Ulitoa maana nzuri kiasi ya kufikiri nje ya box,lakini nikakupa mfano uonyeshe namna ya kufikiri nje ya box,ukashindwa nikahitimisha ya kuwa unafahamu maana tu ila uhalisia hauko nao.
Huwa tunasema hivi "Ukitaka kuruka hakikisha umeagana na nyonga" na husemwa hivi "Tengeneza kiti chako kwanza kisha ndio ukipambe"
Nipo .....
I konw each and everything Im writing sasa wewe una pick ka neno kamoja Mara ukweli sijui nje ya box heeeh huo ujinga sasaUnaweza kutumia ya logic kukosoa haya niliyo yaandika ? Jibu huwezi sababu hujui hata mipaka ya logic,inaonekana unapenda sana kusikia maneno bila kuyaelewa maneno hayo.
Nakuonyesha ya kuwa kila unalo andika unatakiwa ulijue na hii ndio maana halisi ya mijadala,sasa unajadili jambo mwisho wa siku hata kulitetea na kulijengea hoja huwezi,haya ni matumizi mabaya ya akili.
Usiposoma wewe watasoma mfano wako na wasio kuwa nyinyi. Kuna muda tuna yaandika haya ili wengine waone ujinga ulipo.
Hii ni kwako wewe khasa na kwa wengine kwa ujumla.
Ndio maana mnakuwa wajinga na kuonekana vituko,unaambiwa ukweli unaukataa kwa ujinga wako na kujitutumua,na hivi ndivyo mlivyo kwa kila jambo,yaani hamjui jambo na mnakosea mnaambiwa ukweli mnakataa.Hiyo unajua wewe bwana.
Mimi najua usiku wa manane
Umenichekesha sana na vingereza uchwara na hayo maneno acha utoto huo sijahangaika kusoma yote hahaaa hyo yote kukwepa tu hoja.Hahahahha!! Chiliax girl, why all of these faux pas and gaffes?
Has my unflappant statement sent you out of your composure?
Let me demystify whatever seems to perplex your damn mind.
When i said half-man half-woman i literally meant the kind of man whose manhood is already gigantically engulfed by waves of feminism and he has no genuine masculinity anymore.
A man who is ready to comply with whatever conditions his woman gives him.
I know most of men dating feminists falling in those aforementioned characters.
I didn't mean to offend you as you perceived it.
Niliyo yaandika huyakuti katika kipimo chenu cha IQ,najua nimekuandikia jambo jipya.
Siku ukiwa na hoja na ukishajua maana ya maneno unayo jiegemeza kwayi,nitustue,tuendelee hapa tulipoishia.
Huwa tunazungumza kanuni,hatulalami sisi.
Unaamini katika utatu mtakatifu?Ile sisi iliisha kuanzia katika matumizi ya lugha mpaka kwenye ku "reconcile" maandiko yanakupa jibu moja la kuwa pale kujitukuza kwa Mola na kuonyesha hadhi yake na mwanadamu akawa ameumbwa katika umbile bora la kwake mwenyewe kwa dhati yake.
Basi huwa hupitii mada za zamani zamani.
Yaani huyo mtoe kabisa kwenye list hajui kutetea hoja zake na wala hata hizo zenyewe tu hana kwanzaTofauti Yao hawa.
Lizarazu huwa anabisha kwa facts...ila yule jamaa aisee...sometimes anabisha tu kwa kulazimishia mambo[emoji23][emoji23][emoji23].
Mnafiia mwisho Mara anarudi katikati Mara anaenda mwanzo mnaanza upya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ohoo..kumbe hata yeye amekosea[emoji14][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Karma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...hebu mchukue Kaka yako huku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].Nasomaga mada hadi za mwaka 2010 humu enzi hizo JF ina wanaume wanaojielewa mwanaume akichangia unasema yes huyu kweli mwanaume kachangia siyo michango ya siku hizi mtu anachangia hadi unabaki unajiuliza hivi huyu naye kweli anasimama mbele za watu na yeye anajiita mwanaume??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani huyo mtoe kabisa kwenye list hajui kutetea hoja zake na wala hata hizo zenyewe tu hana kwanza
Ndiyo sasa ninyi kwani hata wanawake wakiandamana barabarani kutaka ndoa ninyi mnaumia?? Kama hamuumii si ndiyo mnyamaze sasa na hata wakidai ndoa si mjifanye kama hamuwaoni??50/50 itafuteni tu wenyewe. Duniani si mnatuzidi namba. Endeleeni tu.
We naye na kiarabu chako.Hapo amekosea yeye aliyenikosoa,nimeshamrekebisha tayari.
Japokuwa mimi ni mwanadamu na huwa nakosea,ila katika hili amekosea yeye,tamko hilo ni tamko la kiarabu linalosomeka "المنان" ,umeitwa usikuwa wa Manaani kwa sababu Maaani ni jina la Mola wetu muumba.
Hahahaha..
Hawezi akakwambia...Maana huwa mpo kwenye mabishano siku zote.
Siku nzuri ya kukuambia haya ilikuwa siku ile tunapiga story na yule shimba ya buyenze..
Kwa Mara ya kwanza ukawa unapiga story na Lizarazu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona unazidi kukurupuka na kutokuwa nakino,nani amekwambia kwamba nimesema sisi ndio tunawawezesha ?Basi haukutakiwa kusema kwamba eti ninyi ndiyo mnatuwezesha hapo
Anazo ila hapa huwa anang'ang'ania kukoamaa na kiswahili tu.Unaamini katika utatu mtakatifu?
Kwenye biblia huo ndio uliotumika kila penye wingi wa Mungu.
Hebu nipe notes za kiarabu nisome hapo "sisi" inapomaaanisha ni umoja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]enhe niambie kwanini umesema username yangu imekushituaSijui ana matatizo gani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu naye unakuta anajitutumua kweli[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji14]
Na asili zake za maneno...ameshikilia Hadi Basi.
Nafurahi kwa majibu hayo ni wazi mnatupeleka motoni.Kwa hiyo kama sisi tunawaletea na haiwafurahishi kwa nini mnanunua?
Wanaume hamjaacha tuu kujitetea kwa kumsingizia mwanamke.
Kule bustanini adamu kapewa tunda na akalila (alikuwa na uwezo wa kulikataa) alipoulizwa kwanini kala na wakati waliambiwa wasile, utetezi wake ulikuwa "ni huyu mwanamke kaniletea".
.
Ni sawa na utetezi wenu eti ni kwa sababu sisi tunawaletea na nyie mnaamua kununua.
Lakini jiulize kule bustani ya Eden Mungu alitoa adhabu kwa Eva tuu kwa sababu yeye ndio alipeleka tunda au alitoa adhabu kwa wrote? Hiyo inamaanisha mpelela tunda na mla tunda wote walitenda dhambi.
.
Sasa nyie nunueni wanaojiuza halafu uone hao ndio wana dhambi nyie hamna.
Mimi nilifurahi Sana.Yaani siku ile ilikuwa ajabu