Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani umetoka kwenye hoja ya msingi mpaka kunyenyekea huko siumekimbia hoja. Mimi naishi na watu kama part of socialization na sio kwahzo poor mentality zakoYeah..!! Seems that you cited Anne in your debilitated attempt to elicit sympathy.
We understand you women very well sympathy seeking is one of the tools found in your Arsenals, and it's moment like this when it is unleashed.
Kwa huyo kumbe na ujuaji wako woooote huo lakini bado kuna mwanaume una mnyenyekea!?
Hahaaa yani more than smart lady. By the way I look so good like Cleopatra or like Queen ShebaAm in love with you, with what you put here on JF. I believe your head is such a smart mind.
I don't care how you look. You are just a human being, female, you quench my thirst. I love you cariha
Nani alikwambia kwamba IQ ni kipimo cha kumjua mtu mwenye akili ?
IQ na mtu mwenye akili,ni vitu viwili tofauti,mtu mwenye akili hapimwi kwa kuulizwa maswali na kwa kutumia taratibu za kijinga,mtu mwenye akili anapimwa au tunamjua kwa :
1. Kujizuia na yale yote yenye kuzuru afya ya akili yake.
2. Kujizuia na yale yote yenye kuzuru afya ya mwili wake.
3. Kujizuia na yale yote yenye kuharibu mali yake.
4. Kujizuia na yale yote yenye kuzuru au kuharibu nasaba/kizazi chake.
Kinyume na hapo wewe huna akili,hata kama ukiwa na IQ zote,wewe kama una IQ kubwa halafu ni mlevi wewe huna akili,wewe ukiwa na IQ kubwa unavuta sigara wewe huna akili,ukiwa una IQ kubwa halafu unaenda kinyume na Dini inavyotaka wewe huna akili.
Yani vibamia vichakaze mfyuuuhatuzionei wivu tunazionea huruma tunavozichakaza kirahisi wanawake nw days mmekua cheap sana....
Hata sijapoteza kumbukumbu wewe ndo huelewi yani udini uanzishe wewe then now unibadilikie naona wewe ndo una matatizo ya kutokujielewa acha kuhamisha magoal bwana. Nyie mwanaume suruali mlijificha kwenye kichaka cha udiniOna unavyopteza kumbukumbu,umesahau kwamba wewe ndio ulikuwa unalalama ya kuwa nimekimbilia kwenye dini ili kujilinda au kujihami ?
Naona umesahau kama wewe ndio ulianza kuingiza mambo ya dini,nikuonyeshe ?
Hapa sasa ndio nakuonyesha kwanini tunapaswa kurudi kwenye asili ambayo ni dini,asili ambayo kila kitu imekiweka mahala pake,sasa nyinyi mnao hisi kuonewa na kudai uhuru maegemeo yenu ni wapi ? Sasa bibie kama hujui haki inafahimika kwa lipi,huoni unapigania jambo ambalo hulijui ?
Au huko kwenye vikao vyenu huwa mnaambiwa mzungumze tu hata kwa jambo ambalo hulijui ?
Acheni kutumia akili vibaya,mmepewa bure mnazitumid ipasavyo.
Kwa taarifa tu huko ulipo wewe na huyo bwana yako mimi nilishapita miaka 15 iliyopita, kuniona hivi nilivyo haijatokea tu ghafla ghafla.
Kabla sijawa hivi nilivyo niliwahi kuwa aina ya mwanaume ambaye jamii hii ya leo(watu wake wana mitazamo kama yako)inamtaka, nikangudua mapungufu makubwa yaliyopo kwenye hiyo version ya mwanaume kisha nikaamua kutoka haraka sana na kurudi kwenye uanaume asilia.
Kwa jinsi nilivyokuona tu hapa tangu umeanza kuchangia mada, mwanaume mwenye maturity kwako ni lazima akubali kumezwa na mfumo wa maisha unaoupigia debe(mfumo jike), mfumo ambao upo kwa ajili ya kufuata matakwa ya mwanamke kwanza kisha mwanaume baadae na mwanaume ambaye ni muhusudu wanawake (pussy worshipper au woman wrapper).
Wanaume ambao wanaojiona wako modernized mimi huwa nna washusha sana, maana wengi wao wameshapoteza uasili wao bila kujua na wamekuwa programmed kuwafurahisha watu kama Cariha.
Uzuri sio kila mwanamke anapenda kuishi kwenye huo mfumo wenu wa kisasa ambao waasisi wake wana ajenda nzito ya siri ambayo wengi hamuijui. Mwanamke wangu ni muhafidhina kama nilivyo bwana yake na ninathubutu kusema she's way smarter than you.
Mimi huwa ni mwepesi sana wakuelewa,lazima nijikite kwenye mzizi wa hoja yako,kama hujui haki ni nini huwezi kuitetea na kupatia na kuijua haki yako,ndio maana unatapa tapa na kukosa pa kushika ,hujaonyesha unajuaje haki zaidi ya kudai na kutoa kauli mbiu.
Natilia mkazo tu,hakuna jengo bila ya msingi,kwahiyo kwenye msingi lazima nijikite hapo,sababu hapo ndipo kila kitu hutokea.
Ulichokifanya wewe ni kulalama na kukataa ukweli kwa kusema wewe hufati watu wanavyotaka na mfano wa hayo. Kama unajua wewe una mapungufu usingesema hayo unayoyasema na unaonekana hujui kitu.
Nimepima uelewa wako nikagundua tu huko myopic dada angu.
Mtu mwenye uelewa na alo na busara na upeo mkubwa hurekebisha na kukosoa sio kutoa mipasho.
Ebu mwangalia Marianah anavyokosoa kwa hoja na kurekebisha kwa hoja.
Wewe unakuja na mipasho tena!!!!!!!????
KWAHERI MM MENYEWE SIWAWEZ WATU WA MIPASHO.
Dada saint anne hiv ndivyo mnavyotakaga kujitetea kwa mipasho badala ya hoja??!!
Kwa mtindo huu mtafika mbali kweli??
Haina haja ya kutaja achievements zangu mm mchonga viazi masangati na mkaranga kuku basi.
Mimi sijadharau mwanamke lakini suala la ww kusema kuwa tuko sawa ni urongo mkubwa ahlan wa sahlan.
Hatuko sawa kabbisa.
Unachotakiwa kusema ni kwamba wanawake mkiwezeshwa mnaweza na huwenda mkaweza kumzidi mwanaume ktk nyanja flani ila sio kiujumla ila swala la sisi kuwa sawa na ninyi ni big false statement cariha.
Hata mm simdharau mama watoto kwasababu din yetu inasema kuwa mwanaume ni kiongozi wa mwanamke basi mm humuongoza na kumuonesha wapi akanyage wapi atizame na nn afanye.
Na kila mtu huheshimu nafasi ya mwenziwe.
Mwanamke ni mlezi bora wa watoto kwahiyo atawaangalia watoto kabla hajatoka ndiyo mengine yafuate.
Namimi kazi yangu kuhakikisha nakaanga chipsi na kuku ziuzike niilishe familia.
Ila suala la 50/50 ni false statement kwasababu kwa kiasi kikubwa wanawake hamuwezi kusimama bila usimamizi na uongozi wa mwanaume.
Hata ww boyfriend wako usikute ndiye akupaye mawazo ya mantiki kukuzidi ama kuliko ww utoavyo kwake.
Wala sijanyanyasa na kuwaweka wanawake inferior laa ghasaa mashmukh.
Bali ni ukweli kuwa wanawake hata mfanyaje mko chini yetu Cariha.
Umeshawahi kusikia wanaume wanaandamana kutokuridhishwa na wanawake ktk mgegedo?!!!
Ila wanawake wameandamana huko Kenya.
Umeshawahi skia wanaume wanaandamana hawapati wake wa kuoa ???
Ila jamaa kaleta habari tena ipo humu humu JF wanawake wanaandamana hawapati wa kuwaoa "hivyo husababisha wao kutoweza kujitimilizia mahitaji yao mengine ".
Kwa hii statement dada angu mpendwa mamdud,jayyidan jiddah,jamiilah Cariha tuko sawaa kweli ???!!!!
It means that in any ways u can't stand without us men.
Wapi ameweka mipasho!?Nimepima uelewa wako nikagundua tu huko myopic dada angu.
Mtu mwenye uelewa na alo na busara na upeo mkubwa hurekebisha na kukosoa sio kutoa mipasho.
Ebu mwangalia Marianah anavyokosoa kwa hoja na kurekebisha kwa hoja.
Wewe unakuja na mipasho tena!!!!!!!????
KWAHERI MM MENYEWE SIWAWEZ WATU WA MIPASHO.
Dada saint anne hiv ndivyo mnavyotakaga kujitetea kwa mipasho badala ya hoja??!!
Kwa mtindo huu mtafika mbali kweli??
Kila unalo changia unazidi kukosea,inaonekana hamfundishwi umakini na kuujua ukweli na kujua asili ya jambo.
Dini ni tamko lenye asili ya kiarabu,lenye maana ya njia kilugha na kiistilahi ni mwenendo anaoufata mja kujua lipi baya na lipi zuri,na kumjuza lipi lengo la kuumbwa kwake. Kuna dini za uongo za kuzua ambazo hazina asilina Dini ya Mola aliyoileta kwa waja wake.
Sasa nitakuuliza swali ni dini ipi iliyowekwa na binadamu ? Na ilikuwa lini na ni nani wa kwanza kuiweka hiyo dini ?
Huu uongo mwingine,njia aliyoifata Yesu ni ipi ? Na hiyo njia ndio hitwa DINI,naona kila unapogusa huna elimu nako.
Usiseme Yesu hakuacha Dini,sema huijui Dini ya Yesu.
Na nani alikwambia Kristo ndio Yesu ?
Na wewe unataka kuchangia?Hii topic haijaisha tu?
Na wewe unataka kuchangia?
Kwanini huna upande?Ningechangia ila sina upande, halafu nguvu sina siku hizi.
Ningechangia ila sina upande, halafu nguvu sina siku hizi.
Kwanini huna upande?