Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Msitake kulazimisha binadamu tufanane na wanyama maana naona wanaume mmekazania sana kutolea mifano ya wanyama utadhani tuliambiwa tuige maisha yao

Kuna tofauti kuwa sana kati ya binadamu na wanyama sisi tuna maisha mengine baada ya kifo wao hawana sisi tumewekewa sheria za kufuata wao hawajawekewa sisi tumekatazwa uzinzi na uasherati ila wao hawajakatazwa sasa endeleeni na huo ujinga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kabisa
Hahaha angepatikana hata nusu mfalme Suleiman humu mbona tungetafutana lakini hawa hata sehemu ya kivuli chake tu hawana


Ni sawa na mie nijitutumue kujifananisha na kina Cleopatra, maria, au Easter
 
Ndo nini kubadili jina hilo halafu jina kali hivyo, nimeumia kweli ujue
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti umeumia jomoni mbona ni la kawaida tu
 
Kwanini useme kwamba wanaume wanatupa uhuru wanawake tufanye uovu ili watutumie hivi kwani uovu wa wanawake umeanza millenia hii?? Mbona hata enzi za biblia walikuwepo wanawake wengi tu makahaba (na hata wewe ulishawahi kulisema hili) pamoja na kwamba hakuna mwanaume aliyekuwa anajishughulisha kutetea wanawake enzi hizo zaidi ya kuwadhalilisha tu tena hadharani

Lakini maovu ya wanawake yalikuwepo sana tu wengine walikuwa wauaji wakubwa na zamani ilikuwa ikigundulika kuwa mwanaume kauliwa na mwanamke basi maiti yake haizikwi kama binadamu bali inatupwa kama mbwa kwa sababu mwanaume kuuliwa na mwanamke ilikuwa ni aibu kubwa sasa wewe leo hii unasemaje eti wanaume wanatupa uhuru ili tufanye maovu watutumie kana kwamba hayo maovu ya wanawake hayakuwahi kuwepo hata kabla ya huu 'uhuru' mnaodhani mnatupa sasa hivi??
 
Sasa kwani nani kasema kwamba wafalme hawakuua au nani kasema kwamba historia ya Suleiman siijui?? Hivi hauwezi kutoa hoja zako bila kujiona unajua sana na kulazimisha kuwa wengine hawajui??

Maana unayoyaandika yote yako wazi halafu nakushangaa ulivyo mjinga unadhani eti siyajui kwa sababu tu sijayaongea haya umesimulia yote hayo lakini umerudi pale pale kwenye swali langu la awali kwamba kwahiyo je kuua siyo dhambi tena kwa sababu hao wafalme waliua?? Jibu swali!!
 
Aise mimi huwa sifuati mitazamo bali nafuata maandiko naona sasa na mimi nianze kuwa kama Zurri kila kitu nidai ushahidi wa maandiko maana naona siku hizi kila mtu anajiropokea tu anachokiamini yeye na kulazimisha kiwe uhalisia haya niletee andiko linalosema kuwa mwanamke ni mtumwa kwa mwanaume sihitaji porojo wewe lete andiko tu tofauti na hapo hii ni mihemko kama mihemko mingine tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna uzi hukooo, wanaume wamesema wao ni Sawa na wa wanawake na wanataka usawa

aisee haiwezekan hao sio wanaume tunatakaje usawa wakati sisi ni matawala na tuna enjoy kuwatawala

naomba unitag nikashuhudie hao michicha mwiba
 
Mtazunguka kote ila mtarudi pale pale kuwa hakuna jinsia inayoruhusiwa kutenda maovu ninyi semeni habari za vipodozi sijui pornvideos kwa lengo la kuwatumia wanawake utadhani ninyi mnavyowatumia hao wanawake ndiyo mko sahihi yaani mnasahau kwamba ninyi mnaowapa huo mnaouita uhuru wanawake ili muwatumie pamoja na hao wanawake wanaokubali kutumiwa wote ni malaya tu na wote hukumu inawahusu sasa mnavyotetea hivyo sijui mnadhani kwamba ninyi hamtahukumiwa bali hao wanawake ndiyo watahukumiwa?? Kama hamjaipata point yangu na hapa basi itoshe tu kusema kwamba wanaume mna kiburi cha asili kinawachowafanya mgome kuukubali hata ukweli ulio wazi
 
Hamna anayelazimisha, ni suala la itifaki ya kimaumbile ndio maana mwanaume mmoja ana uwezo wa kugawa mimba 22 na zaidi ndani ya mwezi, lkn huwezi kubeba mimba za wanaume wawili kwa wakati mmoja. Sihalalishi mtu mmoja kuwa na wake kumi lakini nataka nikuondolee hii nadharia ya ulinganifu maana inakinzana na hata maagizo ya Mungu juu ya wanadamu.
 
Basi na ninyi endeleeni kushupalia maovu ya wanawake halafu mtatuambia mmefikia wapi!!
Basi na ninyi endeleeni kushupalia maovu ya wanawake halafu mtatuambia mmefikia wapi!!


kama ujumbe unawafkia waache wamiishupalie

asili yetu ubabe hatupend kushindwa mijadala Kama hii haiwez isha hamuwez kuwa sawa na sisi acheni ligi nyie viumbe mmeumbwa dhaifu kwetu nyie mmeumbwa na mbavu yetu moja
 
Hujamuelewa jamaa vema dada.
Amesema sisi tunayasema maovu yenu sana ili kutengeneza inferior mindset kwenu na mbaki chini yetu .
Hiko ndicho tunachokifanya sisi.
Vitu mvifanyavyo nyie vinaonesha inferiority kabbisa hususan ktk mtazamo wa kifikra mwishowe tunaendelea kuwaeka chini kinadharia na kivitendo pia.
 
Reactions: Cyb
Aliumbwa baada ya mwanaume na kutokana na mwanaume lakini hakujua kuhusu hayo maswala ya utawala na yote yaliyomo ndani yake na Shetani ndiye aliyemshawishi Evah na kisha Evah kumshawishi Adam

Na ndipo Mungu alipoamua kuweka wazi kuwa mwanaume ndiyo atakuwa mtawala kwa mwanamke ila kabla ya hapo hakusema lolote ulitegemea wangejuaje?? Vitu vingine vinahitaji kutumia common sense tu!!
 
Anaelewa Sana sema ameamua kupiga Soga na Wanajukwaa
Hata kama ndiyo ningekuwa nimefikia hatua hiyo ya kupiga tu soga na wanajukwaa basi nisingepiga hilo soga na watu kama wewe yani I also wish I had that much time to waste like you but I don't have it
 
Dada unasoma pasi na kuelewa nini kimezungumzwa ama kukusudiwa.
Hapo mim nawabeza wale wanaosema kuwa nyie jinsia ke na sisi jinsia me tuko 50/50 kwasababu siku hizi mmejipigania uhuru.
Kwa point yangu mm nilimaanisha bora tu mngebaki kukaa km babu zetu walivyoendesha maisha yao na bibi zetu huko nyuma kuliko kujifanya mnataka usawa ktk dunia ya sasa ya utandawazi ilhali usawa ama uhuru mnaoupigania hamuufaham mwishowe unawagharimu hususan heshima yenu.

Mathalan ktk kufanya kazi mwanaume alishafikiria kuwa kuna changamoto zitakupata ww mwanamke uking'ang'ania kutafuta hela zako mwenyewe mwishowe utaja kuwa mtumwa bila hata kutaka huko utaftapo pesa.Na dunia ya sasa wanawake wenyewe mnashikilia kutafuta pesa mwishowe mnatumika vibaya kutangaza nguo za nusu uchi,kutumika ktk video queen yan mtu unavaa chupi na sidiria ktk nyimbo ya diamond ilhali yeye kavaa suti eti unasema unatafta hela una uhuru wako na uheshimiwe.
Nani ataekuheshimu kwa kukatika ktk video za muziki ukiwa na chupi na sidiria???
Je hata mwanao anaja ona ulichofanya atafurahia????
Uhuru mnaoupigania eti nanyi mnataka mtafute kama sis na mshike pesa km sisi unawafanya muwe watumwa kwa namna nyingine ambayo mmeshindwa kuing'amua na hamkuitarajia.

Sijui utakua umenielewa dada angu??!!!!!
 
Ulishawahi kujiangalia kwenye kioo harafu kioo kijione chenyewe na kijikosoe

Yaaani badala yakuja na nyapu kututunuku unatuletea balaa

Sisi tutawasema no huruma mpaka mjirekebishe na nyie tusemeni tu mpaka tuyaache msiyoyapenda kwetu

Siku nyingine usiache kuja kututunuku kakojoleo mama
 
Dada labda km ww ukiwa mkristo lakn km muislam Mungu alitaka kumuumba mtawala wa dunia ndio maana akaanza kumuumba Adam wakiume kesha Eve.
Kuhusu suala la kula tunda hayo ni masuala ya ushawishi haihusiani na uongozi.
 
Kwahiyo ninyi kuwa watawala ndiyo kunawapa hati miliki ya kutenda maovu mnavyojisikia??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…