Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Na ninyi wanaume ndiyo mnaosema kwamba wanawake we have nothing to show?? Ninyi mashoga na wakataa watoto??
 
Utandawazi umewafanya kuwa wajinga sana hawa watoto wa kike,wanapambana na wasichokijua,acha waonekane vituko na watumiwe kama bidhaa.

Halafu huyo ndio awe kiongozi au mtetezi na kuaminiwa ? Hata maana ya maneno tu hajui.
Ustadh inabidi ukalale Sasa[emoji3526]
 
Na hapo kwenye maovu ndipo kiini cha mada kilipo huko kwingine sijui mmefikaje
 
Hawazidi billion 4?? Hebu lete hizo takwimu!!

Halafu kuwepo kwa hao wasioamini Mungu wala dini hakubadilishi ukweli kwamba Mungu yupo na dini zipo!! Hivyo uwepo wa hao watu mimi haunihusu halafu na wewe pia unatakiwa uchague moja unaamini au hauamini siyo unaongelea imani halafu tukienda kwenye imani unarudi kwingine!!
Hizo sheria zinatambulika kwa waislam na Wakristo ambao hawazidi bilion 4.

Waliobaki wote hawatambui hizo sheria na wanaongozwa na sheria za Wanaume zikiwepo hizo za Wakristo na Waislamu.
 
Ukimaliza kuuliza hayo maswali yote na wewe jiulize hili swali moja tu kwanini wanaume mnafanya yote hayo kwa ajili ya wanawake??
 
Ni sawa Mkuu

Masterbation= Masturbation
 
Ni ukweli kabisa mkuu na hiyo ndiyo shida kubwa iliyopo
 
Utandawazi umewafanya kuwa wajinga sana hawa watoto wa kike,wanapambana na wasichokijua,acha waonekane vituko na watumiwe kama bidhaa.

Halafu huyo ndio awe kiongozi au mtetezi na kuaminiwa ? Hata maana ya maneno tu hajui.

Hakuna zama ambazo wanawake wanaishi maisha ya ovyoo ovyoo na ya kipuuzi kama zama hizi za utandawazi na haki sawa.

Wao wanajiona ndio wako katika njia sahihi ya kuishi kumbe ndio wameshajipoteza. Na kizazi kinachokuja mbeleni kuharibika kwake wao ndio sababu kuu.

Angalia sasa hivi tangu waupatd huo uhuru wao idadi ya mashoga na wasagaji imeongezeka, broken homes zimekuwa nyingi, kushamiri kwa vitendo vya kikahaba kuliko ilivyokuwa awali.

Watu kama Cariha ambaye hajui hata ni wapi ashike ni wapi aache ni sumu kwa kizazi kijacho
 
Aahh kabisa yaani leo natumia slogan ya Liverpool "You will never walk alone" na mimi nasema "I will never walk alone"
Thread inatembea hatari..
Leo majeshi yameongezeka ..hayupo Marianah pekeyake [emoji3526][emoji3526][emoji3526]
 
Mimi nimeshaolewa na mume wangu siyo sex maniac na hata yeye huwa ananiambia kuwa asinidanganye mtu dunia hii hakuna mwanaume asiyeweza kujizuia kufanya ngono KILA MWANAUME ana uwezo wa kujizuia kufanya ngono ila tu wanaume wanatumia tamaa zao kujiendekeza halafu wanatumia kama visingizio na labda wewe unaweza kunijibu mwanaume akikaa muda mrefu bila kufanya ngono anapata madhara gani makubwa?? Yaani yale madhara kama kuumwa au kufa ambayo mtu anaweza kuyapata asipokosa vitu kama chakula huwa mnayapata??
 
Aahh kabisa yaani leo natumia slogan ya Liverpool "You will never walk alone" na mimi nasema "I will never walk alone"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Kweli you will never walk alone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajitutumua na slogan yetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka Sana.
 
Ukisema tuangalie source ya tatizo basi unakuwa unabatilisha hayo yote uliyoyaongea kwenye aya ya kwanza maana point yangu namba 8 inaonesha kabisa chanzo ni mwanaume maana mwanaume ndiye anayeanza kutongoza halafu mwanamke ndiye anayefuata kutoa jibu la aidha kukubali au kukataa na ndiyo maana nikasema wanaume mnapotongoza huku mkijua kabisa hamna nia ya dhati nanyi pia mnakosea hivyo mnatakiwa mlaumiwe pia
 
Mmhh ujue mimi tu sijawahi kukuona umecomment sehemu ndiyo nakuona leo kwa mara ya kwanza kwenye huu uzi labda kama nimeshawahi kukuona umecomment mahali ila nimesahau sasa nashangaa watu wanavyotufananisha
Watu wananifananisha na wewe aisee, sema sikuhizi mvivu wa Ku comment humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…