Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Abortion ni kitendo cha kutoa mimba, na mimba ni pale tu mbegu za kiume zinapokutana na mayai ya kike sasa mwanaume anaejichua anafanyaje abortion au huo uuaji angali mbegu zake zinakua hazijakutana na mayai ya mwanamke
Kuna mahali nimesema Mwanaume anafanya abortion?

Hatahivyo sikuwa serious...najua Abortion hailingani na musturbation hata kidogo.
 
Utandawazi umekuja na faida zake na hasara zake ni kubwa kuliko faida zake,miongoni mwa hasara zake ni kuwafanya wanawake wawe kama bidhaa,hili hawalioni na wamefanywa wajinga na kufikiri kwa upande mmoja.

Hapa wakusamehe wewe na wa mfano wako.
Hahaha! Shehe wewe umejitoa kwenye kundi la wakusamehewa..
 
Namsomaga mpaka natokwa jasho mimi sasa sijui yeye huwa katika hali gani!
Yule Nyenyere huwa hachoki kibishana..yaani mtaenda mtafika mwisho,mtarudi..[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku tumebishana nae yaani usiku na mchana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi ukagonga 1000...baadaye nikaona huu ujinga..nikajiengua
 
Bado mtanange unaendelea...
Yaani upande wa upinzani wapo wawili tu wanaoweza kubishana.

Huku Kuna Marianah na cariha..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Marianah akiwa tu pekeyake Ni shida..Sasa wapo wawili[emoji3526][emoji3526][emoji3526]

Bado wengine hatujaingia..tupo benchi bado[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahaha! Shehe wewe umejitoa kwenye kundi la wakusamehewa..

Daah,huyu mdau amenipa simanzi sana,yaani anaonekana anakubali kuacha asili na kubadilishwa na mazingira.

Sisi ndio tunatakiwa kuyapeleka mazingira na mabadiliko tunavyotaka sisi na inavyotaka asili.
 
Kazi kweli kweli
Wewe ni mpumbavu.
Hao wanao nyanyasika si wajitoe kwenye hayo manyanyaso.hamjakatazwa kuishi mnavyotaka ndomana mnatembea uchi tunawanunua kama nyanya sikoni.
Wewe sio mwanaume utakua na jinsia mbili.
Masaidie mkeo kubeba mimba ili tuwe sawa.
 
Wewe tunafanana mi natoaga ushindi wa mezani basi wanajionaaa,
humu wengi wanaishi kinadharia halafu wanaume wenye ukoloni huwezi kuta anabishana juu ya uanaume wake,, huku majumbani tu treatment yake tu pasipo kuongea saaana unajua tu hapa natakiwa nibehave hivi kwa huyu mwanaume
Yule Nyenyere huwa hachoki kibishana..yaani mtaenda mtafika mwisho,mtarudi..[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku tumebishana nae yaani usiku na mchana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi ukagonga 1000...baadaye nikaona huu ujinga..nikajiengua
 
Umesoma historia ya Suleiman yote?? Unajua mwishoni ilikuwaje baada ya yeye kufanya yote yale?? Halafu kumbuka Suleiman alitenda hadi dhambi ya kuua na bado Mungu alimbariki kwahiyo utasema kuua siyo dhambi tena kwa sababu Suleiman aliua na Mungu alizidi kumbariki?? Halafu na hili la Suleiman itabidi nilianzishie uzi kuwaelewesha watu ili wale wanaomtumia Suleiman kama mfano waumbuke na wajione walivyo wajinga!!
Wewe ndio unatatizo mahali. Unapoambiwa binadamu ni mfano wa Mungu unajua ni nini kinazungumziwa.

Embu nenda kwa Magombo ya Suleiman utaelewa mimi na wewe nani mwenye matatizo.
 
Labda nikwambie wewe na wanaume wenzio endeleeni kushupalia maovu ya wanawake na siku mkifanikiwa kuyarekebisha kwenye jamii mtatushitua
Na muonea huruma jamaa atakaye kuoa
Mpe Pole yake
Mimi tungegawana nyumba za serikali
Mapema Sana
 
Back
Top Bottom