Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Kuwapa wanawake wengi mimba si urijali ni lack of self control na kujielewa, kwanza hzo taasisi za wanawake zinasaidia kuinuia wanawake na Kwa takwimu za World bank Tanzania wanawake sasa wamewazidi wanaume kwenye ujasiriamali, nyie bakini na kutia mimba huku wanawake wakinyanyuka kiuchumi tu
Kama ingekuwa tunaendana na tupo sawa basi pele lingekua limempata mkunaji..

Mnasema hamna cha kupoteza eti niiiiniiiiiii ??? Iyo kitu ikishakuwa ndala utajiringanisha na ya binti wa miaka 18 hebu shika adabu yako...

Kimsingi nyie ndio mnaongoza kwa kulalamika na kuongea sana kuhusu wanaume..hebu fikiria kuna taasisi ngapi mmeanzisha kwa ajili ya kuwatetea wanawake ?????na za wanaume zipo ngapi ???

Tena mkafika mbali eti mnataka haki sawa yani 50/50 tukasema hakuna shida akija kaka jambazi huko nnje anza kutoka wewe mkasema ooihh haki sawa hatukumaanishi hivyo...

Dhambi zetu haziwezi kuwa sawa hata kidogo wewe unatia sisi tunatia mwanaume anaweza kuwapa mimba wanawake 10 ndani ya mwaka mmoja je wewe kama mwanamke peke yako unaweza kushika mimba 10 ndani ya mwaka mmoja..

Tunapoamua kuwa wanaume nyie wanawake inatakiwa mshinde jikoni ata hivyo mshukuru tumewahurumia sana..

Njoo pm baby tuongezee zaidi
 
dunia hii kuna vitu viwili huwezi kupambana navyo muda na wanaume, wanawake ni dhaifu hata wewe unalijua hilo , binafsi nakushauri tafuta mwanaume wa tabia unayopenda uishi nae maana muda utakuacha ukiendelea kufikilia na kujilinganisha na mwanaume then utakuja baadae kuleta post za lawama pale unapo fikia menopause huwez kuzaa unabaki unalialia tu, alafu wanaume size yako bado wanadumu na kuzaa na vitoto ambavyo wew unaweza kuvizaa ndio dunia hii dada we are not the same.
Ninyi tangu mmeanza kupambana na maovu ya wanawake mmefanikiwa kuyaondoa kwenye jamii??
 
Wewe ulishawahi kumuona huyo mungu au vile viliandikwa na wanaume Kwa hisia mkajipendelea, acheni kujificha kwenye maandiko ili kukandamiza wanawake, eti mlaumu Mungu mxiiiiiew, ndio maana ili udumu na mwanamke lazima umuonee mwanamke, mabadiliko ya sasa ya wanawake kuwa huru mnabaki kulia lia umagharibi, I'm happy wanawake sasa tuna raise against all forms of discrimination na years to come tuta rule the world na nyie muanze kulia lia tu.
Isiwe kwa kisasi, ila hivi vitabu vya imani n chanzo kikubwa sana cha makandamizo kwa wanawake, haki inaonekana sana kwa mwanaume kuliko mwanamke naweza kusema na wao walikua na yao kufanya hvyo.
 
Vitabu vya Mungu vimemfeva sana mwanaume kuliko mwanamke.
Tumekua programmed tangu utotoni kwamba men are more superior and more deserving than women.

Unknowingly, we feel entitled to do wrongs and be tolerated, but a woman is supposed to behave properly at all times. We have been programmed like that.

Laumu vitabu vya Mungu, sio wanaume. kama vitabu vya Mungu vingeandikwa katika maudhui ya usawa basi maisha, na jinsi tunawavyowachukulia wanawake ingekua tofauti.

Kwa vile hatuwezi kubadili maandiko, hata mtoto wa kiume utakaemzaa kesho atakuzwa na mafundisho haya haya tuliyokuzwa nayo sisi na atabehave kama tunavyobehave sisi watu wazima, na hii endless cycle haitaweza kuwa broken.
Mkuu, naomba niletee andiko linalomruhusu mwanaume kutenda dhambi maana umesema hadi maandiko yametaka hivyo.
 
Kuwapa wanawake wengi mimba si urijali ni lack of self control na kujielewa, kwanza hzo taasisi za wanawake zinasaidia kuinuia wanawake na Kwa takwimu za World bank Tanzania wanawake sasa wamewazidi wanaume kwenye ujasiriamali, nyie bakini na kutia mimba huku wanawake wakinyanyuka kiuchumi tu

Ni world bank wamesema lakini tukija kwenye uhalisia 😀😀😀😀😀🏃🏃🏃🏃🏃..
Na msemaji wa world bank tanzania ni mwanamke au mwanaume🙌🏃🏃🏃🏃..

Nyie ni wake zetu tu tunawapenda hivyo hivyo kwa mahaba yenu
 
Wewe ulishawahi kumuona huyo mungu au vile viliandikwa na wanaume Kwa hisia mkajipendelea, acheni kujificha kwenye maandiko ili kukandamiza wanawake, eti mlaumu Mungu mxiiiiiew, ndio maana ili udumu na mwanamke lazima umuonee mwanamke, mabadiliko ya sasa ya wanawake kuwa huru mnabaki kulia lia umagharibi, I'm happy wanawake sasa tuna raise against all forms of discrimination na years to come tuta rule the world na nyie muanze kulia lia tu.
umeongea kimihemuko zaidi. Mi nimeelezea matokeo ya mafundisho ya dini katika maisha ya kijamii. Kitabu kitakatifu ni kitabu cha Mungu, na ndo mana nimesema mumlaumu Mungu.
 
Wanaume wapumbavu ndo huangaika na mambo ya wanawake Kwa kuwa negative and bitter Kwa sababu ya kuumizwa pia malezi ya jamii husika aoiyokulia amezoea kuona mamake akiteswa na babake, Dada hata mashangazi na yeye anakua hivo hivo. Yani kuna wanaume wasiojielewa kutwa kulaumu wanawake Mara single mother, Malaya utafikiri wanawake wanajifanya wenyewe. Huyo ni mpumbavu na hajakua bado ana utando wa kutokujielewa.

Mazingira, trauma za utoto na lack of self esteem zimemuathiri, wanawake wenzangu kuweni makini na hao watu, watakuharibu akili yako na kukufanya usiwe na thamani kisa matatizo, kabla ya mahusiano na mjinga was lhivo mchunguze behavior zake ukiona mambo ya wanawake yana mtesa mwache, maana anahtaji kujiponya nafsi yake

Wewe mtoto ulienda wapi?
 
Asante umeongezea hoja kuntu na nzito sana mkuu
Summary wanaume hawaeleweki,hawajui watakacho, ni mapopo vigeugeu geuka, wakipewa bila shida wanadai ni umalaya, wakinyimwa wanadai ni ushamba, wakizungushwa wanauliza kwani ke hawanaga hamu, wakiombwa hela wanadai ni ugold digger, wasipoombwa wanadai uko cheap....nakuendelea
 
Wewe ndo umetumia mihemko hicho kitabu gani unachotumia sie wengine tusio kitumia, kujificha Kwa maandiko ni udhaufu ili kufanya justification yako uonevu. Kwanza hvo vtabu viliandikwa na wanaume ulitaka wasijipendelee wao, ni sawa na Mimi niandike kuhusu mambo ya usawa wa kijinsia kati ya wanaume na wanawake, lazima niipe favor jinsia yangu. Acheni kutafsiri maandiko vibaya mfyuuuuuu
umeongea kimihemuko zaidi. Mi nimeelezea matokeo ya mafundisho ya dini katika maisha ya kijamii. Kitabu kitakatifu ni kitabu cha Mungu, na ndo mana nimesema mumlaumu Mungu.
 
Marianah huu ndio Ulimwengu.

Ulimwengu wa pande mbili.

Giza na Nuru. Nuru inatawala giza.

Muumba na muumbaji.

Mtawala na mtawaliwa.

Masikini na Tajiri.

Mungu na Shetani.

Mwanaume na Mwanamke.

Mweupe na Mweusi. N.k.

Mwanamke yupo kundi la kutawaliwa. Hata afanye jambo gani zuri mtawaliwa ni mtawaliwa tuu. Atabaki kuwa mtumwa wa Mwanaume.

Utahangaika sana Kupambana na Nature.

Hilo lipo wazi hata kwa Viumbe wengine waliowengi.

Mwanamke akienda porini akikutana na Nyani au Sokwe hawezi kumtisha kwa lolote. Sokwe atamchukulia kama mwanamke tuu. Nyani atakuchukulia kama mwanamke tuu. Na ndivyo ilivyo. Wewe ni mwanamke utabaki kama mwanamke na utachukuliwa kama mwanamke.

Yaani tunaweza kusema. Mwanamke yupo upande dhaifu wakati Mwanaume yupo upande mkuu.

Hata Mungu pamoja ya kuwa hana Jinsia lakini Bado anaitwa Baba. Yaani mwenye nguvu, Mamlaka, Asiyekosea, Mtawala.

Mungu hawezi itwa Mama wala mwanamke kwa kuwa Mwanamke anasifa ya Kutawaliwa, Hana nguvu, anayekosea mara kwa mara, Anayeenda kila mwezi katika unajisi wake n.k.

Mwanamke pamoja na umuhimu wake lakini mpaka dunia inaisha atabaki kuonekana mkosaji siku zote.

Hata huko Ulaya wanapojitahidi kutetea haki zao lakini bado Mwanamke anachukuliwa kama kiumbe duni tuu.

Kuhusu Uovu. Dhambi ni dhambi haijalishi ni nani anaifanya.

Lakini Biblia inamtambua mwanamke kwa namna kadhaa. Moja ya namna hizo ni kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu sana.

Pia biblia uisemayo inamchukulia Mwanamke kama daraja la chini kabisa.

Moja, Biblia inamtaka mwanamke asihubiri mbele ya wanaume hasa wanaume halisi. Hii ni kutokana na kuwa Mwanaume hapaswi kuisikiliza sauti ya mwanamke bali mwanamke ndiye anapaswa kusikiliza sauti ya mwanaume.

Pili, Mwanamke maumbile yake yanamfinya na kumdunisha awapo kwenye makutano. mfano Biblia inamkataza Mwanamke aliyekatika siku zake kuingia mahali pa ibada. Yaani kanisani au msikitini.

Tatu, Mwanamke mchawi anatakiwa kuuawa. Lakini Biblia imenyamaza kuhusu mwanaume mchawi. Je haikujua kama kuna wanaume wachawi. Jibu ni hapana. Ilijua.

Lakini kwa vile Mwanamke yupo tabaka la chini kwa habari za jinsia ndio maana kawekewa sheria nyingi kuliko mtawala.

Wanaume ndio watawala ndio maana wanaweka sheria wazitakazo na zinazowanufaisha.

Hata Mungu kwa vile ndiye mtawala ndio maana akatuwekea sheria.

Wewe utabaki kulia lia humu lakini huna utakapofika. Ukirudi nyumbani utaosha vyombo, utapika, utafua kama sio zako ni za watoto. Utapangiwa muda wa Kurudi nyumbani. Yaani wewe umetawaliwa.

Kama hujanielewa hutanielewa tena.
Vipi kuhusu uwezekano wa hivyo mnavyoviita vitabu vya mungu kuwa siyo vitabu vya mungu bali vitabu vilivyoandikwa na wanaume?
 
A woman was created to be ruled by a man, will always be under a man's authority, obey and respect him. Katika dunia hii, ondoa kitu kinaitwa usawa, there's no such a thing. Kwa vile mume kafanya kwanini mimi nisifanye, if you get into a relationship with that attitude, hakika mahusiano yatakuwa yanakushinda kila siku, utakuwa unabadilisha wapenzi kila siku.
 
Back
Top Bottom