Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana una akili sana. I like the way you are. Pls comeHahaaa siji ng'o
Ingekuwa mbona wewe unanijaji vibaya ningekuelewa. Lakini mbona nyie mnatujaji vibaya sidhani kama imekaa vizuri...Mbona nyie mnatu judge vibaya
Bado mtanange unaendelea...Mpaka hapa mlishakaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Namsomaga mpaka natokwa jasho mimi sasa sijui yeye huwa katika hali gani!Huwa wanabishana Hadi usiku wa manane[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mahali nimesema Mwanaume anafanya abortion?Abortion ni kitendo cha kutoa mimba, na mimba ni pale tu mbegu za kiume zinapokutana na mayai ya kike sasa mwanaume anaejichua anafanyaje abortion au huo uuaji angali mbegu zake zinakua hazijakutana na mayai ya mwanamke
Hahaha! Shehe wewe umejitoa kwenye kundi la wakusamehewa..Utandawazi umekuja na faida zake na hasara zake ni kubwa kuliko faida zake,miongoni mwa hasara zake ni kuwafanya wanawake wawe kama bidhaa,hili hawalioni na wamefanywa wajinga na kufikiri kwa upande mmoja.
Hapa wakusamehe wewe na wa mfano wako.
Yule Nyenyere huwa hachoki kibishana..yaani mtaenda mtafika mwisho,mtarudi..[emoji23][emoji23][emoji23]Namsomaga mpaka natokwa jasho mimi sasa sijui yeye huwa katika hali gani!
Uzi unakimbia ni hatari,nilitamani niongee lakini roho inaniuma
Anyway siku ikitokea nikaoa mwanamke mwenye mrengo kama wa mleta mada nitaua! Mungu anisaidie uwa sipendi ujinga kabisa
Yaani upande wa upinzani wapo wawili tu wanaoweza kubishana.Bado mtanange unaendelea...
Hahaha! Shehe wewe umejitoa kwenye kundi la wakusamehewa..
Wewe ni mpumbavu.
Hao wanao nyanyasika si wajitoe kwenye hayo manyanyaso.hamjakatazwa kuishi mnavyotaka ndomana mnatembea uchi tunawanunua kama nyanya sikoni.
Wewe sio mwanaume utakua na jinsia mbili.
Masaidie mkeo kubeba mimba ili tuwe sawa.
Mimi nimeishia kuchekaKuna jibu nilitaka kukupa hapo kwenye kuoa wa hivi utaua!! Wacha ninyamaze
Mimi sina ubaya ni nyie mama yangu. Nilikuwa tu namsapoti huyo Jamaa wala sijamaanisha nilichokisema..Kama watawala hamna machungu kwanini mnayaongelea sana hayo maovu ya watawaliwa wakati ninyi hamna cha kupoteza??
Yule Nyenyere huwa hachoki kibishana..yaani mtaenda mtafika mwisho,mtarudi..[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku tumebishana nae yaani usiku na mchana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi ukagonga 1000...baadaye nikaona huu ujinga..nikajiengua
Wewe ndio unatatizo mahali. Unapoambiwa binadamu ni mfano wa Mungu unajua ni nini kinazungumziwa.
Embu nenda kwa Magombo ya Suleiman utaelewa mimi na wewe nani mwenye matatizo.
Na muonea huruma jamaa atakaye kuoaLabda nikwambie wewe na wanaume wenzio endeleeni kushupalia maovu ya wanawake na siku mkifanikiwa kuyarekebisha kwenye jamii mtatushitua