Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Yani umetoka kwenye hoja ya msingi mpaka kunyenyekea huko siumekimbia hoja. Mimi naishi na watu kama part of socialization na sio kwahzo poor mentality zako
 
Am in love with you, with what you put here on JF. I believe your head is such a smart mind.
I don't care how you look. You are just a human being, female, you quench my thirst. I love you cariha
Hahaaa yani more than smart lady. By the way I look so good like Cleopatra or like Queen Sheba
 
Large paragraph hayo yote uloandika nayajua na iq ni mojawapo ya kigezo cha kufanyia vilaza popote pale
 
Hata sijapoteza kumbukumbu wewe ndo huelewi yani udini uanzishe wewe then now unibadilikie naona wewe ndo una matatizo ya kutokujielewa acha kuhamisha magoal bwana. Nyie mwanaume suruali mlijificha kwenye kichaka cha udini
 
Yani more than 15 hukui kiakili unakuwa umri tu wewe una tatizo lakutokujiamini na kuna mwanamke mjanja alikutenda basi umekuwa na chuki na wote. Mpenzi wangu ni muelewa hata mambo yake anayofanya makubwa Kwa nchi kuliko nyie mnaoumizwa na mambo ya wanawake Kwa kutokujiamini
 
Hata sijalala lolote please fupisheni comment zenye logic. Sisomi paragraph refu ka za Song of lawino and okol
 
Leo mtakuja na kila neno sio myopic tu come with new term please hapo hujanigusa hata
 
Mimi naongelea wanawake wa Tanzania, hafu ndefu sana sijajichosha kumaliza
 
Wapi ameweka mipasho!?
Tatizo mmeanza kumuattack ...halafu akiwa attack nyie mnaona Kama ana mipasho .
 
Hayo mambo ya udini ni kichaka cha wadhaifu wasio think beyond something tangu juu nimeshasema
 
Lizararu you called my man half man, basi ka ni half man mpe hicho kijambio chako halafu ulete mrejesho hapa ka ni half man, siunajua kashfa wewe, mpe kijambio hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…