Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Huyu nae hoja zake huwa anaziona kabisa nyepesi halafu anaziweka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Halafu Hiyo username yako imenistua Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23]hako nako sijui hakajielewi

[emoji1787][emoji1787]kwanini aisee
 
Asante sana huu ni mwanzo mzuri tu wa lengo langu kutimia nimebadili id makusudi sababu naona ile nyingine lile jina lilivyo zuri plus ile avatar watu walianza kutengeneza imaginations zao wenyewe kwamba mimi ni mzuri kama Ariana Grande wakati mimi ni mbaya kama Ogre

Nikaona sasa huku wanakoelekea siko ngoja nitafute id inayotisha halafu avatar nisiweke picha ya mdada mzuri ili wafute hizo imaginations sasa na wewe ulivyosema kwamba id hii ya sasa ni mbaya nimefurahi maana sasa hatimaye nitaacha kuattract watu for nothing!!
Nice joke Karma.. ila ID ya Mariannah ilikua na mvuto zaidi. Hii imekaa kizombie and DP is not attractive.
 
Na Mwanamke anayefanya Abortion ni sawa na Mwanaume anayepiga punyeto. Wote wauaji.
Kama mwanaume anayepiga punyeto ni muuaji,hii inamaana hata sex ya kutumia condom ni uuaji na hapa ina maana wote wawili kwa kitendo cha kukubaliana condom itumike ni kwa pamoja wameshiriki katika kupanga na kutekeleza mauaji.
Hii ni kama tu upigaji punyeto/kujichua iwe kwa mwanamke au mwanaume utakuwa defined kwamba ni uuaji.
 
Hakuna kampuni yenye CEOs wawili nani kakudanganya?? Haujawahi kusikia kampuni ina shareholders wawili wenye shares 50/50 (ofcourse kuna kampuni shareholders ndiyo hao hao CEOs na tena ni yale makampuni makubwa) sasa unadhani hapo kuna anayemzidi mamlaka mwenzie?? Wote maamuzi yao yanasikilizwa kwa usawa!! Wanaume na ninyi mifano yenu mingine muwe mnaichunguza kabla ya kuitumia!!
 
Yeah hayo yote yapo kwenye jamii na kuyabadilisha itakuwa ngumu sasa ndiyo nasema kwanini wanaume msiache tu kuyaongelea maovu ya wanawake maana hata mkiyaongelea haisaidii?? Mimi wanangu siwafundishi huu ujinga kwa kweli na ninashukuru hata baba yao naye haamini katika huu ujinga!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
mbona kama unalazimisha uzi ufikie comments 1000?
Kwahiyo kwa sababu wewe unaona comments ni dili humu basi unadhani kila mtu anaona hivyo kwamba hizi ni pesa au tuzo au labda unadhani watu humu tumekuja kutafuta umaarufu??

Wewe lazima kuna kitu kingine kilichokuleta JF tofauti na kuanzisha nyuzi na kuchangia maoni siyo bure!!
 
Sawa wanaume endeleeni kuongelea maovu ya wanawake ipo siku mtafanikiwa kuyarekebisha yote msijali
Tunawarekebisha mabinti wadogo, samaki mkunje angali mbichi. Mimi naanzaje kukurekebisha wewe uliyefikia umri wa kufunzwa na ulimwengu?
 
Tofautisha kati ya kuwa dominated na kuwa downgraded tunapenda kuwa dominated lakini wanaume wengi wa kiafrika mnatu downgrade
tatizo lako unasoma comments juu juu bila kutaka kuelewa. hizo treatments zimekua injected kwa wanaume kutokana na mafundisho ya kijamii. ndo mana mkurya atapiga mwanamke akihisi ndio njia sahihi ya kumnyoosha, na mwanamke wa kikurya ameshaaccept hio kitu. tunarudi kule kule kwenye social constructs.
 
Yaani wewe unaulizwa hiki unajibu hiki halafu hata swali ambalo linahitaji jibu fupi tu wewe unazunguka kama tiara!!

Nimekuuliza amri ya kwamba mwanaume atamtawala mwanamke ilitolewa na Mungu kabla au baada ya Adam na Evah kula tunda??

Kabla
 
Hii id imekaa kwa Ku attack attack....bring back former ID na former Avatar....

OP: please hata kama unaonekana kupingana na watu wengi isikuingie akilini kuwa uko negative mpaka ukaanza kutengeneza mitazamo hasi watu wa Ku imagine kuwa uko hivi ktk maisha ya kawaida. Usiadili id ili ujenge negativity ktk mental picture za watu...One Love
 
Hivi unajua challenges zinazopata hizo kampuni zenye 2 CEOs? kukiwa na conflicts ambazo two CEOs can not agree on something huwa kunahitajika mtu atakaetoa final say.

sasa huyo CEO mwenye uwezo wa kutoa final say ili conflict iishe ndo Dominant CEO, na ndo mana nasema CEO atabaki kuwa mmoja tu, fanya delegation ufanyavyo ila there will always be someone who has a final say. na ndo hivyo hivyo kwenye familia
 

Majukumu ya mwanaume ni pamoja na kukutawala. Na wewe jukumu lako ni kutawaliwa.

Hayo ya mwanaume kufanya uovu sio wajibu wako wewe mtumwa kuuliza habari za Bwana wako.
 
una uhakika gani maovu ya wanawake yakiongelewa haisaidii?
 
Unazidi kuonyesha upumbavu wako yani hujiamini, na unajihisi hisi et umebadili I.D ili Tufute imagination... We kwel umejawa ujinga mwingi.. Unatafuta namna ya kuonyesha uwepo wako Kupitia upumbavu wako.
..
 
mkuu mi mwenyewe nimeliona hili. huyu sio yule tena. this one is a Clone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…