Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

kwa hio kama kitabu kimeandikwa na mwanaume manake si cha Mungu. na kwa maana hio wewe haukiamini.
Je, wewe humuabudu tena Mungu?
Wewe ndo umetumia mihemko hicho kitabu gani unachotumia sie wengine tusio kitumia, kujificha Kwa maandiko ni udhaufu ili kufanya justification yako uonevu. Kwanza hvo vtabu viliandikwa na wanaume ulitaka wasijipendelee wao, ni sawa na Mimi niandike kuhusu mambo ya usawa wa kijinsia kati ya wanaume na wanawake, lazima niipe favor jinsia yangu. Acheni kutafsiri maandiko vibaya mfyuuuuuu
 
Eti kisa maandiko yamesema wao ni kichwa wafanye mauchafu eti wanawake wavumilie wao wakikosa wasamehewe hii jamii yetu bado inaishi zama za dark ages kila mtu anahtaji kutendewa sawa na usicho penda kutendewa wewe basi isimutendee mwenzako. Kuna watu wanantanyasika na hivi wenye uelewa mdogo wasio weza kutafakari maandiko ndo wanakuwa hawajielewi ka nyumbu. Napinga uonevu wowote Kwa binadamu yoyote hasa mwanamke, though kuna wanaume wanaoheshimu wanawake ka babangu na wengine matured nawapa sana kongole.
Watu wanafanya uovu alafu wanakimbilia kujitetea na maandiko huu ni ujinga wa kupitiliza, umeshapewa uwezo wa kutambua baya na jema ni lipi lakini bado unakubali kuendeshwa eti kisa maandiko yanasema na mbaya zaidi wameelimika, sasa elimu ya kazi gani kama unashindwa kuyatumia maarifa kwenye maisha halisi kwa kufanya yanayostahili kwa haki? Nmekua nashuhudia baadhi ya wanawake wakinyanyasika wengine kwa kujua na wengine kwa kutokujua, imagine unaona mama yako akinyanyasika inauma sana kwakweli ni kitu ambacho huwa sikipendi milele yote.
 
Huyo hajielewi na hajui lengo lake duniani wallah
Mke wa mjomba alimwambia baby nataka kwenda kusoma walau niwe na degree diploma haitoshi

Anko akajibu inatosha sana na ajira unayo hukuolewa kwangu kusoma siku utakayoamua kwenda masomoni beba kila kilichochako usirudi hapa. Mjadala ukafungwa

Mpaka Leo bibie yupo anatumikia taifa kupitia ualimu na ndoa pia
 
Mimi nafata data za kiuchunguzi wanaume mumezidiwa vingi na wanawake Kwa sasa angalia idadi hata ya vijana wakiume hovyo hovyo tu hawana mbele wala nyuma.


Napenda watu wa Data. Mkuu naomba hizo Data.

Tena hata ulete za Ulaya nitashukuru zaidi. Data zinazoonyesha kuwa Wanawake wamewazidi wanaume kwa mambo mengi.

Nikurahisishie dondoo utakazojikita.
●Kiuchumi
●Kijamii
● Kisiasa
● Kiulinzi na usalama
● Kiutamaduni.

Nakuruhusu hata nchi za Ulaya utumie kama Case Study.

Nakusubiri.
 
Marianah huu ndio Ulimwengu.

Ulimwengu wa pande mbili.

Giza na Nuru. Nuru inatawala giza.

Muumba na muumbaji.

Mtawala na mtawaliwa.

Masikini na Tajiri.

Mungu na Shetani.

Mwanaume na Mwanamke.

Mweupe na Mweusi. N.k.

Mwanamke yupo kundi la kutawaliwa. Hata afanye jambo gani zuri mtawaliwa ni mtawaliwa tuu. Atabaki kuwa mtumwa wa Mwanaume.

Utahangaika sana Kupambana na Nature.

Hilo lipo wazi hata kwa Viumbe wengine waliowengi.

Mwanamke akienda porini akikutana na Nyani au Sokwe hawezi kumtisha kwa lolote. Sokwe atamchukulia kama mwanamke tuu. Nyani atakuchukulia kama mwanamke tuu. Na ndivyo ilivyo. Wewe ni mwanamke utabaki kama mwanamke na utachukuliwa kama mwanamke.

Yaani tunaweza kusema. Mwanamke yupo upande dhaifu wakati Mwanaume yupo upande mkuu.

Hata Mungu pamoja ya kuwa hana Jinsia lakini Bado anaitwa Baba. Yaani mwenye nguvu, Mamlaka, Asiyekosea, Mtawala.

Mungu hawezi itwa Mama wala mwanamke kwa kuwa Mwanamke anasifa ya Kutawaliwa, Hana nguvu, anayekosea mara kwa mara, Anayeenda kila mwezi katika unajisi wake n.k.

Mwanamke pamoja na umuhimu wake lakini mpaka dunia inaisha atabaki kuonekana mkosaji siku zote.

Hata huko Ulaya wanapojitahidi kutetea haki zao lakini bado Mwanamke anachukuliwa kama kiumbe duni tuu.

Kuhusu Uovu. Dhambi ni dhambi haijalishi ni nani anaifanya.

Lakini Biblia inamtambua mwanamke kwa namna kadhaa. Moja ya namna hizo ni kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu sana.

Pia biblia uisemayo inamchukulia Mwanamke kama daraja la chini kabisa.

Moja, Biblia inamtaka mwanamke asihubiri mbele ya wanaume hasa wanaume halisi. Hii ni kutokana na kuwa Mwanaume hapaswi kuisikiliza sauti ya mwanamke bali mwanamke ndiye anapaswa kusikiliza sauti ya mwanaume.

Pili, Mwanamke maumbile yake yanamfinya na kumdunisha awapo kwenye makutano. mfano Biblia inamkataza Mwanamke aliyekatika siku zake kuingia mahali pa ibada. Yaani kanisani au msikitini.

Tatu, Mwanamke mchawi anatakiwa kuuawa. Lakini Biblia imenyamaza kuhusu mwanaume mchawi. Je haikujua kama kuna wanaume wachawi. Jibu ni hapana. Ilijua.

Lakini kwa vile Mwanamke yupo tabaka la chini kwa habari za jinsia ndio maana kawekewa sheria nyingi kuliko mtawala.

Wanaume ndio watawala ndio maana wanaweka sheria wazitakazo na zinazowanufaisha.

Hata Mungu kwa vile ndiye mtawala ndio maana akatuwekea sheria.

Wewe utabaki kulia lia humu lakini huna utakapofika. Ukirudi nyumbani utaosha vyombo, utapika, utafua kama sio zako ni za watoto. Utapangiwa muda wa Kurudi nyumbani. Yaani wewe umetawaliwa.

Kama hujanielewa hutanielewa tena.
What a brave comment
 
Achana na Ku abudu na kumwamini Mungu vitabu hivo kuandikwa na mwanadamu hasa mwanaume vina bias, zamani wanawake walikuwa hawahesabiwi kuwa ni watu hata kwenye sensa ilikuwa ni wanaume. Unataka kusema huko kuandikwa siilikuwa Ku favor malengo ya kijamii ya wakati ule? Jiongezeni aisee
kwa hio kama kitabu kimeandikwa na mwanaume manake si cha Mungu. na kwa maana hio wewe haukiamini.
Je, wewe humuabudu tena Mungu?
 
Mimi nadhani mleta uzi Kuna kitu kaamua kujisahaulisha bahati mbaya Kama si makusudi,ukubwa wa mwanamme sio wa kujadili Bali ni qadar aliyoiweka Mungu,ambayo haitabatilika kamwe mpaka kuisha kwa dunia.Vitabu vya Mungu vinatuambia kuwa jumla ya mitume na manabii wa Mungu ni 124000,na wote hao walikuwa ni wanaume,mtoa mada amewahi kujiuliza kwa nini hao wote wawe wanaume tu bila ya mwanamke hata mmoja je Mungu alisahau?je wanawake hawakuwepo??na hata tukija kwenye maisha ya kawaida ya kila siku kati ya mke na mme,ni wapi ambapo mwanamke hutenda zaidi ya kutendwa?mtoa mada anatakiwa afute kauli yake na atuombe radhi wanaume.
 
Unaweza kutafta report ya World bank kuhusu Tanzania mwaka huu, usome ili unoe akili yako vzuri, hyo ya Ulaya nikunichosha tafta mwenyewe usome Kwa ufasaha mana hzo assignment's unazonipa waweza Ku google mwenyewe
Napenda watu wa Data. Mkuu naomba hizo Data.

Tena hata ulete za Ulaya nitashukuru zaidi. Data zinazoonyesha kuwa Wanawake wamewazidi wanaume kwa mambo mengi.

Nikurahisishie dondoo utakazojikita.
●Kiuchumi
●Kijamii
● Kisiasa
● Kiulinzi na usalama
● Kiutamaduni.

Nakuruhusu hata nchi za Ulaya utumie kama Case Study.

Nakusubiri.
 
Mkuu, mbona lipo andiko linalosema "mwanamume atawaacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja" (kwanini halijasema mwanamke) pia kuna andiko linasema "(mwanamume) aziniye na mwanamke hana akili kabisa afanya jambo litakalomuangamiza nafsi yake" (kwanini halijasema mwanamke).

Je utasema wanawake hawahusiki kwenye hayo maandiko kwa sababu tu hawajatajwa au hawajaongelewa??
Maandiko yapo very clear, hayajamruhusu binadamu yeyote kutenda dhambi (si mwanaume wala mwanamke)

Maandiko hayo hayo unayosema wanaume "wameyatumia vibaya" yapo straight forward mwenye kustawisha familia ni mwanamke (mithali inasema:mwanamke mpumbavu ataivunja nyumba yake kwa mikono yake)

Kama Mungu angetaka tuwe sawa sawa,tungeona katika maandiko wanawake wakiishi na wanaume zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja kama ilivyo kwa wanaume,(kwa imani zote unakuta mwanaume mmoja ana wanawake watatu wanne na kuendelea,na wote wanaishi pamoja pasipo tatizo kabisa)

Sasa fanya utafiti wako wako kwa kadri unavyoweza,ulete marejeo yanayokupa usawa katika mahusiano?HAKUNA!

Na ndiyo maana muoaji analazimika kuleta mahari kwa mwanamke,unajua ni kwa nini? Umewahi kujiuliza utamaduni huu una msingi gani?

Mwanamke anapokuwa cheap sana,thamani yake inashuka sana,na wanaume wakimtaka mwanamke kingono bila mafanikio,wengi wao humuheshimu zaidi mwanamke huyo na kuanza kumpigania ili wamuoe (thamani ya mwanamke iko mikononi mwake mwenyewe)
 
Vyovyote iwavyo. Asili inaonyesha Mwanaume ndiye mtawala.

Jamii karibu zote duniani mwanaume ndiye mtawala.

Hivyo yeye ndiye hubuni sheria kulingana na vile atakavyoona yeye.

Hata mwanamke kupewa haki ni matokeo ya baadhi ya wanaume kuona ipo haja ya kuwapa haki hao wanawake.

Wanawake hawana uwezo wa kukaa pamoja na kuamua kupigania haki zao bila msaada wa mwanaume. Hiyo ni nature mkuu.

Huyo Marianah anajaribu kufanya jaribio lililofeli pale Edeni lililofanywa na Mama yetu Hawa au Eva.

Eva alitaka kumpindua Adamu kisiri ili afanane na Mungu. Kumbuka Adamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu wakati Eva au Hawa akiumbwa kwa Mfano wa Adamu.

Kama jinsi Wanadamu wanavyohangaika kuwa sawa na Mungu lakini inashindikana ndivyo wanawake wanavyojitahidi kuwa sawa na Mwanaume na inashindikana.

mwanamke atabaki kutawaliwa siku zote mpaka aingie kaburini kwenye huo usawa.
Mkuu mimi wala sipingi utofauti uliopo wa kiutawala kati ya mwanaume na mwanamke. Hoja yangu ni usahihi wa njia zilizotumiwa kuusimamisha huo utawala( maandiko matakatifu ).
 
Achana na Ku abudu na kumwamini Mungu vitabu hivo kuandikwa na mwanadamu hasa mwanaume vina bias, zamani wanawake walikuwa hawahesabiwi kuwa ni watu hata kwenye sensa ilikuwa ni wanaume. Unataka kusema huko kuandikwa siilikuwa Ku favor malengo ya kijamii ya wakati ule? Jiongezeni aisee
sijakataa usemacho, nauliza wewe unamwabudu Mungu humuabudu?
 
Kwani unadhani hako kamsemo wamekaanzisha wanawake??
Nasubiri siku wakiacha kale kamsemo ka "umenichezea muda wote" ndo nitaona kuwa angalau tunaelekea kuwa na usawa
 
Sasa hyo ni out of my argument. Kumwabudu Mungu haiwezi kuhalalisha uonevu, I think people hawajaelewa vzuri maandiko na sasa kujificha kwenye kichaka cha Mungu. Some issues need to use common sense.
sijakataa usemacho, nauliza wewe unamwabudu Mungu humuabudu?
 
Napenda watu wa Data. Mkuu naomba hizo Data.

Tena hata ulete za Ulaya nitashukuru zaidi. Data zinazoonyesha kuwa Wanawake wamewazidi wanaume kwa mambo mengi.

Nikurahisishie dondoo utakazojikita.
●Kiuchumi
●Kijamii
● Kisiasa
● Kiulinzi na usalama
● Kiutamaduni.

Nakuruhusu hata nchi za Ulaya utumie kama Case Study.

Nakusubiri.
Mkuu huyu aliongea tu kutetea chama lakini siyo kweli wanawake wanawazidi wanaume kwenye nyanja hizo...
 
Back
Top Bottom