Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Eti kisa maandiko yamesema wao ni kichwa wafanye mauchafu eti wanawake wavumilie wao wakikosa wasamehewe hii jamii yetu bado inaishi zama za dark ages kila mtu anahtaji kutendewa sawa na usicho penda kutendewa wewe basi isimutendee mwenzako. Kuna watu wanantanyasika na hivi wenye uelewa mdogo wasio weza kutafakari maandiko ndo wanakuwa hawajielewi ka nyumbu. Napinga uonevu wowote Kwa binadamu yoyote hasa mwanamke, though kuna wanaume wanaoheshimu wanawake ka babangu na wengine matured nawapa sana kongole.
Kushindwa kuyatafakari na kuyaelewa maandiko vzur n dhahiri kuwa yatakupoteza kabisa, mimi ni mwanaume ila nmeona madhara ya manyanyaso kwa wanawake maana sio kwa wao tu hata kwa watoto inawaathiri sana ila wengi hawalioni hili, mwanaume sio kuwa hivi kama mwanamke wako hakuheshim kwa kumfanyia mema unadhani atakuheshim ukimfanyia mabaya? Wanawake wanateseka sana na waliowahi kupitia hali hizi watakubaliana na mimi.
 
""eti wanaume hatuna cha ziada kuwashinda""
nimekunukuu hapo juu hizi sasa ni dharau hata hivyo kosa sio lenu tumewaachia uhuru Sana mpaka mnatuona tuko sawa

nyie dawa yenu ilikuwa kushinda jikoni kukaa nyumbani kutokwenda shule kuzaa na kulea basi kama walivyofanya mababu zetu

nikujibu tu uzi wako kwamba ulioandika ni kazi bure tumeumbwa kuwa dominator, viongozi, daraja la juu kuliko nyie vitu Kama hivyo kuonekana kweny jamii wala usi judge we
mwenyewe umekubali tunaishi mfumo dume hayo maswali mengi ya nini? tubadilike ama? tuwe Kama nyie tukae jikoni
Yaani umeshindwa kuielewa mada basi hata kukielewa kichwa cha mada??

Soma tena kichwa cha mada halafu ujue lengo langu ni nini!!
 
Wewe hata Picha huoni jiongeze wewe. Wanaume sasa hivi muanzishe chama chenu cha kuwapa empowerment mko weak mumesahaulika sana, shauri yenu endeleeni Ku cremisha maandiko mnashtuka kuvuta blanket kumekucha.
Mkuu huyu aliongea tu kutetea chama lakini siyo kweli wanawake wanawazidi wanaume kwenye nyanja hizo...
 
Sasa hyo ni out of my argument. Kumwabudu Mungu haiwezi kuhalalisha uonevu, I think people hawajaelewa vzuri maandiko na sasa kujificha kwenye kichaka cha Mungu. Some issues need to use common sense.
Mungu unaemuabudu umemjulia kupitia biblia hii hii ambayo inawafeva wanaume. unajua mda mwingine tukubali facts, haina haja ya kubishana.
Screenshot_20190823-183405~(1).jpeg
Screenshot_20190823-183520~(1).jpeg
Screenshot_20190823-191915~(1).jpeg
 
Wanawake huku Africa ni wahanga wa hayo mambo ya unyanyasi ukichangia na level ya ujinga ilivo kubwa basi wanaume wabakimbilia maandiko kujificha. Nashukuru sasa kuna sheria mbalimbali za Ku deal ni uonevu wa kila namna Kwa mwanamke
Kushindwa kuyatafakari na kuyaelewa maandiko vzur n dhahiri kuwa yatakupoteza kabisa, mimi ni mwanaume ila nmeona madhara ya manyanyaso kwa wanawake maana sio kwa wao tu hata kwa watoto inawaathiri sana ila wengi hawalioni hili, mwanaume sio kuwa hivi kama mwanamke wako hakuheshim kwa kumfanyia mema unadhani atakuheshim ukimfanyia mabaya? Wanawake wanateseka sana na waliowahi kupitia hali hizi watakubaliana na mimi.
 
The most lame argument I've come across today badala ya kuongea hizi pumba nadhani ungekuja na andiko linalowaruhusu wanaume kutenda dhambi na linalosema kuwa dhambi zenu ni tofauti na za wanawake
Mbona wewe kamongo hukuja na bandiko linalosema dhambi za wanawake ni tofauti na dhambi za wanaume...
Unapanic nini hebu tuliza kipapa we mchumba wangu usilazimishe watu waelewe unachowaza kichwani mana ni tifauti kabisa na ulicho andika...

Tena ukome kujiringanisha na wanaume.
Mwanamke anayejielewa thamani yake hawezi kukaa akashindana na mwanaume never ever na haijikutokea akashinda
 
Wewe huelewi hata unachoamini na maandiko we need real facts, mie naamini yoyote anaweza kuongoza akiwa na maono na kipaji hayo ya kujifunika hana maana sana, as long as someone ni human being mwenye akili anaongoza tu bila shida. Nasema tena acheni kutumia maandiko vibaya we are living in a liberal world some customs za zamani no longer relevant in 21 century hasa mambo ya uonevu. So acha kutumia maandiko vibaya aiseee
Mungu unaemuabudu umemjulia kupitia biblia hii hii ambayo inawafeva wanaume. unajua mda mwingine tukubali facts, haina haja ya kubishana.View attachment 1208094View attachment 1208095View attachment 1208096
 
Fisrt things first kwahiyo unataka kusema kwamba yale maandiko yote yaliyowaongelea wanawake tu hayawahusu wanaume??

Kuna andiko linasema "mwanamume atawaacha baba yake na mama nyake naye ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja" kwahiyo kwa sababu halijamuongelea mwanamke hapo utasema halimuhusu??

Kuna andiko linasema "(mwanamume) aziniye na mwanamke hana akili kabisa afanya jambo litakalomuangamiza nafsi yake" kwahiyo kwa sababu halijamuongelea mwanamke hapo utasema halimuhusu??

Tofauti ya mwanaume na mwanamke ipo kubwa sana tu na hayo uliyoyaandika baadhi ni ukweli ila hapo uliposema wanaume mnajichangulia sheria na kujiwekea zinazowapendelea ni uongo kwa sababu mimi kwa uelewa wangu wa biblia hasa kwenye maswala ya uzinzi na uasherati sijaona sehemu inayowaruhusu wanaume kutenda dhambi zaidi maandiko yamekataza kwa jinsia zote na hilo litoshe tu kusema kwamba kila jinsia inatakiwa kuwa sahihi kwa nafasi yake and last but not least ulivyosema nikirudi nyumbani nitapika nitaosha vyombo lol utadhani hizo kazi huwa unanifanyia wewe
Marianah huu ndio Ulimwengu.

Ulimwengu wa pande mbili.

Giza na Nuru. Nuru inatawala giza.

Muumba na muumbaji.

Mtawala na mtawaliwa.

Masikini na Tajiri.

Mungu na Shetani.

Mwanaume na Mwanamke.

Mweupe na Mweusi. N.k.

Mwanamke yupo kundi la kutawaliwa. Hata afanye jambo gani zuri mtawaliwa ni mtawaliwa tuu. Atabaki kuwa mtumwa wa Mwanaume.

Utahangaika sana Kupambana na Nature.

Hilo lipo wazi hata kwa Viumbe wengine waliowengi.

Mwanamke akienda porini akikutana na Nyani au Sokwe hawezi kumtisha kwa lolote. Sokwe atamchukulia kama mwanamke tuu. Nyani atakuchukulia kama mwanamke tuu. Na ndivyo ilivyo. Wewe ni mwanamke utabaki kama mwanamke na utachukuliwa kama mwanamke.

Yaani tunaweza kusema. Mwanamke yupo upande dhaifu wakati Mwanaume yupo upande mkuu.

Hata Mungu pamoja ya kuwa hana Jinsia lakini Bado anaitwa Baba. Yaani mwenye nguvu, Mamlaka, Asiyekosea, Mtawala.

Mungu hawezi itwa Mama wala mwanamke kwa kuwa Mwanamke anasifa ya Kutawaliwa, Hana nguvu, anayekosea mara kwa mara, Anayeenda kila mwezi katika unajisi wake n.k.

Mwanamke pamoja na umuhimu wake lakini mpaka dunia inaisha atabaki kuonekana mkosaji siku zote.

Hata huko Ulaya wanapojitahidi kutetea haki zao lakini bado Mwanamke anachukuliwa kama kiumbe duni tuu.

Kuhusu Uovu. Dhambi ni dhambi haijalishi ni nani anaifanya.

Lakini Biblia inamtambua mwanamke kwa namna kadhaa. Moja ya namna hizo ni kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu sana.

Pia biblia uisemayo inamchukulia Mwanamke kama daraja la chini kabisa.

Moja, Biblia inamtaka mwanamke asihubiri mbele ya wanaume hasa wanaume halisi. Hii ni kutokana na kuwa Mwanaume hapaswi kuisikiliza sauti ya mwanamke bali mwanamke ndiye anapaswa kusikiliza sauti ya mwanaume.

Pili, Mwanamke maumbile yake yanamfinya na kumdunisha awapo kwenye makutano. mfano Biblia inamkataza Mwanamke aliyekatika siku zake kuingia mahali pa ibada. Yaani kanisani au msikitini.

Tatu, Mwanamke mchawi anatakiwa kuuawa. Lakini Biblia imenyamaza kuhusu mwanaume mchawi. Je haikujua kama kuna wanaume wachawi. Jibu ni hapana. Ilijua.

Lakini kwa vile Mwanamke yupo tabaka la chini kwa habari za jinsia ndio maana kawekewa sheria nyingi kuliko mtawala.

Wanaume ndio watawala ndio maana wanaweka sheria wazitakazo na zinazowanufaisha.

Hata Mungu kwa vile ndiye mtawala ndio maana akatuwekea sheria.

Wewe utabaki kulia lia humu lakini huna utakapofika. Ukirudi nyumbani utaosha vyombo, utapika, utafua kama sio zako ni za watoto. Utapangiwa muda wa Kurudi nyumbani. Yaani wewe umetawaliwa.

Kama hujanielewa hutanielewa tena.
 
Nasema tena acheni kutumia maandiko vibaya we are living in a liberal world some customs za zamani no longer relevant in 21 century hasa mambo ya uonevu. So acha kutumia maandiko vibaya aiseee

21st Century needs a 21st Century bible sio? Mungu anawaonea sio?
kazi ipo.
 
Hahaaa hapana aisee ni watu wawili tofauti though tunaweza tukawa tuna share some ideologies aisee. Though I like her arguments

Yes, I read her line to line nikaona tofauti kubwa tu.

Na nahisi ndiye amekuibua, maana kuna uzi kaukimbiza mpaka nikawa natamani ungekuwepo kumpa kampani, you share so much ideas.
 
Back
Top Bottom