia haupoUmekurupuka.
wewe na mimi ni zao la maandiko.Leo mnakumbuka vitabu vya mungu eeeeh, wanaume wanafiki sana
sio wanyama wote chief.Hana haja ya kulaumu vitabu vya dini. hiyo ni Nature tuu. Hata wanyama wanajua hilo.