Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Kama ingekuwa tunaendana na tupo sawa basi pele lingekua limempata mkunaji..

Mnasema hamna cha kupoteza eti niiiiniiiiiii ??? Iyo kitu ikishakuwa ndala utajiringanisha na ya binti wa miaka 18 hebu shika adabu yako...

Kimsingi nyie ndio mnaongoza kwa kulalamika na kuongea sana kuhusu wanaume..hebu fikiria kuna taasisi ngapi mmeanzisha kwa ajili ya kuwatetea wanawake ?????na za wanaume zipo ngapi ???

Tena mkafika mbali eti mnataka haki sawa yani 50/50 tukasema hakuna shida akija kaka jambazi huko nnje anza kutoka wewe mkasema ooihh haki sawa hatukumaanishi hivyo...

Dhambi zetu haziwezi kuwa sawa hata kidogo wewe unatia sisi tunatia mwanaume anaweza kuwapa mimba wanawake 10 ndani ya mwaka mmoja je wewe kama mwanamke peke yako unaweza kushika mimba 10 ndani ya mwaka mmoja..

Tunapoamua kuwa wanaume nyie wanawake inatakiwa mshinde jikoni ata hivyo mshukuru tumewahurumia sana..

Njoo pm baby tuongezee zaidi
The most lame argument I've come across today badala ya kuongea hizi pumba nadhani ungekuja na andiko linalowaruhusu wanaume kutenda dhambi na linalosema kuwa dhambi zenu ni tofauti na za wanawake
 
Mimi nafata data za kiuchunguzi wanaume mumezidiwa vingi na wanawake Kwa sasa angalia idadi hata ya vijana wakiume hovyo hovyo tu hawana mbele wala nyuma.
Ni world bank wamesema lakini tukija kwenye uhalisia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]..
Na msemaji wa world bank tanzania ni mwanamke au mwanaume[emoji119][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]..

Nyie ni wake zetu tu tunawapenda hivyo hivyo kwa mahaba yenu
 
Ndio lengo lao ilikuwa kumbana mwanamke tena vingine vinamfanya mwanamke ka kiumbe asiye na thamani, yani wanaume jukumu lao nikupewa furaha tu huku mwanamke hana sauti, ndio maana hata Saudia wenye imani Kali wameanza kubadilika loh.
Isiwe kwa kisasi, ila hivi vitabu vya imani n chanzo kikubwa sana cha makandamizo kwa wanawake, haki inaonekana sana kwa mwanaume kuliko mwanamke naweza kusema na wao walikua na yao kufanya hvyo.
 
Kwa bahati mbaya mimi sio msomaji mzuri wa Biblia ila nisikupinge mtazamo wako kwa upande wako upo sahihi pia mkuu.


Hapana shida mkuu. Hata kiulimwengu Mtawala ndiye anayepanga sheria kwa mtawaliwa.

mtawaliwa kazi yake ni kufuata sheria tuu.

Mfano. CCM ambacho ni chama tawala hapa nchini. Hiki kinaunda sheria zozote zinazowanufaisha wao na kuwakandamiza watawaliwa ambao ni Upinzani hapa ni CHADEMA, ACT n.k.

Vyama vya upinzani vitataka haki sawa lakini kamwe havitaipata haki hiyo mpaka siku vitakapokuwa chama tawala.

Mfano wa pili.
Muafrika na Mzungu
Mzungu ni mtawala na ndiye anamuwekea sheria Muafrika. Hata bara letu limechorwa mipaka na hao watawala.

Mzungu akifanya uovu huwezi sikia watu wakilalamika. Unajua kwa nini. Ni kwa sababu mtawala hafanyi makosa.

Huko uzunguni hata usikie kuna mauaji huwezi sikia watu duniani wakilalamika sana.

Haya njoo Afrika. Muafrika ni mtawaliwa. Huyu hata afanye kakosa kadogo utasikia Waafrika wajinga sana. Waafrika hawajitambui. Yaani maneno mengi ya kejeli na dhihaka.

Ndivyo ilivyo mtawaliwa akifanya kosa lazima aonekane mbaya tofauti na mtawala.

Hivyo mwanamke kwa vile ni mtawaliwa hata afanye kosa dogo kiasi gani lazima alaumiwe. Hiyo ni nature.

Na hapo ndipo utaona kuwa dunia haipo 50/50.
 
Kwa bahati mbaya mimi sio msomaji mzuri wa Biblia ila nisikupinge mtazamo wako kwa upande wako upo sahihi pia mkuu.


Hapana shida mkuu. Hata kiulimwengu Mtawala ndiye anayepanga sheria kwa mtawaliwa.

mtawaliwa kazi yake ni kufuata sheria tuu.

Mfano. CCM ambacho ni chama tawala hapa nchini. Hiki kinaunda sheria zozote zinazowanufaisha wao na kuwakandamiza watawaliwa ambao ni Upinzani hapa ni CHADEMA, ACT n.k.

Vyama vya upinzani vitataka haki sawa lakini kamwe havitaipata haki hiyo mpaka siku vitakapokuwa chama tawala.

Mfano wa pili.
Muafrika na Mzungu
Mzungu ni mtawala na ndiye anamuwekea sheria Muafrika. Hata bara letu limechorwa mipaka na hao watawala.

Mzungu akifanya uovu huwezi sikia watu wakilalamika. Unajua kwa nini. Ni kwa sababu mtawala hafanyi makosa.

Huko uzunguni hata usikie kuna mauaji huwezi sikia watu duniani wakilalamika sana.

Haya njoo Afrika. Muafrika ni mtawaliwa. Huyu hata afanye kakosa kadogo utasikia Waafrika wajinga sana. Waafrika hawajitambui. Yaani maneno mengi ya kejeli na dhihaka.

Ndivyo ilivyo mtawaliwa akifanya kosa lazima aonekane mbaya tofauti na mtawala.

Hivyo mwanamke kwa vile ni mtawaliwa hata afanye kosa dogo kiasi gani lazima alaumiwe. Hiyo ni nature.

Na hapo ndipo utaona kuwa dunia haipo 50/50.
 
Wewe ulishawahi kumuona huyo mungu au vile viliandikwa na wanaume Kwa hisia mkajipendelea, acheni kujificha kwenye maandiko ili kukandamiza wanawake, eti mlaumu Mungu mxiiiiiew, ndio maana ili udumu na mwanamke lazima umuonee mwanamke, mabadiliko ya sasa ya wanawake kuwa huru mnabaki kulia lia umagharibi, I'm happy wanawake sasa tuna raise against all forms of discrimination na years to come tuta rule the world na nyie muanze kulia lia tu.
Hahahaha!!! Labda mjitengenezee sayari yenu au muende kwenye ile exoplanet iliyogundulika juzi..
 
Ndio lengo lao ilikuwa kumbana mwanamke tena vingine vinamfanya mwanamke ka kiumbe asiye na thamani, yani wanaume jukumu lao nikupewa furaha tu huku mwanamke hana sauti, ndio maana hata Saudia wenye imani Kali wameanza kubadilika loh.
Watu wanafanya uovu alafu wanakimbilia kujitetea na maandiko huu ni ujinga wa kupitiliza, umeshapewa uwezo wa kutambua baya na jema ni lipi lakini bado unakubali kuendeshwa eti kisa maandiko yanasema na mbaya zaidi wameelimika, sasa elimu ya kazi gani kama unashindwa kuyatumia maarifa kwenye maisha halisi kwa kufanya yanayostahili kwa haki? Nmekua nashuhudia baadhi ya wanawake wakinyanyasika wengine kwa kujua na wengine kwa kutokujua, imagine unaona mama yako akinyanyasika inauma sana kwakweli ni kitu ambacho huwa sikipendi milele yote.
 
Mke wa mjomba alimwambia baby nataka kwenda kusoma walau niwe na degree diploma haitoshi

Anko akajibu inatosha sana na ajira unayo hukuolewa kwangu kusoma siku utakayoamua kwenda masomoni beba kila kilichochako usirudi hapa. Mjadala ukafungwa

Mpaka Leo bibie yupo anatumikia taifa kupitia ualimu na ndoa pia
 
Kwahiyo hiyo tofauti kati ya mwanaume na mwanamke ndiyo inawafanya mdhani kuwa wanaume mnatakiwa kutenda dhambi ila wanawake hawatakiwi??
Shaur yenu mimi Nipo hapa Denmark nakula maisha tuu Pambaneni na hali zenu

Endelea kufanya uhanarakati wa usawa
Mtanyooka tuu

Mwanaume Sio Sawa na mwanamke
 
Vipi kuhusu uwezekano wa hivyo mnavyoviita vitabu vya mungu kuwa siyo vitabu vya mungu bali vitabu vilivyoandikwa na wanaume?

Vyovyote iwavyo. Asili inaonyesha Mwanaume ndiye mtawala.

Jamii karibu zote duniani mwanaume ndiye mtawala.

Hivyo yeye ndiye hubuni sheria kulingana na vile atakavyoona yeye.

Hata mwanamke kupewa haki ni matokeo ya baadhi ya wanaume kuona ipo haja ya kuwapa haki hao wanawake.

Wanawake hawana uwezo wa kukaa pamoja na kuamua kupigania haki zao bila msaada wa mwanaume. Hiyo ni nature mkuu.

Huyo Marianah anajaribu kufanya jaribio lililofeli pale Edeni lililofanywa na Mama yetu Hawa au Eva.

Eva alitaka kumpindua Adamu kisiri ili afanane na Mungu. Kumbuka Adamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu wakati Eva au Hawa akiumbwa kwa Mfano wa Adamu.

Kama jinsi Wanadamu wanavyohangaika kuwa sawa na Mungu lakini inashindikana ndivyo wanawake wanavyojitahidi kuwa sawa na Mwanaume na inashindikana.

mwanamke atabaki kutawaliwa siku zote mpaka aingie kaburini kwenye huo usawa.
 
Nyie ndio mna cha kupoteza. Mna na ile kauli yenu. "Umenipotezea muda". Ushasikia mwanaume tunalalama kupotezewa muda [emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]


Yote kwa yote sitetei ujinga.
Ndiyo na ndicho nilichosema kwamba wanaume hamna cha kupoteza sasa kwanini msiache kuongelea maovu ya wanawake kama ninyi hayaumizi??
 
Mkuu, naomba niletee andiko linalomruhusu mwanaume kutenda dhambi maana umesema hadi maandiko yametaka hivyo.
nimesema vitabu vya Mungu vimemfeva sana mwanaume kuliko mwanamke na hata tukitenda dhambi tunahisi tunastahili kuwa tolerated, sijasema tumeruhusiwa kutenda dhambi.

kwa mfano kama huu mstari wa biblia huoni unamkandamiza mwanamke na si mwanaume? mtoto wa kiume hajaonekana kama anaweza akamtia unajisi babaake kwa kulala na wanawake wengi..

ndo mana nakwambia tumekua programmed na maandiko tangu utotoni kuwaona wanawake kama watu wa chini.
IMG_20190915_112551_879.jpeg
 
Back
Top Bottom