Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Uzi umetosha na umejitosheleza. Sindano imeingia yote na dozi imewafaa. Mapovu yatawatoka lkn hatuyafulii. Pambaneni na mapovu yenu. Leo wanaume wamekumbwa leo uwiiiiiiiiiiii amkeniiiiiiii amkeniiii huku wanaume leo wamepatwaaaa hahhahahahahahahahhhaahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Uzi umetosha na umejitosheleza. Sindano imeingia yote na dozi imewafaa. Mapovu yatawatoka lkn hatuyafulii. Pambaneni na mapovu yenu. Leo wanaume wamekumbwa leo uwiiiiiiiiiiii amkeniiiiiiii amkeniiii huku wanaume leo wamepatwaaaa hahhahahahahahahahhhaahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na wewe acha ushabiki basi...
 
We differ to some extent, I wish ningeuona huo Uzi wake yeye ni jeshi la Mtu moko bora kusimamia unachokiamini hata ukibaki peke yako
Yes, I read her line to line nikaona tofauti kubwa tu.

Na nahisi ndiye amekuibua, maana kuna uzi kaukimbiza mpaka nikawa natamani ungekuwepo kumpa kampani, you share so much ideas.
 
Wanawake huku Africa ni wahanga wa hayo mambo ya unyanyasi ukichangia na level ya ujinga ilivo kubwa basi wanaume wabakimbilia maandiko kujificha. Nashukuru sasa kuna sheria mbalimbali za Ku deal ni uonevu wa kila namna Kwa mwanamke
Na wengine wanafanyiwa maovu for nothing, hawajakosea chochote ni kwasababu tu wanawake, wale wafia dini na ndoa ndio wakikutana na hali hii wanakufa kmya kmya na manyanyaso yao kwa kuamini katika upendo ambao unamtesa kila siku.
 
Mwambie dogo apande gar aende atafikia lodge atagongwa na anaweza pewa nauli ya kurudi au asipewe story imeishia hapo maana hayo ndo maisha yetu na wanawake wa mikoan
Hata me nawaaguzaga sana maana wanapenda kuja dar
 
Na wengine wanafanyiwa maovu for nothing, hawajakosea chochote ni kwasababu tu wanawake, wale wafia dini na ndoa ndio wakikutana na hali hii wanakufa kmya kmya na manyanyaso yao kwa kuamini katika upendo ambao unamtesa kila siku.
Na watu huchaganya dini na uonevu na wengi hawaelewi dini vzuri, wabatofauti gani na wale mafarisayo walioenda kumshtaki yule mwanamke aliyekuwa anaziniwa ili apigwe mawe na kumwacha mwanaume, Yesu akawaambiwa asiye na dhambi na awe wakwanza kumpiga yule mwanamke na mawe mbona wote walikimbia, au kule Nigeria yule mwanamke alibakwa akapata mimba under sheria law wakamhukumu apigwe mawe mpaka kufa vipi huyo mubakaji.

Upendo wa kweli huheshimu na kamwe huwezi muumiza partner wako Kwa kutafta excuses na justification za maandiko baada ya kukiri kosa
 
Fisrt things first kwahiyo unataka kusema kwamba yale maandiko yote yaliyowaongelea wanawake tu hayawahusu wanaume??

Kuna andiko linasema "mwanamume atawaacha baba yake na mama nyake naye ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja" kwahiyo kwa sababu halijamuongelea mwanamke hapo utasema halimuhusu??

Kuna andiko linasema "(mwanamume) aziniye na mwanamke hana akili kabisa afanya jambo litakalomuangamiza nafsi yake" kwahiyo kwa sababu halijamuongelea mwanamke hapo utasema halimuhusu??

Tofauti ya mwanaume na mwanamke ipo kubwa sana tu na hayo uliyoyaandika baadhi ni ukweli ila hapo uliposema wanaume mnajichangulia sheria na kujiwekea zinazowapendelea ni uongo kwa sababu mimi kwa uelewa wangu wa biblia hasa kwenye maswala ya uzinzi na uasherati sijaona sehemu inayowaruhusu wanaume kutenda dhambi zaidi maandiko yamekataza kwa jinsia zote na hilo litoshe tu kusema kwamba kila jinsia inatakiwa kuwa sahihi kwa nafasi yake and last but not least ulivyosema nikirudi nyumbani nitapika nitaosha vyombo lol utadhani hizo kazi huwa unanifanyia wewe


Mkuu hivyo ndivyo ilivyo hata ukikataa.

Walioandika hiyo Biblia ni Wanaume.

Walioandika hiyo Quran ni wanaume.

walioandika vitabu vya dini karibu zote duniani ni wanaume. Hao Budha, Hindu, Shinto, Voodoo, Bahaula, N.k. wote ni wanaume.

Huyo Mungu unayemsema anatambulika kama amebeba dhima ya Kiume. Amependelea wanaume zaidi.

Sipo Biased ila najaribu kuelezea uhalisia.

Mwanaume ndiye mtawala wakati mwanamke ni mtawaliwa.

Mtawala ndiye mtungaji wa Sheria hata katika jamii zisizo na dini zenye asili ya Abrahamu.

mtawala ndiye anaamua nini kiwe nini kisiwe akisaidiwa na Nature ambayo ndiyo watu huita Mungu.

Hiyo ni kwa habari ya Jinsia.

Kwa habari ya Rangi. Mtawala ni rangi nyeupe. Yaani wazungu kwa jamii zao.

Hao ndio hutunga sheria na hata mipaka ya nchi zetu wao ndio waliipanga na kuichora.

Wazungu huko kwao sio kwamba hawana mambo ya ajabu. Sio kwamba hawauani. Wanauana tena sana lakini kwa nini wao dunia iwapondi sana. Jibu ni moja ni kwa sababu wao ni watawala.

Lakini Muafrika akifanya uovu kidogo utaona watu wakitukana. Mara waafrika wajinga, mara waafrika ni makatili. Lakini yote ni kwa sababu Waafrika ni tabaka tawaliwa.

Mtawala hapewi lawama sana ukilinganisha na mtawaliwa.

Kama hujanielewa.

Mfano Mungu na Shetani.
Mungu ni mtawala. Yeye ndiye anaweka sheria kwa vile ni mtawala. Mungu hata akiadhibu dunia na kuiletea majanga lakini Bado watu watamsifia au kama ni kukosoa watakosoa kidogo.

Lakini shetani ambaye ni mtawaliwa hata akiua mtu mmoja utasikia watu wakimlaani sana.


Ndivyo hata kwa habari ya mwanamke na mwanaume.

Mwanaume hata akifanya umalaya huwezi sikia watu wakimtukana na kumkejeli. Hii ni kutokana yeye ni mtawala.

Lakini mwanamke fanya kidogo yaani usizini bali mkumbatie tuu hata mwanaume mbele za watu uone watu wayakavyokushukia. Watakutukana na kukupa maneno ya kejeli. Hii ni kutokana mwanamke ni Mtawaliwa.

Mtawaliwa hata afanye kizuri vipi hawezi kusifiwa. Mtawaliwa ni mtu wa kulaumiwa siku zote.

Ndio maisha hayo Marianah. Utahangaika lakini hakuna atakayekusaidia. Hata huyo Mungu hanaatakachofanya kwenye hayo malalamiko yako. Kwani yeye ndiye aliyeweka mambo yaende hivyo.

Zaidi ya yote. Tuishi kwa kupendana iwe ni tabaka tawala au Tawaliwa. Iwe ni Simba au Swala.

Kalagabaho
 
We differ to some extent, I wish ningeuona huo Uzi wake yeye ni jeshi la Mtu moko bora kusimamia unachokiamini hata ukibaki peke yako

Yes, I noted the differences,

Uzi haukuwa wake, yeye alikuwa oppose wa motion.

 
Mkuu wewe hutaki kutumia facts unajificha kwenye maandiko nasijasema new bible. Kuna mambo tu unatumia simple logic. Mimi nasimamia haki sawa Kwa wote regardless of gender everyone's need equal rights basi

lengo langu lilikua ni kuelewesha tu source ya haya yote ni nini. kama unaona biblia inawanyanyasa mnataka turudi kwenye maadili ya kiafrika? huko si ndo mtavuja damu kabisa?
 
I saw this thread nikaucha tu people walikuwa wanatumia mihemko tu na kuzalilishana basi nikapita hivi hasa Uzi ukivamiwa na wavulana wasio jua maisha ni shida kweli kweli
Yes, I noted the differences,

Uzi haukuwa wake, yeye alikuwa oppose wa motion.

 
Biblia kwanza haijahalalisha dhambi yoyote vile watu mnatafsiri vibaya tu maandiko, mila za kiaftica zako hazitumiki zimeachwa siku mingi. Sasa hivi technology, education mambo mengi ya hovyo yameshaachwa ndo mana hata nyie mnalalamika wanawake wameharibika vile wanawake wanajitambua, na nyie wanaume wa Africa uanaume wenu ili ukamilike ni lazima mnyanyase wanawake mwanamke mjanja mnamuogopa ka homa ya ini
lengo langu lilikua ni kuelewesha tu source ya haya yote ni nini. kama unaona biblia inawanyanyasa mnataka turudi kwenye maadili ya kiafrika? huko si ndo mtavuja damu kabisa?
 
I saw this thread nikaucha tu people walikuwa wanatumia mihemko tu na kuzalilishana basi nikapita hivi hasa Uzi ukivamiwa na wavulana wasio jua maisha ni shida kweli kweli

You could have been a very good company to her.

Mtuvumilie tu, maisha yamebadilika katika kiasi ambacho hatukuwa tumejipanga nacho, we relaxed thinking kwamba we will always be on top.

Shule, utandawazi umeleta mabadiliko ambayo hatukuyategemea, so linapokuja swala la kukutana na wanawake ambao ni argumentative, cash self independent, brain na reasoning tunajikuta Thrones zinakuwa hatarini.

Kinachobaki kinafanyika, tunafanya personal attack, character assassination na abuses kuraise esteem yetu. Na hii ni kwa sababu tumeshindwa kupambana katika level hitajika.

Mtusamehe bure.
 
Hivi mkuu ukiambiwa uthibitishe kuwa hayo maandiko aliyaandika Mungu uaweza? Sipingani na Mungu na namuamini sana ila vitu vingne ni kujiongeza kwa akili na maarifa aliekujalia haya yote.
kwenye imani inabidi uamini kila kitu unachoambiwa. ukishaanza kutilia mashaka maandiko ambayo yamemtambulisha huyo Mungu unaemuabudu, lazma utilie mashaka na existence ya huyo Mungu, kwa sababu vyote vilivyoandikwa kwenye kitabu kitakatifu vinamuhusu yeye.

huwezi ukaisoma bible selectively kwa kuchagua sehemu unazozipenda na kuacha sehemu unazozichukia, inabidi uisome yote. ukishaanza kusema hiki kibaya, hiki kizuri, unakua unakosea, maana vyote hivyo tumeaminishwa vimetoka kwa Mungu.
 
Mamii wanaume ni dhaifu sana, maumivu yao hupoa kwa muda mrefu sana hivyo kwa kusema madhaifu yetu kunawapa a certain releaf.

Kwa upande wa kujisifia kwa kufanya maovu na kujiona ni sahihi kwao kufanya hivyo basi husababishwa na malezi mabovu, maumivu ya muda ambayo hayajapoa, kujipa moyo, kukosa hofu ya Mungu, kukosa utashi, kukosa utu, kuwa na uchumi mbovu(hivyo faraja pekee ni maovu hayo) lakini pia ni kukosa akili.
Hiki ndicho nilichotaka kukiona na ndiyo ukweli wenyewe

Ila jiandae kuitwa feminist au activist na wavulana wa JF
 
Back
Top Bottom