Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Nimeelewa point yako maana unajificha Kwa wanaume walio successfully Ku hide agenda yako ya discrimination Mara unajikita Kwa wanawake Ku bleed sijui pedi bleeding is normal Kwa kiumbe hai chochote cha kike bila bleeding sio ukimilifu Kwa kiumbe cha kike pia hii ya wanawake kwenda vitani naskia kwako maana najua hawaendagi kwenye battle field pia bleed huwa haichuruziki ka bomba umedaganya kabisa. Before pedi people were using vitambaa ambazo nguo zimegunduliwa siku nyingi. So point yako hapa ilikuwa ni bias towards women's bleeding and not invention iliyofanywa na huyo mtu uliyo mtaja hapa.


Hata mimi sijawataja hao mabilionea kama justification ya gender inequality kwa namna yoyote ile. Hujaelewa kabisa point yangu Again hujaelewa tena point yangu ililenga nini, inventor wa sanitary pad anaitwa Franklin Benjamin(Mwanaume) alikuja na idea ya ktengeneza pad mwaka 1888 hili kuwasidia wanajeshi wa kike waliokuwa wana bleed kwenye uwanja wa kivita na kuacha alama za damu damu ambazo zilikuwa zinawasaidia maadui kutambua ulekeo wa wanajeshi hao. Kwa baadae ndio ikawa commercialized globally sasa mimi hapa nilikuwa na kucrush uliposema kuwa mwanamke na mwanaume ni sawa tu tofauti yetu ni jinsia, mwanaume ana mchango mkubwa kwenye maisha yako na wala haulingani naye hata kidogo kwanini hawakwenda shule!? Na kwanini wasiruhusiwe kufanya hayo mengi ikiwa kama hata wao walijua yana umuhimu kwao!? Pamoja na kwamba siku hizi na nyie mko kwenye scientific arena je mchango wenu tunaweza kuulinganisha na wa mwanaume!?Basi tuanze kuwalinganisha nyie na wanaume kwenye hizi zama za ukombozi wenu kama mnavyouita, kwanini leo hii ukienda kwenye chuo chochote Engineering courses utakuta kwa 80% takers wake ni wanaume? Kwanini ukienda vyuoni medical professions wasomaji wake wengi ni wanaume!? Ina maana tuseme kuwa wanawake hawazipendi hizo courses ndio maana wasomaji wake wengi sio wanawake?

Mpaka sasa hivi kuna binadamu zaidi ya 30 waliowahi kufika mwezini lakini kati yao hakuna mwanamke hata mmoja wote ni wanaume, sasa je ina maana wanawake pamoja na fair ground ya kushiriki mambo ya kisayansi mpaka leo hii bado mtaki kufanya mambo makubwa makubwa kama hilo la kufika mwezini!?

Silcon Valleys innovators wengi inaowatoa ni wanaume akina Teddy Macknoon, Andre Rubin, Ross mason,Solomon Hykes,Jeff Hemmeebecher,Josh Reeves,Edward Kim na Mark Zuckerberg...?? Ina maana wanawake nyie hamna interest kabisa na scientific innovation pamoja na kuwekewa accessibility sawa ya elimu na wanaume? kwa jinsi ulivyo andika hapa ni kama vile unanijua personally, hivyo hata nikikwambia mambo niliyo achieve na yakaisaidia jamii itakuwa ni kazi bure tu.

Jibu la kukupa hapa ni kwamba mimi ni Triple K yaani ni mtu wa Kula,Kunya na Kulala tu.
Hata mimi natumia kifaa kama hicho chako ila nimeweza kujibu hoja zako zote kwanini wewe ushindwe?
Pia kusema hao ma engineer nishakujibu huko juu no need of repetition sijui 80% and blah blah maana mabadiliko hayo hayajafikia miaka 100 kujilinganisha na wanaume waliopewa first priorities miaka na miaka.
 
Zamani kabla ya wazungu watu walikaa uchi na hakukuwa na shida hata nikiona Picha za watu kabila langu walikuwa uchi sikuhizi kuna nguo ndo watu wana mawazo machafu na wabakaji, so sidhani ka hii hoja yako ina mashiko
Sipati picha hicho kipindi ambacho kweli mtakuwa nyie ndo mna sauti ya mwisho duniani cha kwanza viwanda vya nguo vitafungwa maana hakuna kiumbe mwenye utashi anayependa kukaa uchi kama sio half naked kama mwanamke.
 
Kwanini huogopi kuandika uongo ? Jambo kama hulijui ni bora ukauliza.
Penye ukweli usemwe bila kupepesa kitu. Ni sawa na serikali kutunga sharia za kuwapa favor opponent wao wa kisiasa hyo ni very impossible, au master kutunga sheria za kumpa favor mtumwa wake.
 
Hahahahhahahaha.... Third wave feminist Marianah hongera sana kwa bandiko zuri. Umepangilia vizuri kweli habari yako mpaka nimekutamani.

Tukija kwenye kiini cha mada yako:

Kwanza kabisa kubali kataa mwanaume ni kiumbe superior kwa mwanamke na itaendelea kuwa hivyo mpaka dunia inafika mwisho. Na hii iko kiimani na kibailojia pia.

Binafsi naamini kwenye suala la maovu machoni mwa mwenyezi Mungu wote tuko sawa maana hakuna jinsia yenye haki ya kutenda zambi.

Maana sheria za Mungu zinaeleweka wazi kabisa kila mtu kwa jinsia yake na nafasi yake ni namna gani anavyotakiwa kumtumikia Mungu wake kwa kuepuka utendaji wa dhambi.

Pamoja na kwamba maandiko yanasema mwanamke mpumbavu ataivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe haimaanishi kwamba Mwanaume hawezi kuwa mpumbavu na akaivunja ndoa yake mwenyewe. Jukumu la kulinda ndoa ni la wote.

Pamoja na kwamba kwamba maandiko yanasema mwanamke anapaswa amtii na kumuheshimu mume wake haimaniishi kwamba Mwanaume huyo ana haki ya kutomuheshimu mke wake.

Maandiko yanaposema mwanamke mzinzi adhabu yake ni kupigwa mawe mpaka umauti, haimaaniishi kwamba wanaume ni haki yao kufanya uzinzi na hawastahili adhabu.

Kwa ufupi tu tukiongelea uovu au nidhamu wote tuko sawa kwa Mungu japo kwa mitazamo ya walimwengu mwanamke anaonekana kuwa ndio mkosefu zaidi.

Kwa bahati mbaya sana jamii yetu ya sasa inaishi kwa kutofuata maandiko na hata yakifuatwa hayafuatwi kama yanavyopaswa.

Kwa kuwa maisha yetu asilimia kubwa hayafuati tena muongozo wa kidini basi ndio maana tunaishi kwa kutupiana Lawama huku kila mmoja akijiona yu mkamilifu.

Kilichopo sasa hivi kwenye athari za maovu tunayoyafanya uzito wake unaamuliwa na tofauti zetu za kibaiolojia, kwenye maovu ambayo tunashiriki wote mfano uzinzi athari zinakuwa kubwa kwa mwanamke kuiliko kwa mwanaume na ndio maana jamii inamuona yeye ndio mkosefu huku ikimsahau mwanaume.

Lakin yote kwa yote mwanamke ni kiumbe dhaifu kwa mwanaume na itaendelea kuwa hivyo haijalishi hata kama zitaundwa taasisi ngapi za kumpa preferential treatment hili awe sawa na mwanaume.
Ni wewe kweli!??[emoji3526][emoji3526][emoji847][emoji847]
 
Najielewa sana na naishi Kwa watu wenye kuheshimu utu sio discrimination na mambo ya bias, bias za hovyo
Kwa hii comment unonekana tu pamoja na kuishi kwenye hiyo jamii ya wastaarabu na wanaojielewa, ila wewe bado ujastaharabika wala kujielewa.
 
Hapo hamna cha u superior wote walikuwa sawa tu ndo mana wakakengeuka na kwenda kinyume
1 Timotheo 2: 12-14 inazungumzia ukuu wa Adam juu ya Eva.
IMG_20190915_174121_228.jpeg
 
Hilo natamani mtoa mada alijibu kwasababu naona analinganisha kila tukio la Mwanamke na Mwanaume...ndio mana nikamwambia Abortion haiwezi kulinganishwa na chochote anachokifanya Mwanaume.
Ahaaa ningekushangaa
 
Kwa hyo unaona ni sawa kurudi zama hizo za kiprimitive , zama za stone age, zama ambazo mwanamke alikuwa athaminiki na kutokuwa na sauti hata kidgo, kutokuwa na nafasi katka jamii, tofauti na zama hizi ambazo hayo yote yashabadilika na unayapigania yashafanikiwa kwa asilimia nyingi??
Kwa hyo unataka changes ambazo zinaathiri interest zako tu?? Hvi vingine viwe kama zamani??
 
Ndio ni kukosa Uhuru kwanini umnyime mtu kufanya jambo in the name of dini. Kuwa kiongozi ni haki ya yote yule aliyetimamu na mwenye vigezo. Kwanini utenge watu huo ni ubaguzi mkubwa wakupigwa popote pale mbinguni au kuzimu aisee.

Mwanamke anastaili kufanya lolote lile as long as havunji katiba na sheria ya nchi. Discrimination yoyote ya sex napinga, not only sex had ya age, race......
Kwanza mjadala huru mnakimbilia maandiko acheni kuharibu mjadala stick nahoja hapa sio msikitini au kanisani please?
Mwanzo nilikuuliza swali,unajuaje kwamba hii ni haki yako ?

Msingi wa katika ya nchi ni nini ? Na kwanini katika ya nchi ifatwe kwa kila jambo ?

Sasa,je kama jambo sio lako ukadai ni lako,ukinyimwa utasema umeonewa au umenyimwa uhuru ?

Sasa kwenye maandiko si ndio kuna misingi na haki zenyewe.
 
Penye ukweli usemwe bila kupepesa kitu. Ni sawa na serikali kutunga sharia za kuwapa favor opponent wao wa kisiasa hyo ni very impossible, au master kutunga sheria za kumpa favor mtumwa wake.
Nimekuuliza kwanini huogopi kuongopa ?
 
Sipati picha hicho kipindi ambacho kweli mtakuwa nyie ndo mna sauti ya mwisho duniani cha kwanza viwanda vya nguo vitafungwa maana hakuna kiumbe mwenye utashi anayependa kukaa uchi kama sio half naked kama mwanamke.
Mkuu hicho kitu hakitakaa kitokee chini ya jua, kwamba mwanamke ndio awe dominant sex kwenye kila kitu hapa duniani!? Saralee labda kama kuna dunia nyingine huko mbeleni tunayokuja kuishi tofauti na hii tuliopo.

Feminism kama feminism imeshindwa kuwaletea usawa wanaoutaka, sasa wameingia kwenye third wave feminism ambayo kimsingi ina waathiri wanaume kwa kuwapa preferential treatment wanawake.

Lakini hata nayo pia itashindwa vile vile, maana inaleta mpasuko kwenye jamii. Inaleta chuki kati ya ME na KE.

Sasa hivi nchi kama Sweden ambako feminism imekomaa sana, wanaume wameanza kutengeneza distance na wanawake, yaani hawashirikiani saana na wanawake kwenye mambo mbali mbali ya kijamii kama ilivyokuwa hapo awali.

Wengi wamejiunga na movement kama MGTOW.

Na hii imepelekea wanawake wengi kuanza kulalamika kuwa watengwa na wanaume, na wanafanyiwa sana matukio ya ubakaji kuliko hata ilivyokuwa awali kabla feminism haijafika hapo ilipo.

Hivyo wamegundua kuwa wanaume wana umuhimu mkubwa sana kwenye maisha yao.

Kwa ufupi hawa Wenzetu wanatuhitaji sana kuliko tunavyowahitaji na hili la kuutawa ulimwengu ndi wishful thinking watakayokuwa nayo siku zote tu.
 
Mahitaji makubwa ya mwanaume katika mahusiano ni se.x,na ni vigumu mwanamke mmoja kumtimizia mara zote pale mwanaume anapohitaji;ukiona watu wameishi kwenye uhusiano au ndoa miaka mingi na yenye utulivu jua ya kuwa mzee (me) kuna sehemu anapiga show kistaarabu.Kwa sasa hivi unaweza usiitambue ila ingia kwenye ndoa,na bahati mbaya ukutane na mtu ambaye nguvu zake bado kuchakachuliwa;utashangaa kila baada ya dakika 30 anataka,kwa hali hiyo kwako itakuwa ni mateso....kwa hiyo akichepuka nje inakuwa ni unafuu na utulivu ndani ya nyumba.

Unakuta naye Mke wake huyo mwanamme watu wanaruka naye, hakuna kitu kibaya kama kudhani kuwa una control
 
Back
Top Bottom