Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Huna hoja hapa kujadeal ka kitu ka previous post ni wastage of time
 
I konw each and everything Im writing sasa wewe una pick ka neno kamoja Mara ukweli sijui nje ya box heeeh huo ujinga sasa
 
Hiyo unajua wewe bwana.
Mimi najua usiku wa manane
Ndio maana mnakuwa wajinga na kuonekana vituko,unaambiwa ukweli unaukataa kwa ujinga wako na kujitutumua,na hivi ndivyo mlivyo kwa kila jambo,yaani hamjui jambo na mnakosea mnaambiwa ukweli mnakataa.
 
Reactions: Cyb
Umenichekesha sana na vingereza uchwara na hayo maneno acha utoto huo sijahangaika kusoma yote hahaaa hyo yote kukwepa tu hoja.
 
Yani since I started arguing with you sijaona jipya unapick minor words, ambayo haina mashiko kabisa
Niliyo yaandika huyakuti katika kipimo chenu cha IQ,najua nimekuandikia jambo jipya.

Siku ukiwa na hoja na ukishajua maana ya maneno unayo jiegemeza kwayi,nitustue,tuendelee hapa tulipoishia.

Huwa tunazungumza kanuni,hatulalami sisi.
 
Ile sisi iliisha kuanzia katika matumizi ya lugha mpaka kwenye ku "reconcile" maandiko yanakupa jibu moja la kuwa pale kujitukuza kwa Mola na kuonyesha hadhi yake na mwanadamu akawa ameumbwa katika umbile bora la kwake mwenyewe kwa dhati yake.
Unaamini katika utatu mtakatifu?
Kwenye biblia huo ndio uliotumika kila penye wingi wa Mungu.
Hebu nipe notes za kiarabu nisome hapo "sisi" inapomaaanisha ni umoja.
 
Nasomaga mada hadi za mwaka 2010 humu enzi hizo JF ina wanaume wanaojielewa mwanaume akichangia unasema yes huyu kweli mwanaume kachangia siyo michango ya siku hizi mtu anachangia hadi unabaki unajiuliza hivi huyu naye kweli anasimama mbele za watu na yeye anajiita mwanaume??
Basi huwa hupitii mada za zamani zamani.
 
Yaani huyo mtoe kabisa kwenye list hajui kutetea hoja zake na wala hata hizo zenyewe tu hana kwanza
 

Hapo amekosea yeye aliyenikosoa,nimeshamrekebisha tayari.

Japokuwa mimi ni mwanadamu na huwa nakosea,ila katika hili amekosea yeye,tamko hilo ni tamko la kiarabu linalosomeka "المنان" ,umeitwa usikuwa wa Manaani kwa sababu Maaani ni jina la Mola wetu muumba.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Basi hujawahi kumbahatisha..ana michango iliyosimama humu.
 
50/50 itafuteni tu wenyewe. Duniani si mnatuzidi namba. Endeleeni tu.
Ndiyo sasa ninyi kwani hata wanawake wakiandamana barabarani kutaka ndoa ninyi mnaumia?? Kama hamuumii si ndiyo mnyamaze sasa na hata wakidai ndoa si mjifanye kama hamuwaoni??
 
We naye na kiarabu chako.
Basi Mimi nimezoea Hilo Hilo usiku ya manane...huo mwingine utakuwa wako bwana.
 
Yaani siku ile ilikuwa ajabu
 
Basi haukutakiwa kusema kwamba eti ninyi ndiyo mnatuwezesha hapo
Naona unazidi kukurupuka na kutokuwa nakino,nani amekwambia kwamba nimesema sisi ndio tunawawezesha ?

Suala la mimba kupata au kukosa liko nje ya mwanadamu yeyote,na muwezeshaji ni Mola muumba,binadamu huwa ni sababu tu,kwahiyo umekosea kunijibu kwa maana yako.
 
Unaamini katika utatu mtakatifu?
Kwenye biblia huo ndio uliotumika kila penye wingi wa Mungu.
Hebu nipe notes za kiarabu nisome hapo "sisi" inapomaaanisha ni umoja.
Anazo ila hapa huwa anang'ang'ania kukoamaa na kiswahili tu.
Tena unaona kabisa analazimisha "sisi" iwe "Mimi"
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]enhe niambie kwanini umesema username yangu imekushitua
 
Ha ha haaaa Nafurahi kwa majibu hayo ni wazi mnatupeleka motoni.
Mnatushawishi huku mkijua wazi tuna vichwa viwili tusameheni nyie ni ubavu wetu tunaachaje kuwasiliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…